Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,589
- 52,275
Usingeuza ile mikoba,Bora nikae kimya mtani
Usingeuza ile mikoba,Bora nikae kimya mtani
Sijaipata hii, kaachiwa? Kalasinga je?Leo rugemarila aliyekula pesa za escrow kaachiwa, alafu hapohapo mnataka kukamata wanaomkosoa raisj. Aisee nchi ngumu sana hii
Mitandaoni! Ina maana hata simu za mkononi? Mbona waliomchafua JPM kwa njia ya simu baadaye wanaanza kupewa uwaziri?Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Nadhani Mama alishasema akosolewe kwa staha. Sidhani kama kuna mtu kamtusi mama, ila naona Mh. Simbachawene anaona reshuffles inanukia.Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Ni kweliMitandaoni! Ina maana hata simu za mkononi? Mbona waliomchafua JPM kwa njia ya simu baadaye wanaanza kupewa uwaziri?
Waanze na PolepoleKheee huyu waziri kademka naye loh, basi sawa
Sukuma GANG na Mataga wamempa jina jipya ”Mwanasesere wa Kikwete ”Wanamkejeli kivip?
Hamtokubali wewe na Nani?Huo ndio upuuzi tusiotaka kuusikia
Watangaze kwanza nchii hii ni ya kidekta ya kikomunisti sio ya kidemokrasia
Then tuendelee kuanzia hapo
Mnarudi makosa yale Yale ya kutukuza watu kupitiliza Hadi wanafikia stage kudhurumu haki za watu kuishi
Hii sio sawa na hatutokubali
Vyombo vyote? Amepata wapi hayo mamlaka ya kuamuru vyombo vyoteWaziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Ngoja tuwaache kwanza ili niwape ujumbe huu.Heshimuni Mamlaka iliyopo kwani yatoka kwa Mungu!.Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Yeye mwenyewe aliwatukana wachezaji wa kike wa mpira wa miguu kuwa wana vifua flat! Anajidai kwa kuwa na mzigo wa maziwa kifuani!Facebook kuna watu hadi walikua wana mtukania maumbile yake mi nadhani sio sawa, uhuru wa kujieleza lazima uwe na mipaka.
Kama una weza kumuambia mama yako hivo basi sawa. Ila ile hotuba nadhani watu hawakusikiliza vizuri kupata context, na vyombo vya habari vili potosha. Simtetei mama ila tue na heshima na tujibishane kwa hoja na kuheshimiana.Yeye mwenyewe aliwatukana wachezaji wa kike wa mpira wa miguu kuwa wana vifua flat! Anajidai kwa kuwa na mzigo wa maziwa kifuani!