Hii naunga mkonoWarioba na team yake warudishe pesa ya umma
Hii naunga mkonoWarioba na team yake warudishe pesa ya umma
Hiyo ndio mwanasiasa halisi anavyutakiwa kuwa. Kigeukageuka kwa kufuata mahitaji ya siasa ya sasa hivi.Kinachonishangaza ni kuona ndugu yangu huyu ambaye naamini ni msomi wa sheria leo anaamua kugeuka makusudi mbele ya umma wa watanzania bila hata kuogopa na kuzingatia maadili ya kazi yake.
Nataka niulize swali, hivi si ndio huyu huyu Simbachawene alikuwepo wakati wa kutunga katiba mpya awamu ya 4 chini ya Jaji Warioba? Alishindwa nini wakati ule kusema kuwa Wananchi hawahitaji katiba mpya? Kwenye bunge la katiba alipiga kura ya nini kupata katiba iliyopendekezwa kama mjumbe?
Hivi ninyi viongozi ni lini mtaacha kuwa vigeugeu? Hamumuogopi hata Mungu wenu?
Bora Mhe Rais alitoa msimamo wake kuwa anaimarisha uchumi kwanza lakini hakukataa katiba mpya. Hawa wasaidizi wake wakati mwingine ni wanaisumbua tu jamii na wanamwangusha kwa kujipendekeza kwake.
Waziri mzima msomi wa sheria unasimama unasema kuwa wananchi hawahitaji katiba mpya? Huu ni sawa na usaliti wa taifa, viongozi wetu wajifunze.
VIONGOZI WETU ACHENI KUTUPOTOSHA WANANCHIKinachonishangaza ni kuona ndugu yangu huyu ambaye naamini ni msomi wa sheria leo anaamua kugeuka makusudi mbele ya umma wa watanzania bila hata kuogopa na kuzingatia maadili ya kazi yake.
Nataka niulize swali, hivi si ndio huyu huyu Simbachawene alikuwepo wakati wa kutunga katiba mpya awamu ya 4 chini ya Jaji Warioba? Alishindwa nini wakati ule kusema kuwa Wananchi hawahitaji katiba mpya? Kwenye bunge la katiba alipiga kura ya nini kupata katiba iliyopendekezwa kama mjumbe?
Hivi ninyi viongozi ni lini mtaacha kuwa vigeugeu? Hamumuogopi hata Mungu wenu?
Bora Mhe Rais alitoa msimamo wake kuwa anaimarisha uchumi kwanza lakini hakukataa katiba mpya. Hawa wasaidizi wake wakati mwingine ni wanaisumbua tu jamii na wanamwangusha kwa kujipendekeza kwake.
Waziri mzima msomi wa sheria unasimama unasema kuwa wananchi hawahitaji katiba mpya? Huu ni sawa na usaliti wa taifa, viongozi wetu wajifunze.
Aliisotea open university kwa miaka nane,kichwa kigumuYaleyale mawazo ya walio wengi wa elimu za kuunga unga...mie mara ya mwisho nakumbuka Mheshimiwa alikuwa na FTC, sasa hiyo degree ya sheria itakuwa na mengineyo....
Hii naunga mkono hoja na isiwe Warioba na akina polepole warudishe posho za wanyonge ..Mana wanaikana rasimu waliyopigania..Warioba na team yake warudishe pesa ya umma
Mie naona tuwafungulie kesi ya wizi wa kuaminiwa na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifuHii naunga mkono hoja na isiwe Warioba na akina polepole warudishe posho za wanyonge ..Mana wanaikana rasimu waliyopigania..
Ha ha hii itakuwa nzuri Sana wakili wetu awe KingaiMie naona tuwafungulie kesi ya wizi wa kuaminiwa na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu
Mwanasesere 😂😂😂Ukiwa kwenye hicho chama akili zako zinakuwa useless, automatically unakuwa mwanasesere