Barabara inayopitia bandarini dar iko katika ujenzi!
Lakini kasi ya ujenzi iko taratibu sana!
Hili linawagusa pia mamlaka za usimamizi kwa kushindwa kumuelekeza mkandarasi umhimu na uharaka wa barabara hiyo kiuchumi!
Haiwezekani barabara kama ile ambayo ni lango la kuu la mizigo kimataifa ikajengwa kwa speed ya kawaida kama vile barabara ya Mwanarumango au buza kwa mparange!
Haiwezekani kabisa barabara kama hiyo mkandarasi akafanya kazi SAA 8 tu kwa siku yenye 24hrs!
Viongozi wenye dhamana na ujenzi huo, Mkandarasi anapataje mda wa kulala usiku na kufanya kazi mchana?
Kipande cha 2km kinachoweza kujengwa miezi miwili nyie mnataka mjenge miaka miwili kweli?
Haya bhana shauri yenu!!!
Lakini kasi ya ujenzi iko taratibu sana!
Hili linawagusa pia mamlaka za usimamizi kwa kushindwa kumuelekeza mkandarasi umhimu na uharaka wa barabara hiyo kiuchumi!
Haiwezekani barabara kama ile ambayo ni lango la kuu la mizigo kimataifa ikajengwa kwa speed ya kawaida kama vile barabara ya Mwanarumango au buza kwa mparange!
Haiwezekani kabisa barabara kama hiyo mkandarasi akafanya kazi SAA 8 tu kwa siku yenye 24hrs!
Viongozi wenye dhamana na ujenzi huo, Mkandarasi anapataje mda wa kulala usiku na kufanya kazi mchana?
Kipande cha 2km kinachoweza kujengwa miezi miwili nyie mnataka mjenge miaka miwili kweli?
Haya bhana shauri yenu!!!