mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,403
- 423,245
Embu wakijibu nitagSasa kama moto ukianzia huko kisimani itakuaje
Embu wakijibu nitagSasa kama moto ukianzia huko kisimani itakuaje
Dawasco walisema 92% ya mji wa Dar una maji tayariVisima hapana, wasije kuzimia moto na maji ya kutoka vyoo vya sokoni.
Wanashindwa kuweka pipes hata za nchi 4 kutoka Mamlaka za maji????
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kamishina anasema walienda airport kutuata majiDaah! Mkuu umejenga hoja mpk hata waziri akija kuisoma hii atajua kuwa hajui kuwa hajui.
Bahari imezunguka jiji mto imezunguka soko na TBL walio na kisima kikubwa wapo mtaa wa pili lkn bado wameshindwa. Nimeipenda hii.
CCM ni ile ile!
ReactiveProactive vs reactive
Daah! Nchi ngumu sana hii.Kamishina anasema walienda airport kutuata maji
Tatizo ni machinga kila kona yaani siju watu watapita wapi kwenda kuuzima huo moto WenyeweMkuu pale ni karibu Sana sio km yaani DK 3 upo kariakoo kutoka fire
Achen matusi nyie naye rekodi zake tunazo za wizi pale mlimani city dialo amesema tuwe tunafanya fast track au umesahau mkuuSafi kabisa Ummy! Nakupenda uko quick in understanding! Natamani uwe ndiye ajaye
Walivyoruhusu machinga hawakujua kuwa ipo siku kutatokea majanga Kama hayaTatizo ni machinga kila kona yaani siju watu watapita wapi kwenda kuuzima huo moto Wenyewe
Proactive vs reactive
So twende na legacy basiLini mmeanza kupenda maendeleo ya vitu?
Si mlisema miundo mbinu ni upotevu wa hela tu