Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Tena wale wanaotumiwa na mabeberuTuko kwenye right track, Hili tatizo la upumuaji ni kwa wachache tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wale wanaotumiwa na mabeberuTuko kwenye right track, Hili tatizo la upumuaji ni kwa wachache tu
Ni kweli, tuacheni majungu tupige kaziHakika, tusikubali kuyumbishwa kabisa na kelele za watu. Haswa wakati huu ambao ndio tumeshaishinda vita
Sasa ww unauhakika gani wkt hajatangaza ?
Mimi najua hayapoSasa ww unauhakika gani wkt hajatangaza ?
Just because yuko kimya haimaanishi hayapo.
Yanaweza yawepo au yasiwepo.. now all this news zitakuwa declared tu na waziri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks GTKutotangaza ni mistake kubwa sana. Tena hii ya kutaja idadi ya waliopona tu ni kosa kubwa zaidi maana inaweza kuleta false hopes kwamba haka ni “kaugonjwa kadogo tuuu”. Tangu Jiwe na Ummy walivyopishana kwenye idadi ya watu waliopona, everything that Ummy says must be taken with a pinch of salt
ile taarifa (ya mwisho?!) iliyoonyesha wagonjwa kutapakaa zaidi ya nusu ya mikoa yote Tanzania ilikuwa taarifa safi sana na ilipeleka ujumbe muhimu kwa kila mtu popote alipo kuchukua hatua stahiki. Tunapaswa kurudi kule. Sio fedhega au aibu kutangaza idadi sahihi ya wagonjwa wapya na idadi ya vifo
Anasubiri amri kutoka Chato kwa gimbaJiulize kwanza kwanini hatangazi.
Mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbuaJana nilishangaa kumsikia mtangazaji wa BBC akitangaza Tanzania sasa ina wagonjwa 299 wa Corona.
Nikajiuliza idadi hiyo imefika lini wakati waziri Ummy Mwalimu mara ya mwisho alitutangazia idadi ya wagonjwa 284 kama sikosei. Msamaria mwema akaniambia idadi ya wagonjwa 299 imeinclude wagonjwa wapya kutoka Zanzibar.
Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kujitokeza ni vema waziri Ummy Mwalimu akawa anatupa jumla kuu mara tu Zanzibar inapotangaza wagonjwa wapya.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!