Waziri Ummy awe anatangaza Jumla Kuu baada ya kila Waziri Hamad Rashid anapotangaza wagonjwa wapya

Kutotangaza ni mistake kubwa sana. Tena hii ya kutaja idadi ya waliopona tu ni kosa kubwa zaidi maana inaweza kuleta false hopes kwamba haka ni “kaugonjwa kadogo tuuu”. Tangu Jiwe na Ummy walivyopishana kwenye idadi ya watu waliopona, everything that Ummy says must be taken with a pinch of salt

ile taarifa (ya mwisho?!) iliyoonyesha wagonjwa kutapakaa zaidi ya nusu ya mikoa yote Tanzania ilikuwa taarifa safi sana na ilipeleka ujumbe muhimu kwa kila mtu popote alipo kuchukua hatua stahiki. Tunapaswa kurudi kule. Sio fedhega au aibu kutangaza idadi sahihi ya wagonjwa wapya na idadi ya vifo
 
Kutotangaza ni mistake kubwa sana. Tena hii ya kutaja idadi ya waliopona tu ni kosa kubwa zaidi maana inaweza kuleta false hopes kwamba haka ni “kaugonjwa kadogo tuuu”. Tangu Jiwe na Ummy walivyopishana kwenye idadi ya watu waliopona, everything that Ummy says must be taken with a pinch of salt

ile taarifa (ya mwisho?!) iliyoonyesha wagonjwa kutapakaa zaidi ya nusu ya mikoa yote Tanzania ilikuwa taarifa safi sana na ilipeleka ujumbe muhimu kwa kila mtu popote alipo kuchukua hatua stahiki. Tunapaswa kurudi kule. Sio fedhega au aibu kutangaza idadi sahihi ya wagonjwa wapya na idadi ya vifo
Thanks GT
 
Jana nilishangaa kumsikia mtangazaji wa BBC akitangaza Tanzania sasa ina wagonjwa 299 wa Corona.
Nikajiuliza idadi hiyo imefika lini wakati waziri Ummy Mwalimu mara ya mwisho alitutangazia idadi ya wagonjwa 284 kama sikosei. Msamaria mwema akaniambia idadi ya wagonjwa 299 imeinclude wagonjwa wapya kutoka Zanzibar.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kujitokeza ni vema waziri Ummy Mwalimu akawa anatupa jumla kuu mara tu Zanzibar inapotangaza wagonjwa wapya.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua
 
Back
Top Bottom