Waziri Simbachawene: Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni watafutwe na kufikishwa Mahakamani

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Mitandaoni! Ina maana hata simu za mkononi? Mbona waliomchafua JPM kwa njia ya simu baadaye wanaanza kupewa uwaziri?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Nadhani Mama alishasema akosolewe kwa staha. Sidhani kama kuna mtu kamtusi mama, ila naona Mh. Simbachawene anaona reshuffles inanukia.
 
Na wanaomchafua Mbowe kuwa gaidi wao wasifiwe natuzo wapewe!!

*Kweli naomba niende hajandogo kwanza (in kiungai's voice)
#uongoaibu
 
Huo ndio upuuzi tusiotaka kuusikia

Watangaze kwanza nchii hii ni ya kidekta ya kikomunisti sio ya kidemokrasia


Then tuendelee kuanzia hapo

Mnarudi makosa yale Yale ya kutukuza watu kupitiliza Hadi wanafikia stage kudhurumu haki za watu kuishi

Hii sio sawa na hatutokubali
Hamtokubali wewe na Nani?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Vyombo vyote? Amepata wapi hayo mamlaka ya kuamuru vyombo vyote

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Waanze na Polepole, Gwajiboy na Ndugai. Hao wanamponda mama yetu waziwazi bila kificho.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Ngoja tuwaache kwanza ili niwape ujumbe huu.Heshimuni Mamlaka iliyopo kwani yatoka kwa Mungu!.
 
Facebook kuna watu hadi walikua wana mtukania maumbile yake mi nadhani sio sawa, uhuru wa kujieleza lazima uwe na mipaka.
Yeye mwenyewe aliwatukana wachezaji wa kike wa mpira wa miguu kuwa wana vifua flat! Anajidai kwa kuwa na mzigo wa maziwa kifuani!
 
Yeye mwenyewe aliwatukana wachezaji wa kike wa mpira wa miguu kuwa wana vifua flat! Anajidai kwa kuwa na mzigo wa maziwa kifuani!
Kama una weza kumuambia mama yako hivo basi sawa. Ila ile hotuba nadhani watu hawakusikiliza vizuri kupata context, na vyombo vya habari vili potosha. Simtetei mama ila tue na heshima na tujibishane kwa hoja na kuheshimiana.
 
Back
Top Bottom