MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Mh, Waziri, Tabora Walimu hawafundishi, wanavunja vipindi kwa kulazimishwa kwenda kupanda miti, wiki mbili za mwanzo mwezi Januari zimekwenda na maji kazi kupanda miti.
Wiki hii tena Mkuu wa Mkoa kaanzisha tena Watumishi wote wapande miti na Walimu hakuna kufundisha ni kupanda miti, tena hakuna kutumia wanafunzi, yani Walimu wanaacha vipindi wanapanda miti.
Halafu watasema Syllabus haijaisha.
Chukua hatua haraka Mh Waziri kuokoa Elimu Tabora.
Wiki hii tena Mkuu wa Mkoa kaanzisha tena Watumishi wote wapande miti na Walimu hakuna kufundisha ni kupanda miti, tena hakuna kutumia wanafunzi, yani Walimu wanaacha vipindi wanapanda miti.
Halafu watasema Syllabus haijaisha.
Chukua hatua haraka Mh Waziri kuokoa Elimu Tabora.