Waziri Ummy: Deni kubwa la matibabu ya nje lililoibuliwa na CAG halihusu Serikali ya Magufuli tu,ni malimbikizo ya nyuma

Kwani serikali za awamu ya nyuma zilikuwa za Chadema au CUF? Tatizo la CCM wanataka sifa za kufanya mazuri tu. Lakini kwenye taarifa hii ya madeni mnaanza kutupiana mpira, eti ohoo siyo deni la awamu ya 5. Lakini hata serikali za nyuma si za kwenu CCM? Hebu kubalini majukumu ebo!
 
tatizo mkubwa aliwaaminisha wananchi wasio na elimu kuwa yeye ni mtakatifu
sasa trilioni 1.5 zimewekwa hadharani,he never saw this coming
mashaka yangu CAG kuja kubadili msimamo wake wa ripoti
 
CAH anasema:

" Pia nilibaini ongezeko kubwa la deni la gharama za matibabu nje ya nchi kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika hospitali za India kutoka kiasi cha Shilingi 28,609,803,615.40 klichoripotiwa tarehe 30 Juni 2017 hadi kiasi cha Shilingi 45,731,070,267.31 kufikia tarehe 31 Desemba, 2017. "

MY TAKE:

HIvi hayo matumizi ya 28.6 - 45.7 amabyo ni almost 17 Bil ni madogo?

Kam kw amiaka yote mmekuta ni 28.6 na nyinyi mnasema manapunguza ndio kwa mwaka mmoja mnatuletea 17 bil ?
 
Aisee mchwa wapya wamevamia nchi hii na mara hii nchi inafirisika ingawa kuna mapunga hawaelewi kinachoendelea lakini muda ni hakimu mzuri hilo halina shida .................Na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa uchwara za Tanzania utagundua kuna nguvu kubwa inatumika kuukandamiza upinzani na kuudhofesha upinzani ................Hii inafanyika makusudi wafanye madudu yao bila bughudha ................Madudu yote ya awamu zote yameibuliwa na upinzani na la sivyo tusingepata hata kusikia ishu kama Escrow , Dowans na Richmond na uozo mwingine mwingi watu wangekuwa wanajichotea kama shamba la bibi................Inauma sana aisee , halafu haya majitu ndo yanajiita mazalendo pumbavu kabisa
 
Jiwe anapozindua miradi iliyoanzishwa awamu zilizopita wako kimya! Ila kwenye madeni na hasara walizotuletea wanafungua midomo na kumtetea jiwe utadhani awamu zilizopita ziliongozwa na chama kingine!
 
barafu ,

Kutoka ripoti ya CAG kwa mwaka unaoishia June 30, 2015
" Included in the liabilities is an amount of TZS 27,800,677,740 being arrears of medical bills for
patients who have been treated in referral hospital in India."

Ripoti inayoishia June 30, 2017
" I also noticed a drastic increase of medical bills to the Government through the Ministry of Health, Community Development, Gender. Elderly and Children from hospitals in India from TZS 28,609,803,615.40 reported outstanding balance as at 30th June 2017 to TZS 45,731,070,267.31 as at 31st December 2017.

Labda kama kuna makosa kwenye uchapaji wa taarifa ya ukaguzi, maelezo ya mkaguzi yanaonyesha deni la madai ya hospitali za India limeongezeka kwa zaidi ya billion 17 katika kipindi cha miezi sita.

Pamoja na mapungufu ya kitaratibu kwa waziri kujibu hoja za mkaguzi kupitia vyombo vya habari, kutoa taarifa zisizo sahihi kunazidi kutia shaka kama anachoongea waziri kina uhalisia kwa kiasi gani. Binafsi, naamini, katibu mkuu wa afya akiitwa mbele ya kamati husika ya Bunge atakuwa na majibu ya hoja hii.
 
HUYU MAMA UMMY INABIDI AKAPIMWE MKOJO SIO BURE!
MWENZAKE KAI ALIVYOKUWA NA LIKIZO YA KUJIFUNGUFUA A.K.A "MATERNITY LEAVE"ALIJIKWEZA SANA SASA MWENYE MJI AMERUDI TENA KANAWIRI!!LAZIMA UMMY AMECHANGANYIKIWA MAANA DOZI IMEKATISHWA GHAFLA!
UMMY TUAMBIE MKE WA BASHITE ALIENDA KUPANDIKIZWA MIMBA KWA GHARAMA ZA NANI?
SPIKA NDUGAI ALIKUWA NJE YA NCHI KWA MATIBABU BINAFSI KWA GHARAMA ZA NANI?
MAMA GAMBO ALIPELEKWA INDIA KWA GHARAMA ZA NANI?
HII NI RIPOTI YA 2015/2016 AU 2016/2017?
NI AWAMU YA NANI/YA NGAPI?

MKuu CAG 2015/16 ansema hivi kuhusu deni la hospitali india:-

"Deni lililoripotiwa linajumuisha Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ikiwa ni madai ya matibabu kwa Serikali kutoka hospitali za India ambapo Serikali ilipeleka wagonjwa kwa matibabu.Deni la matibabu linalodaiwa kwa mwaka unaoishia 30 Juni, 2016 lina jumla ya shilingi 19,192,661,032 ukilinganishwa na deni lililopita la shilingi 16,940,392,204 ikiwa ni ongezeko la shilingi 2,252,267,829. Hosipitali zinazodai ni kama zinavyoonyeshwa kwenye jedwali hapo chini:"
 
Je deni la mwaka 2016/2017 ni kiasi gani?
'Siasa zimevuruga mwelekeo wa upepo na mvua.'

Piga hesabu ni 17Bil
na hapo juu ripoti ya wmaka jana ina onyesha 2015/2016 ni 19Bil.

Sasa Jiulize figa ya 28Bil kinatoka wapi kama sio CAG kawabeba, ukichunguza vizuri utaona kuna kama 9Bil imefichwa wajinga tusione kuw ani ya wapi na kuisingizia ni ya 2015/2016 wakati ukweli ni ya 2016/2017 amabayo inatupa deni kuu kuwa 26BIl na sio 17Bil matumizi ya 2016/2017 tu.
 
Hahahahaha Barafu wazee wa Lumumba FC naona wameshavamia uzi wako...

Kila dhambi eti anashushiwa mkwere aka mtoto wa mjini JK, Hata Ummy Mwalimu naye anamnanga Jk dah kweli dunia inazunguka na CCM bila unafiki haiwezekani..
 
Leo tena waziri wa Afya bi Ummy Mwalimu ameendelea "kujibu" report ya CAG.Waziri Ummy anasema eneo la deni la matibabu ya nje lililotajwa na CAG sio la awamu ya Tano,bali ni mrundikano wa madeni ya miaka ya nyuma,na hivyo serikali ya awamu ya tano isibebeshwe kana kwamba deni hilo limepatikani ndani ya miaka miwili ya uongozi wa awamu ya Tano.

Kama ni malimbikizo, basi si angeonesha share ya hayo malimbikizo na ulipaji wake kwa kila awamu kwa kutumia reipoti za miaka ya nyuma za CAG?
 
Back
Top Bottom