johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,799
- 141,696
Waziri wa Tamisemi Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa wanasiasa kuingilia taaluma ya Uuguzi.
Waziri Ummy amesema tabia ya Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwakamata Wauguzi na Madaktari na kuwaweka ndani haikubaliki kabisa na atakayethubutu kuwachezea watumishi wa afya yeye kama Boss wao atawashughulikia ipasavyo.
Waziri Ummy amesema hayo mkoani Manyara.
Chanzo: ITV habari
Waziri Ummy amesema tabia ya Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwakamata Wauguzi na Madaktari na kuwaweka ndani haikubaliki kabisa na atakayethubutu kuwachezea watumishi wa afya yeye kama Boss wao atawashughulikia ipasavyo.
Waziri Ummy amesema hayo mkoani Manyara.
Chanzo: ITV habari