Watu wanatofautiana uwezo, wewe unayoona ndogo wengine ni mlima, ndo maana serikali inahangaika kubeba gharama zote za elimu ili isitokee hata kwa bahati mbaya vijana wenye uwezo wa kusoma washindwe kwa wazazi/walezi kukosa ada......nchi nyingine serikali kwa kuzingatia umuhimu wa elimu kwa watu wake inatoa elimu hadi chuo kikuu......Hata hivyo Waziri katoa ufafanuzi haizidi 188,000...Ila mimi nitatoa zaidi maana naona kama napewa favour mwanangu kusoma shule ya sekondari tena special kwa ada ndogo kama hiyo, I feel so bad kwakweli...