Waziri Simbachawene: Watanzania wanataka amani, maendeleo, siyo Katiba Mpya

Wananchi wajibu mara ngapi Mr Aiko ?!. Hiyo kazi iliyofanywa na tume ya jaji Warioba
Sidhani kama kura hiyo ya maoni ni representative ya jinsi wananchi wanavyo hisi kuhusu suala hili. Uhalisia wa hali iliyopo sasa hivi ni kwamba wananchi wanao fahamu kuhusu katiba ni wachache sana.
 
Yuko sahihi kabisa,chadema wanaamini katiba mpya itawaweka madarakani,poor chadema!!!
Kwanini kama munaamini Nyie ni Watendaji wazuri muogope Kubadili katiba kubali kataa mkuu kile kinachoiumiza chadema ndio hichokinachowapa kiburi Ccm leo kikitoka nakuahidi Ccm hata nyie makada wake mutatambua vitu flani naamin leo hii kuna watu wengi hawataki kua ndani ya Ccm wanataka kua wagombea Huru ila Katiba hairuhusu hilo the same hata kwa Upinzan kuna watu wengi hawataki kua ndan ya upinzan kwahio swala la katiba ni pana sana Mkuu lazima tu likubaliwe hata kama sio leo hata miaka5 ijayo...

Na Kwakuchomekea Hayo maendeleo munayoyasema nyie munajua kua yanaletwa na serikali inayochapa kaz kwelikweli na ilioingia kihalali..sasa katiba iliopo inaingiza serikali kihuni unadhani kutakua na nini hapo?? Maendeleo yatakuepo Mkuu??
 
Sidhani kama kura hiyo ya maoni ni representative ya jinsi wananchi wanavyo hisi kuhusu suala hili. Uhalisia wa hali iliyopo sasa hivi ni kwamba wananchi wanao fahamu kuhusu katiba ni wachache sana.
Kwahiyo ufahamu wa wananchi ukiwa mdogo tubaki kwenye katiba mbovu ?! . Omera ujinga gani huu ambayo watawala na wafuasi wao wanaendekeza ?!.

Ujinga uliopo kwa wananchi ni mkakati uliowekezwa maksudi na serikali kwao ili watawaliwe bila bughdha. Usiniambie nawe ni moja wao. Sirati onge jomofuo go .
 
Machafuko tu ndio njia sahihi ya hawa wahuni.
Hayo machafuko ataanzisha nani? Kama watu wanazuiwa kufanya jogging jumamosi asubuhi na wanaufyata, wataweza kuanzisha machafuko hao? Ni kusubiri siku CCM wakiamua ndipo katiba mpya itapatikana, zaidi ya hapo ni kujilisha upepo tu
 
Hata Mugabe na Albashir walifanya haya haya, Leta mrejesho wa mwisho wao.
o machafuko ataanzisha nani? Kama watu wanazuiwa kufanya jogging jumamosi asubuhi na wanaufyata, wataweza kuanzisha machafuko hao? Ni kusubiri siku CCM wakiamua ndipo katiba mpya itapatikana, zaidi ya hapo ni kujilisha upepo tu
 
Hata Mugabe na Albashir walifanya haya haya, Leta mrejesho wa mwisho wao.
Kwani chama cha Mugabe kimeondolewa madarakani? Si alimpisha tu Makamu wake, kuna tofauti kati ya Mnangagwa na Mugabe? Si wale wale tu!! Huwezi itolea mfano Sudan, hiyo ni failed state
 
Kwani chama cha Mugabe kimeondolewa madarakani? Si alimpisha tu Makamu wake, kuna tofauti kati ya Mnangagwa na Mugabe? Si wale wale tu!! Huwezi itolea mfano Sudan, hiyo ni failed state
Alimpisha Mnangagwa kwa machafuko? Au hujui maana ya kupishana? Kwani nchi yetu ina tofauti gani kubwa ya kimaisha ukilinganisha na hiyo Sudan iliyokuwa ya Elbashir?
 
Kwahiyo ufahamu wa wananchi ukiwa mdogo tubaki kwenye katiba mbovu ?! . Omera ujinga gani huu ambayo watawala na wafuasi wao wanaendekeza ?!.

Ujinga uliopo kwa wananchi ni mkakati uliowekezwa maksudi na serikali kwao ili watawaliwe bila bughdha. Usiniambie nawe ni moja wao. Sirati onge jomofuo go .
Oimore. Kwanza kabisa ni vizuri kuelewa kwamba katiba mpya na tume huru ni matakwa ya wana CHADEMA na sio wananchi.

Kama katiba ni mbovu ni vyema kama tunge elimishwa angalau vitu muhimu ambavyo ni vya kubadilishwa au njia ambazo wananchi wana nyanyasika kwa hali ya sasa hivi. Maandamano na mikutano ya wana CHADEMA iendane na hoja nzito ya jinsi ambavyo watanzania wata nufaika kwa mabadiliko yoyote na jinsi ambavyo hali ya sasa hivi ni mbaya kwa wananchi.
 
Dah mimi sijawahi kuwaamini Wagogo. Naombeni mnisamehe lakini...Ndugai, Kibajaji, Simbachawene, Jumanne Malecela, Le mutuz......natanguliza samahani
Upo sahihi ndugu.
Nimeishi na Wagogo si chini ya miaka 25.
Lusinde, Malecela, Mavunde, na hawa wa zama hizi, wote hawaaminiki.
Angalau Lusinde, lakini waliobaki, ni " liability" kwa familia, jamii yao na taifa kwa ujumla.
 
Oimore. Kwanza kabisa ni vizuri kuelewa kwamba katiba mpya na tume huru ni matakwa ya wana CHADEMA na sio wananchi.

Kama katiba ni mbovu ni vyema kama tunge elimishwa angalau vitu muhimu ambavyo ni vya kubadilishwa au njia ambazo wananchi wana nyanyasika kwa hali ya sasa hivi. Maandamano na mikutano ya wana CHADEMA iendane na hoja nzito ya jinsi ambavyo watanzania wata nufaika kwa mabadiliko yoyote na jinsi ambavyo hali ya sasa hivi ni mbaya kwa wananchi.
Mr Aiko mbona unanisikitisha !! Kwa hiyo wewe kwako wana Cdm siyo wananchi ?!. Huu uelewa ni wa kiwango cha chini kiasi hata ukielimishwa kama unavyodai. HUTAELEWA

Pili unadai uelimishwe ubovu wa katiba ya sasa. UtaelimishwaJe ?! Huku hamtaki hata kuijadili !!.

Kwa ukubwa wa Ccm na rasilimali ilizonavyo hawakupaswa kuwaogopa wananchi ktk swala la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi . Ni aibu sana.
 
Mr Aiko mbona unanisikitisha !! Kwa hiyo wewe kwako wana Cdm siyo wananchi ?!. Huu uelewa ni wa kiwango cha chini kiasi hata ukielimishwa kama unavyodai. HUTAELEWA

Pili unadai uelimishwe ubovu wa katiba ya sasa. UtaelimishwaJe ?! Huku hamtaki hata kuijadili !!.

Kwa ukubwa wa Ccm na rasilimali ilizonavyo hawakupaswa kuwaogopa wananchi ktk swala la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi . Ni aibu sana.
Kwanza kabisa wana CHADEMA ni kundi la watu wachache sana. Haiwezekani kwa kundi la watu hao kuwakilisha maoni ya watu milioni 60. Narudia tena, wanao dai katiba mpya wanafanya hivyo kwa malengo yao binafsi.

Kuelewa nita kuelewa tu na nina kusihi upitie katiba tuliyonayo sasa hivi na uorodheshe mapungu kwanza. Wewe mwenyewe binafsi ungependa kitu kipi kibadilishwe na kwasababu ipi?
 
Alilolisema Waziri nisawa na uwepo wa Polisi bila Mahakama
Mbona kila bunge kuna sheria zina pandikizwa na kabla hazijaanza zina tumbuliwa "mafao"
Waziri mnapenda kuleta mtifuano na kurudi kujidai mnalitatua
Acheni katiba mpya!!!!!
 
"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.

Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.

Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.

======

SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI

Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.

WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.

Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.

“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.

Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.

“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.

Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.

Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.

“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.

Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
Hili jamaa nalishangaa sana , lenyewe linaona hii katiba ni bora kwasababu ina manufaa kwa watawala haya ndio yale yalio pita bila kupingwa, ni aibu kwa waziri mzima kushabikia katiba mbovu inayo mpa rais madaraka ya kifalme .
 
"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.

Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.

Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.

======

SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI

Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.

WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.

Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.

“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.

Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.

“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.

Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.

Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.

“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.

Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
lijamaa linajikomba kwa rais, haya ndio yale yanayo mshauri vibaya rais nia aibu kubwa kwa taifa kuwa na mawziri kama hawa .
 
"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.

Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.

Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.

======

SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI

Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.

WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.

Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.

“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.

Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.

“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.

Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.

Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.

“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.

Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.

Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.

Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.

======

SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI

Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.

WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.

Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.

“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.

Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.

“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.

Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.

Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.

“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.

Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
Kashiba huyu
 
Back
Top Bottom