Waziri Ummy: Masoko na Stendi zote zinazomilikiwa na TAMISEMI kujengewa Visima vya Maji ili kukabiliana na moto

Sasa baadala ya moto mtapigwa na kimbunga, mnatakiwa mfanye risk assessment ya maeneo yenu sio mngojee mpaka majanga yatokee...
 
Waziri wa Tamisemi mh Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza.

Chanzo: Radio One
Na kama eneo halina maji ya ardhini je? Anyway sijui nani katuloga walahi!! Yani tunafanya vitu kwa kurupuka bila plans!!
 
Waziri wa Tamisemi mh Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza.

Chanzo: Radio One
Fahamu zimeanza kuwarejea sasa.

Yaani kweli mnataka kutumia 400M kujenga sanamu isiyo na maana yoyote ya Magufuli ilihali miundombinu ya kukabiliana na majanga ni duni??
 
Waziri wa Tamisemi mh Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza.

Chanzo: Radio One
Stand mpya kule Moshi mjini Ina chem chem ya maji yanayotoka ardhini. Tuma fedha malizia Ile stand hutachimba kisima Cha maji
 
Inshu sio visima kuchimbwa wapi, sasa wakivichimba kwwnye vituo vya zima mto mfano pale fire, moto unatokea mbagala hicho kisima kitakuwa na msaada gani?!!unaposema sio kila moto unazimwa na maji, ni kweli lakini vyovyote vile lazima maji yahitajike tu ktk uchanganyaji wa hizo chemikali, kutegemea na kundi la moto husika, ndio maana hakuna gari la zima moto lenye kutumia mchanga ktk kuzima moto,.cha msingi ni kujenga water hydrants kila sehemu za mji na ziwe na maji muda wote hii nayo ni changamoto nyingine!! ili moto kila sehemu unapotokea upatikanaji wa maji unakuwa karibu hapo!!
Nia ni at least gari ikitoka kituoni iwe ina maji, hizo fire hydrants ni muhimu especially sehemu za biashara.
 
Na ukichimba kisima kwa mazingira ya stand ni lazima uweke na pampu ya kuvuta maji,sasa pampu nayo inatumia umeme.....mpaka hapo sijaelewa lengo la Waziri Ummy Mwalimu ni nini,

Mkuu hivi unaamini alichosema huyo Ummy kitatekelezwa, au ni porojo za hisia baada ya huo moto? Hicho anachosema Ummy nafananisha na zile ahadi wanazotoa watu kwa familia ya mfiwa, kuwa watasomesha watoto wa marehemu kutokana na hisia kali itokanayo na vilio na simanzi siku ya mazishi. Baada ya mwezi hisia za msiba zikiwa zimeisha, mfuate mtu aliyetoa ahadi ya kumsomesha mtoto wa marehemu kama atanunua hata daftari la quire3.
 
Daah! Mkuu umejenga hoja mpk hata waziri akija kuisoma hii atajua kuwa hajui kuwa hajui.
Bahari imezunguka jiji mto imezunguka soko na TBL walio na kisima kikubwa wapo mtaa wa pili lkn bado wameshindwa. Nimeipenda hii.

CCM ni ile ile!
Kingine waziri wanashinndwa kujua sio kila moto huwa unazimwa kwa maji moto mingine inahitaji mchanga na carbon dioxide ,tu sasa kote huko tutajaza hivyo vitu
 
Kitengo Cha fire kifutwe kampuni binafsi zipewe tenda..fire wote rudisha jeshini au wapewe jeshi tenda za zima Moto na uokoaji full stop
 
No my Minister,nchi haihitaji visima nchi inahitaji system's ya uokoaji kwenye hii miji yetu au vituo vyetu,system's ya maji ambayo itawezesha kunapotokea janga la moto kama wa kariakoo hizi Fire engine zikifika pale zinaunganisha mipira yao directly kutoka kwenye system's ya maji na kupata maji na pia tunahitaji water tankers ambazo ni sehemu ya kikosi cha zimamoto nazo zikifika maeneo ya karibu na tukio zinajaza maji na kukimbiza eneo la tukio.
 
Kingine waziri wanashinndwa kujua sio kila moto huwa unazimwa kwa maji moto mingine inahitaji mchanga na carbon dioxide ,tu sasa kote huko tutajaza hivyo vitu
Kweli mkuu. Form 2 nakumbuka tumefundishwa aina za mioto na vizimishio vyake. Ummy yatakuwa yashamtoka yote haya. Umri umeenda.
 
Huyo waziri Ummy aache utapeli usio na maana yoyote, watu wengi nchi hii hawana maji ya kutumia, na hawajawachimbia hivyo visima,huku maji yakiwa mahitaji ya kila siku, ndio itakuwa kuchimba visima visubiri moto ambao sio lazima utokee? Akatafute wajinga ndio awaambie huo utapeli wake.
 
Nia ni at least gari ikitoka kituoni iwe ina maji, hizo fire hydrants ni muhimu especially sehemu za biashara.
Mkuu sio kwamba zinapokuwa zimepaki huwa hazina maji, siku zote huwa zina maji, wanapopata taarifa ya moto huwa ni kwenda tu kwenye tukio, shida ni pale yanapokwisha hayo waliyonayo, pa kuyafuata ni mbali, ndio balaaa huanzia hapo,
 
Waziri wa Tamisemi mh Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza.

Chanzo: Radio One
Miaka 60 ya Uhuru aisee ccm ni janga kubwa Sana kwenye nchi yetu
 
Back
Top Bottom