Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Waziri Ummy Mwaimu ametoa muda wa siku 60 hospitali za Serikali nchi nzima wawe wamefunga mfumo wa kieletroniki wa mahudhulio kwa Wafanyakazi.
Waziri Ummy ametoa maagizo hayo Leo Jumatano Disemba 5, 2018 alipotembelea hospitali ya Tandahimba iliyopo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara ambapo anahimiza Wananchi kujiunga na huduma ya mfuko wa Bima ya afya na pia amekagua utolewaji wa huduma ya afya hospitalini hapo.
Waziri Ummy ametoa maagizo hayo Leo Jumatano Disemba 5, 2018 alipotembelea hospitali ya Tandahimba iliyopo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara ambapo anahimiza Wananchi kujiunga na huduma ya mfuko wa Bima ya afya na pia amekagua utolewaji wa huduma ya afya hospitalini hapo.