Waziri Ummy akutana na Mkurugenzi mkazi wa Benki ya Dania. Swali ni kwani mradi Wa Kfw umeachwa ikiwa ulikiwa unasaidia wanyonge.??

Mimba za utotoni hazishangiliwi na nafikiri serikali na upinzani wote wanazilaani. Kutokuwapa elimu watoto wetu waliopata haya maafa hakupunguzi umaskini wala hakutazuia fistula. Tujifunze kutoka nchi za ulaya, nafikiri kwao tatizo si kubwa na sidhani kama wanawanyima elimu watoto wao waliopata hili tatizo.
Mtoto wako alishapataga MimbA?? Enzi zetu hata Msichana akipatA mimba akiwa bado kwa wazazi alistahili kuuawa.
 
sasa hao World bank si waanzishe mradi wa kusomesha hao wanaopata mimba za utotoni? Tunafahamu kuwa mimba za utotoni Zina madhara mengi ikiwemo fistula, maternal deaths, umaskini kwa familia inayolea mjukuu. Je katika hiyo misaada kulikiwepo kitita cha kusadia hao watakaopata Fistula, kusadia kulea Mjukuu,nk?kama kweli wana nia njema ya kutusaidia wasitulazimishe vitu vingine vya hovyo kama kuwashangila watoto wanapopata Mimba za utotoni mara sijui tukubari ushoga. Tuna cultures zetu bana.!!!
Sasa mwanao kashapata Mimba ufanyaje hukumtuma akapate. Hivyo huna budi kumsaidia afikie ndoto zake
 
Ni kweli sisi ni maskini maana ukiona wasomomi Kama Mdee,Lissu Fatuma wanawasuppoti mashoga unafikiri ni mchezo? Umaskini hata kiroho na kichwani upooo
Ni kweli ukiona waziri mzima wa afya anaenda kuomba pesa kwa mashoga ujue nae ansapoti ushoga
 
Unaweza kumkosoa Ummy Mwalimu kwa mengi sana kiutendaji lakini huyu dada ni model politician kwa Tanzania in terms public conduct kwa wanasiasa wa jinsia zote.

Siku zote akitokea kwenye media au hadhara basi ni mambo yanayohusiana na kazi zake tu na hata bungeni uwezi kusikia neno taarifa mwenyekiti kutoka kwake halafu akazungumzia vitu visivyohusiana na kazi yake.
 
Mtoto wako alishapataga MimbA?? Enzi zetu hata Msichana akipatA mimba akiwa bado kwa wazazi alistahili kuuawa.

Enzi zako zilishapita na hazitarudi tena, Enzi zako pia watu walikuwa hawauliwi sababu ya mimba tu, pia walikuwa wanakeketwa(rate ilikuwa juu sana) Enzi zako mfumo dume ulitawala ndio maana mbeba mimba aliuwawa na aliyempa mimba akiendelea na maisha.

Sina mtoto aliyepata mimba lakini yupo mzazi aliyesomesha mtoto wake baada ya kupata mimba na sasa mtoto huyu ana maisha bora kabisa na mtoto wake naye ana maisha Safi kabisa
 
sasa hao World bank si waanzishe mradi wa kusomesha hao wanaopata mimba za utotoni? Tunafahamu kuwa mimba za utotoni Zina madhara mengi ikiwemo fistula, maternal deaths, umaskini kwa familia inayolea mjukuu. Je katika hiyo misaada kulikiwepo kitita cha kusadia hao watakaopata Fistula, kusadia kulea Mjukuu,nk?kama kweli wana nia njema ya kutusaidia wasitulazimishe vitu vingine vya hovyo kama kuwashangila watoto wanapopata Mimba za utotoni mara sijui tukubari ushoga. Tuna cultures zetu bana.!!!

Ni kwasababu hatutaki kufikirisha akili zetu, hivi hizo dollar milioni 300 wanazotoa ukiitaka zisaidia hao watoto wanaopata mimba shuleni zitatumika zote kweli au ni kujitoa ufahamu tu. Ungejuwa hiyo elimu bure ndo mchango wake huo kama hazitakuja kabisa usishangai Utaratibu wa kulipia ukarudishwa tena. Ni swala la wakati tu. Sijui kwanini hatuwezi kielewa matatizo yetu na kuwa makini sana na kauli zetu.
 
Ni kweli sisi ni maskini maana ukiona wasomomi Kama Mdee,Lissu Fatuma wanawasuppoti mashoga unafikiri ni mchezo? Umaskini hata kiroho na kichwani upooo

Na ule waraka wa Mahiga ulikuwa unasuppoti nani siyo hao hao mashoga au ndo msemo wa kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Umesahau kuwa hao World Bank wamezuia msaada wa zaidi ya dola za kimarekani milioni 300 kutokana na Jiwe kutamka kuwa hatasomesha watoto wanaopata mimba??

Hii ndizo athari wanazozipata serikali ya awamu ya 5 ambapo viongozi wa serikali wanaendelea "kujiropokea" tu bila kujali athari zake!
He hivi wewe uko Tanzania au uko wapi?!?!?!? The following day WB walimfuata Rais Ikulu na kuhakikisha pesa ipo! Chezea Magufuli wewe. Kila jiwe litageuzwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom