Waziri Ummy kuwaondoa Walimu wote Shule ya Msingi Mbori ni uonevu

Mgirik

JF-Expert Member
Apr 27, 2013
13,204
13,182
Nmesoma hii habari kwa ufupi imeumiza sana, kwanini waalimu wahamishwe?
Wamefanya kosa gani?

Shule kutokuwa na choo ni jukumu la nani?
Wewe waziri na watu wako wa chini kwanini msianze kuwajibika kabla ya waalimu?

Katika hali ya kawaida mtu yeyote anapoona mazingira aliyopo hayako salama lazma atumie Njia ya kujiongeza, waalimu hawakuwa na kosa kuwatumia wanafunzi kwasababu mazingira ya uchafu shuleni ya kutokuwa na choo yangewadhuru waalimu na wanafunzi pia.

Nyinyi kama serikali kwanini msiwaajibike na hilo lililotokea?

Kwanini mnawaonea waalimu kiasi hicho?
Screenshot_20210728-215919_Facebook.jpg
 
Mleta mada hujielewi kabisa,usikimbie kimbie.
Alichokifanya Ummy ni cha upendo kwa Walimu kuondolewa mazingira hayo.Walimu wawe na makosa au hawana makosa kutokana na mazingira ya vifo.

Nb Mifumo yetu ni ovyo nchi nzima kila mwaka tunajadili vyoo huku watu wanatumia magari ya M 300.huku hatuna vyoo,aibu
 
😠😠, Asee I am very angry,yani hii nchi ukiipenda ,utaumia Sana...Wanafunzi wamekufa Kisa nn?Dah..Ela ya kuwahamisha si ikajenge choo...
 
Mleta mada hujielewi kabisa,usikimbie kimbie.
Alichokifanya Ummy ni cha upendo kwa Walimu kuondolewa mazingira hayo.Walimu wawe na makosa au hawana makosa kutokana na mazingira ya vifo.

Nb Mifumo yetu ni ovyo nchi nzima kila mwaka tunajadili vyoo huku watu wanatumia magari ya M 300.huku hatuna vyoo,aibu
Umeshawahi kuhamishwa? Kwa makosa usiyoyafanya? Acha kuongea pumba
 
Umeshawahi kuhamishwa? Kwa makosa usiyoyafanya? Acha kuongea pumba
Haihitaji nguvu,subiri hasira za wananchi hapo ndipo utaelewa Ummy she is right kwa usalama wako.
Ummy sio mapenzi yake kuwahamisha.Ukiniona Mimi Pumba ni sawa tu.Jifunze nini maana ya usalama wako
 
Wamefukuzwa sio kuhamishwa.
Hiyo taarifa hapo juu mbona inasema wamehamishwa? Wafukuzwe kwa kosa gani? Shule haikuwa na vyoo! Walimu wakajiongeza kutumia nguvu kazi ya wanafunzi kwenda kuleta mchanga. Na ndipo hiyo ajali ikatokea. Binafsi naona ni tukio la bahati mbaya.

Alichokifanya Waziri ni kuwahamisha hao walimu, ili kujenga imani kwa jwmii ya Serikali kuchukua hatua, na pia kuondoa chuki dhidi ya hao walimu kutoka kwa jamii ya eneo husika. Usishangae baada ya miezi miwili Waziri kurudi tena kwenye hiyo shule kuzindua vyoo vipya na vya kisqsa, vilivyojengwa na Serikali! Baada ya hayo maafa kutokea.
 
Hiyo taarifa hapo juu mbona inasema wamehamishwa? Wafukuzwe kwa kosa gani? Shule haikuwa na vyoo! Walimu wakajiongeza kutumia nguvu kazi ya wanafunzi kwenda kuleta mchanga. Na ndipo hiyo ajali ikatokea. Binafsi naona ni tukio la bahati mbaya.

Alichokifanya Waziri ni kuwahamisha hao walimu, ili kujenga imani na pia kuondoa chuki dhidi ya hao walimu kutoka kwa jamii ya eneo husika.
Wasaidie kuwatoa upofu,nimekoment hapo juu kuwa Ummy ana Upendo na walimu kuwahamisha.wanadai wameonewa,hawana upana wa vifo vya mazingira kama hayo
 
Nmesoma hii habari kwa ufupi imeumiza sana, kwanini waalimu wahamishwe?
Wamefanya kosa gani?

Shule kutokuwa na choo ni jukumu la nani?
Wewe waziri na watu wako wa chini kwanini msianze kuwajibika kabla ya waalimu?

Katika hali ya kawaida mtu yeyote anapoona mazingira aliyopo hayako salama lazma atumie Njia ya kujiongeza, waalimu hawakuwa na kosa kuwatumia wanafunzi kwasababu mazingira ya uchafu shuleni ya kutokuwa na choo yangewadhuru waalimu na wanafunzi pia.

Nyinyi kama serikali kwanini msiwaajibike na hilo lililotokea?

Kwanini mnawaonea waalimu kiasi hicho?
View attachment 1872136
Uko sahihi, wao ndio wawajibike, wanajua fika hawana bajeti yoyote ya shule ingetoa wapi pesa?
 
Back
Top Bottom