Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,403
- 79,648
Caution money na umiseta vimo ndani ya hiyo 188,000Sweta
Uniform
Viatu
Caution money
Umiseta
Caution money na umiseta vimo ndani ya hiyo 188,000Sweta
Uniform
Viatu
Caution money
Umiseta
Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......Caution money na umiseta vimo ndani ya hiyo 188,000
Fyekeo , ndoo . Rim aende navyo.Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......
Fagio ,kukodishwa godoro,jengo,masomo ya jioni nk.Kuna michango kibao yaan,dogo anaingia six michango ni laki 4 kasoro,kuna michango yakulipia benki na kuna yakukabidhi kwa mkononi.Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......
Mwaka jana tulilipa hiyo 188,000Yaani ile bure ya O-level inafidiwa A-level. Inaonekana serikali haina mpango wa kuhakikisha hao inaowapa elimu bure wafike A level.Just imagine mzazi ni maskini mtoto aliingia secondary sababu ilikuwa ni bila ada,halafu anapopasi kuenda five inageuka kuwa mateso kwa mzazi
sasa sh188,000 huyu maskini ataitoa wapi?
Taaluma mbona ni mchango ulioasisiwa kitambo sana tangu enzi za nyerere, wanauita 'academic' kuna sehemu mwanaJF kasema wamelipa elf 20......wee acha tu.Fyekeo , ndoo . Rim aende navyo.
Taaluma una maanisha nini?
Hapa umeandika kitu gani wewe? Unafikiri wananchi wengi kuwa maskini ndio inamaanisha kwamba wanazaa watoto wasio na akili?Watanzania tuache masihara kweli karne hii ada ni 70,000 kisha mnakataa kutoa michango ili watoto wako wawe comfortable?
Naelewa kwa wazazi wasio na ajira kweli wanastahili kulipa hivyo, hata sisi wengine ambao watoto wetu wengine wamesoma private, this dependency is too much jamani...Hivi watanzania lini tutakuja elewa maana ya kufanya kazi na kujitegemea?
Sasa mwanao ataenda kukalia nini maana serikali inatoa maagizo tu bila kupeleka fedha kwenye hizo shule.Safi kabisa maana kuna shule tumeambiwa tupeleke viti na Meza!
Una elimu gani ndugu na ulisomea wapi?Miaka nenda rudi hayo majembe, mafyekeo sijui ndoo na masufuria hayajawahi kutosha? elimu ya A-level unahimizaje wanafunzi wakalime mashamba ya shule na kufyeka majani? halafu utarajie hao vijana wa cocentrate kwenye masomo wafaulu vizuri....
PhD yangu nimesoma ulaya, vipi mwenzangu?Una elimu gani ndugu na ulisomea wapi?
Aahhgg! Mi nimesoma Kisomo cha Watu Wazima jioni katika Shule ya. Msingi Kazilankanda, Bukobaaaaa!!!PhD yangu nimesoma ulaya, vipi mwenzangu?
Elim bure ni kuanzia darasa LA kwanza mpaka form 4 , Advanced hakuna elim bure mkuu ada ipo pale pale na michango mingine, sema michango imekua mingi tu ,Ni shida aisee.....na wanashupaza misuli ya shingo wanakwambia elimu bure.....hovyo sana hawa watu.
Ada ipi tena jamani, si tuliambiwa elimu ni bure?
Elim bure ni kuanzia darasa LA kwanza mpaka form four , Advance na kuendelea ada ipo pale pale , haijawa kufutwa hata siku mojatutaelewana tu...ndio imeanza mdg mdg mpk itafikia ilipokuwa mwanzo
Elimu bora kabisa kuliko hizi za siku hiziAahhgg! Mi nimesoma Kisomo cha Watu Wazima jioni katika Shule ya. Msingi Kazilankanda, Bukobaaaaa!!!
Tupe namba ya wazi ya kutolea taarifa kwa watakaokiuka agizo lakoAmesema mkuu yeyote wa shule atakayebainika kukiuka agizo hilo, hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
Ummy alitangaza katazo hilo jana alipofanya ziara katika Shule ya Sekondari Bihawana mkoani Dodoma kukagua utayari wa shule za serikali kupokea wanafunzi wa kidato cha tano mwaka 2021.
Alisema kiasi hicho kinajumuisha ada ya Sh. 70,000.
Suruali 3@55,000/=Mh mbona kama utapeli sasa huo.. Unaweza kuichanganua hiyo 430k?
Mbona hii list yako kila kitu kinamhusu mtoto wako moja kwa moja?Suruali 3@55,000/=
Rim 12000/=
Blanket
Masweta 2@ 18000/=
Mashati 2
Track suit za michezo
Viatu vya shule
Raba za michezo
Godoro 35000/=
NIMECHOKA KUANDIKA