Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
Nimesoma kwenye mtandao wa gazeti la serikali la Habari Leo kuwa Waziri Sophia Simba amesema kuwa Salma Kikwete hakuitumia WAMA kwenye kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010. Nikatafuta Salma Kikwete+WAMA+Kampeni na nikakuta ushahidi kuwa Waziri huyu amedanganya bunge.
Ushahidi mmojawapo ni huu:Mama Salma Kikwete afanya kampeni kwa mgongo wa WAMA.
Asha
Ushahidi mmojawapo ni huu:Mama Salma Kikwete afanya kampeni kwa mgongo wa WAMA.
Asha