life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,031
Eee Mungu wanguWee; Leo mwaka wa 2013 Bunge letu linazungumziya "mavazi" !! Looh sijui nchi itajengwa na mavazi au UBONGO wa viongozi ? hayo ni matusi na kejeli kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. aiibu tupu!!