johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,612
- 141,435
Jana nilishangaa kumsikia mtangazaji wa BBC akitangaza Tanzania sasa ina wagonjwa 299 wa Corona.
Nikajiuliza idadi hiyo imefika lini wakati waziri Ummy Mwalimu mara ya mwisho alitutangazia idadi ya wagonjwa 284 kama sikosei. Msamaria mwema akaniambia idadi ya wagonjwa 299 imeinclude wagonjwa wapya kutoka Zanzibar.
Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kujitokeza ni vema waziri Ummy Mwalimu akawa anatupa jumla kuu mara tu Zanzibar inapotangaza wagonjwa wapya.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Nikajiuliza idadi hiyo imefika lini wakati waziri Ummy Mwalimu mara ya mwisho alitutangazia idadi ya wagonjwa 284 kama sikosei. Msamaria mwema akaniambia idadi ya wagonjwa 299 imeinclude wagonjwa wapya kutoka Zanzibar.
Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kujitokeza ni vema waziri Ummy Mwalimu akawa anatupa jumla kuu mara tu Zanzibar inapotangaza wagonjwa wapya.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!