Waziri Ujenzi tazama kasi ya ujenzi wa barabara ya bandari Dar, ikiwezekana wajenge usiku na mchana

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Barabara inayopitia bandarini dar iko katika ujenzi!

Lakini kasi ya ujenzi iko taratibu sana!

Hili linawagusa pia mamlaka za usimamizi kwa kushindwa kumuelekeza mkandarasi umhimu na uharaka wa barabara hiyo kiuchumi!

Haiwezekani barabara kama ile ambayo ni lango la kuu la mizigo kimataifa ikajengwa kwa speed ya kawaida kama vile barabara ya Mwanarumango au buza kwa mparange!

Haiwezekani kabisa barabara kama hiyo mkandarasi akafanya kazi SAA 8 tu kwa siku yenye 24hrs!

Viongozi wenye dhamana na ujenzi huo, Mkandarasi anapataje mda wa kulala usiku na kufanya kazi mchana?

Kipande cha 2km kinachoweza kujengwa miezi miwili nyie mnataka mjenge miaka miwili kweli?

Haya bhana shauri yenu!!!
 
Barabara inayopitia bandarini dar iko katika ujenzi!

Lakini kasi ya ujenzi iko taratibu sana!

Hili linawagusa pia mamlaka za usimamizi kwa kushindwa kumuelekeza mkandarasi umhimu na uharaka wa barabara hiyo kiuchumi!

Haiwezekani barabara kama ile ambayo ni lango la kuu la mizigo kimataifa ikajengwa kwa speed ya kawaida kama vile barabara ya Mwanarumango au buza kwa mparange!

Haiwezekani kabisa barabara kama hiyo mkandarasi akafanya kazi SAA 8 tu kwa siku yenye 24hrs!

Viongozi wenye dhamana na ujenzi huo, Mkandarasi anapataje mda wa kulala usiku na kufanya kazi mchana?

Kipande cha 2km kinachoweza kujengwa miezi miwili nyie mnataka mjenge miaka miwili kweli?

...Haya bhana shauri yenu!!!
Hawa jamaa wanajenga barabara nyeti utadhani wako kwenye majaribio. Wako slow sana wallah
 
Tuliwaonya kuwa wanaoshangilia kifo cha Magufuli wana jambo lao wewe ukapuuza vipi leo na wewe umegawiwa hizo hela za funga mwaka wa bajeti?

Au wewe ni kushangilia tu
We kweli hamnazo. Hii barabara imeanza kujengwa kabla ziraili hajafanya mambo yake.... na speed ilikuwa hii hii... kama wangekuwa makini mwendazake angeizindua hii barabara...
 
Tuliwaonya kuwa wanaoshangilia kifo cha Magufuli wana jambo lao wewe ukapuuza vipi leo na wewe umegawiwa hizo hela za funga mwaka wa bajeti?

Au wewe ni kushangilia tu
Barabara ya Mwenge - Morocco ilijengwa kwa kasi sana. Matokeo yake haikuchukua muda mrefu ikaharibika kwa kasi pia.

Tuache kuingilia mambo ya kitaalamu. Tatizo letu wabongo tunajua kila kitu
 
Tuliwaonya kuwa wanaoshangilia kifo cha Magufuli wana jambo lao wewe ukapuuza vipi leo na wewe umegawiwa hizo hela za funga mwaka wa bajeti?

Au wewe ni kushangilia tu
Wee nae !sijui unaongea nini, kwahiyo unamaanisha kauwawa kwa nderemo na vifijo? Au watu wasingeshangilia ndiyo angefufuka?
 
Unazungumzia hili daraja hapa selander bridge?

Hivi lina kazi gani ya ZIADA sijawahi uliza.

Destination yake ni wapi?
 
Hawa jamaa wanajenga barabara nyeti utadhani wako kwenye majaribio. Wako slow sana wallah
Na waziri yupo? Mkurugenzi yupo, RC yupo, DC yupo, Tanroad wapo, consultant yupo, na wote hao wanalipwa mishahara na posho na magari ya shangingi lakini HAWAONI
 
Wenye vitambulisho ya TPA sasahivi tunajiona tumepatia maisha.

Unaingia 7/8 unatokea no 2, Maisha yanaenda.

Kabla niwe na ID nilikuwa nawatamani sana watu wanavokunja pale sisi tunapambana na foleni ya round about ya bandari na Puma.

Sasa hivi mterezo, dk 5 nipo nyuma ya central.
 
Wenye vitambulisho ya TPA sasahivi tunajiona tumepatia maisha.

Unaingia 7/8 unatokea no 2, Maisha yanaenda.

Kabla niwe na ID nilikuwa nawatamani sana watu wanavokunja pale sisi tunapambana na foleni ya round about ya bandari na Puma.

Sasa hivi mterezo, dk 5 nipo nyuma ya central.
Hahah
 
Barabara ya Mwenge - Morocco ilijengwa kwa kasi sana. Matokeo yake haikuchukua muda mrefu ikaharibika kwa kasi pia.

Tuache kuingilia mambo ya kitaalamu. Tatizo letu wabongo tunajua kila kitu
Sio kweli kila kitu kina end date yake na comissioning date yake ndio maana Magu akipokuwa akiingia ubia na kandaras muda ukipita anakuzingua,contractors smtyms wanachukua hela wanaigawanya ktk miradi mingine,kazi inasimama,tujiulize contract imekaaje mwisho ni lini then kuanzia hapo tutajua,sio kuteteana au kusimangana
 
Back
Top Bottom