Waziri Ummy, dawa ya Risperidone au Risdone 1mg kwa wenye Bipolar ni nzuri zingine zina side effects

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Ugonjwa wa Bipolar disorder umekuwa ukichukuliwa kama ni wa watu Fulani tu kitu ambacho si sahihi humkuta yeyote

Hapa duniani hata uwe hauna Ugonjwa lazima uwe na kakitu katakakokuwa kanakukela,Hamna aliekamilika Bali Mungu tu,

Hivyo wenye HIV,mwenye bipolar,stress,msongo wa mawazo,kisukari, Pumu wote ni Mipango ya Mungu ili atukuke kikubwa ni kuzingatia ushauri wa daktari na maisha yanakuwa kawaida,

Hakuna asie na tatizo au kasoro anaweza kuwa safi ila akawekewa maumbile mazuri machoni pa wengine ila kwake asiridhike na akateseka kwa kutoridhika zaidi hata ya mwenye ugonjwa mfano wapo warembo kama Odemba Ila hawaridhiki mpaka wanajichubua

Mh.Ummy dawa nyingi za Bipolar zilizopo kwenye mahospitali hazitibu ipasavyo na zina side effects nyingi wakati kuna dawa ndogo kwa umbo na unameza Mara moja,sio chungu na unakuwa kawaida kabisa uhisi tofauti yeyote kama Resperidone,

Watumieni wataalam wanaozijua dawa hizo kama dr.Agnes Haule wa Bugando kuepusha watu kupewa madawa makubwa na wanameza mara nyingi kwa siku

Pia mh.waziri yupo Daktari Milembe hospital anaitwa Dr.Rehema Chaki amesaidia wanafunzi wengi walio field na wagonjwa,kwanini asiende Ulaya kuongeza shahada kuliko kumficha huko lini wizara itamuona na wewe hata kuwatembelea Milembe hospital hujawahi wakati wana kumbi nzuri unazoweza kufanya mikutano na watumishi na sponsorship sijui mnazitoaje wizarani kwako wanapata wa mjini tu.

Muhimbili yupo professor Sylivia Kaaya,kwanini msimpe kitengo cha utafiti kuliko kumuweka pale mpaka anastaafu

Bipolar wanaugua mpaka wanasiasa na watu mashuhuri ni ugonjwa wa kawaida kama utatumia dawa sawa na HIV au kifua kikuu kama utatumia dawa

Mh.Ummy Dar es salaam kidonge kimoja cha Resperidone ni sh.200,Mwanza no kati ya shilingi 1000 na 1500,wilayani in sh.500 tunaomba usawa uwepo na ukichunguza na kuridhika kuwa ni tiba nzuri basi peleka ktk mahospitali watu waache kupewa dawa za aina moja

Instagram:kaukwaju
 
frankkimario, Mkuu kwa hiyo unataka kusema risperidone haina side effects!!! inazo za kutosha tu.
Ni kweli katika swala la matibabu kujiongeza kulingana na ujuzi ni jambo jema, ila hata hapa tulipo panafaa sana na hakuna hiyo haja ya waziri Ummy kuhangaika na hii hoja.

Kwa swala la Bipolar disorder bado hizi lithium na carbamazepine as mood stabilizers zinafaa sana for long term treatment, kuliko hiyo risperidone hii ni nzuri for short term treatment, na ni nzuri zaidi ukitumika in combination with mood stabilizers maana yenyewe ni antipsychotic, so in case of manic state yes inafaa
 
Mkuu kwa hiyo unataka kusema risperidone haina side effects!!! inazo za kutosha tu.
Ni kweli katika swala la matibabu kujiongeza kulingana na ujuzi ni jambo jema, ila hata hapa tulipo panafaa sana na hakuna hiyo haja ya waziri Ummy kuhangaika na hii hoja.

Kwa swala la Bipolar disorder bado hizi lithium na carbamazepine as mood stabilizers zinafaa sana for long term treatment, kuliko hiyo risperidone hii ni nzuri for short term treatment, na ni nzuri zaidi ukitumika in combination with mood stabilizers maana yenyewe ni antipsychotic, so in case of manic state yes inafaa
Hizo dawa ulizotaja hazifai zinazuia uume kusimama,Zinalewesha huwezi kuandika na zina usingizi na nimakubwa kumeza ila risperidone unakula mzigo mda wowote na unakuwa fiti zaidi ya mtu ambae hatumii
 
Hizo dawa ulizotaja hazifai zinazuia uume kusimama,Zinalewesha huwezi kuandika na zina usingizi na nimakubwa kumeza ila risperidone unakula mzigo mda wowote na unakuwa fiti zaidi ya mtu ambae hatumii
Mkuu si kwamba naandika vitu from no where, ninazifahamu vizuri sana, na watu wengi wamekuwa wanatumia na wako vizuri tu. Kwani side effects ni lazima zimtokee kila mtu? Ukizikataa hizo kwa kusema zinazuia sijui uume kusimama vipi kuhusu Spironolactone si ndio atasema kabisa WHO wazifungie!!!
chochote kinacholeta manufaa halali kwa mgonjwa basi ni sahihi kwake, ili mradi kinatumika chini ya uangalizi wa daktari ili kisimdhuru zaidi au kwa namna nyingine kubwa.
 
Mkuu si kwamba naandika vitu from no where, ninazifahamu vizuri sana, na watu wengi wamekuwa wanatumia na wako vizuri tu. Kwani side effects ni lazima zimtokee kila mtu? Ukizikataa hizo kwa kusema zinazuia sijui uume kusimama vipi kuhusu Spironolactone si ndio atasema kabisa WHO wazifungie!!!
chochote kinacholeta manufaa halali kwa mgonjwa basi ni sahihi kwake, ili mradi kinatumika chini ya uangalizi wa daktari ili kisimdhuru zaidi au kwa namna nyingine kubwa.
Unabishana na mtumiaji......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si kwamba naandika vitu from no where, ninazifahamu vizuri sana, na watu wengi wamekuwa wanatumia na wako vizuri tu. Kwani side effects ni lazima zimtokee kila mtu? Ukizikataa hizo kwa kusema zinazuia sijui uume kusimama vipi kuhusu Spironolactone si ndio atasema kabisa WHO wazifungie!!!
chochote kinacholeta manufaa halali kwa mgonjwa basi ni sahihi kwake, ili mradi kinatumika chini ya uangalizi wa daktari ili kisimdhuru zaidi au kwa namna nyingine kubwa.

Najua watu W anatumia hizo na zimeimprove symptoms zao..sana tu
 
Mimi natumia Resperidone na carbamazapine Nina Bipolar..hizi Dawa zimenisaidia Sana. Dukani Resperidone Ni 1000 kidonge Hadi 500. Leave Carbamazapine Ni 250. Ila Mirembe Ni Bei nafuuu kwakweli.

Wakati Naanza kutumia nlikua nalala Sana Sana na niliongezeka kilo20 alafu nilipata constipation Kali Sana.

Sijui kwa wanaume nasikia inapunguza hamu ya tendo ila Mimi sio sana coz Ni ke

Saiv Miaka 2yakutumia sijawai pata hallucinations Wala sijawa dellusions.

Nafanya kazi nashukuru Nina Degree from UDSM Tena upper second na Nina CPA
So kazi nafanya Kama kawaida na hua naenda Mirembe kuchukua Dawa Kama zipo , Kama hamna nanunua dukani dozi yangu Ni laki moja dukani per month but Mirembe ni Kama 30,000. Hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo unataka kusema risperidone haina side effects!!! inazo za kutosha tu.
Ni kweli katika swala la matibabu kujiongeza kulingana na ujuzi ni jambo jema, ila hata hapa tulipo panafaa sana na hakuna hiyo haja ya waziri Ummy kuhangaika na hii hoja.

Kwa swala la Bipolar disorder bado hizi lithium na carbamazepine as mood stabilizers zinafaa sana for long term treatment, kuliko hiyo risperidone hii ni nzuri for short term treatment, na ni nzuri zaidi ukitumika in combination with mood stabilizers maana yenyewe ni antipsychotic, so in case of manic state yes inafaa
Resperidone ikiwa combined na carbamazapine inakuwa effective..kwangu imeonyesha. Ila nachoogopa Ni nipo pregnant je mtoto hata pata shida na hizi Dawa... Kwakweli Siwezi kuacha Dawa kwa kua nina mimba...maana kuchanganyikiwa sikutaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natumia Resperidone na carbamazapine Nina Bipolar..hizi Dawa zimenisaidia Sana. Dukani Resperidone Ni 1000 kidonge Hadi 500. Leave Carbamazapine Ni 250. Ila Mirembe Ni Bei nafuuu kwakweli.

Wakati Naanza kutumia nlikua nalala Sana Sana na niliongezeka kilo20 alafu nilipata constipation Kali Sana.

Sijui kwa wanaume nasikia inapunguza hamu ya tendo ila Mimi sio sana coz Ni ke

Saiv Miaka 2yakutumia sijawai pata hallucinations Wala sijawa dellusions.

Nafanya kazi nashukuru Nina Degree from UDSM Tena upper second na Nina CPA
So kazi nafanya Kama kawaida na hua naenda Mirembe kuchukua Dawa Kama zipo , Kama hamna nanunua dukani dozi yangu Ni laki moja dukani per month but Mirembe ni Kama 30,000. Hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
unatumia risperidone mg ngapi? na jee kuna daktari mzuri wa tatizo la akili unaemjua? maana bi mkubwa wangu alianzishwa 15mg, naona dozo ni kubwa sana, kama kuna ushauri wowote ule?
 
Back
Top Bottom