Iundwe Tume Huru kuchunguza suala la Hamza kuua Polisi

kiroka

JF-Expert Member
Feb 28, 2018
355
1,854
Ukifuatila kwa ukaribu suala la mauji alofanya Hamza kisha nae kuuwawa unabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Nmesoma gazeti la mwananchi tangu kutokea kwa tukio hili kuna vitu vingi ni ambiguous, kwa mfano majirani zake wote waliohojiwa wanasema jamaa alikua mstaraabu na mpole ukienda chunya wafanyakazi wake wanasema jamaa alikua mstaraabu na mpole pia kwa kifupi hana record ya uhalifu.

Lakini kwann aliua polisi tu na si raia kuna nini kipo kati yake na polisi lakini alipata wapi mafunzo ya kutumia Ak47 kwa ustad mkubwa vile nani alimfundisha na kwa minajili gani.

Mwisho tunaambiwa jamaa ni mfanya biashara wa madini isije ikawa kama ile ya wafanya biaahara wa mahenge morogoro ya mwaka 2006.

Nashauri iundwe tume huru ambayo polisi wasiwe wajumbe kwenye tume hiyo ili ukweli uwekwe wazi.
 
Iundwe tume huru? Nchi hii
mjlol.png
 
"Tume Huru" hayo maneno mawili yanaogopwa sana na polisi na CCM, hawataki kabisa kuyasikia, kuanzia Tume Huru ya uchaguzi na tume nyingine zote zenye neno huru.
 
Mtu kuwa mpole ndio hawezi kuwa gaidi? Hata km angekua anashinda kwenye nyumba za ibada kitendo alichokifanya yeye ni zaidi ya gaidi
Wale wale wanaoangukiaga pua kuoa Ke wamafia, wachawi, wezi na hata makahaba bila kujua sababu hupumbazika na upole wa nnje ilihali tabia ya Mtu hujijua ye mwenyewe na hubadilika wakati wowote.
 
They killed him (intentionally!???), baada ya kumdestabilize akaanguka; badala ya kumchukua akiwa hai. Shame!
We unafikiri kwanini walimmaliza? Kumbuka yule mtu alikua na pisto... Angakua na smg tu basi inawezekana maana aliangukia tumbo sasa huwezi jua kwamba pisto anayo mkononi anasubiri umgeuze afe na wewe au la... Lakini angekua na smg unaiyona jinsi alivoishika.
 
Niliamua nikae kimya kuchangia chochote kuhusu sakata la Hamza dhidi ya Jeshi letu la Polisi.

Jambo lilionifanya nivunje huu ukimya ni kuhisi hatari ninayoiona endapo suala hili litaishia " Bwana alitoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe"

Yesu Kristo alizaliwa Bethlehem katika Nazareth ya Uyahudi. Walioishi hapo Nazareth walikuwa ni wenye kila kila aina matendo mabaya hadi baadhi yao walibeza kwamba Yesu Kristo hajatokea Nazareth kwani hakuja zuri lingetoka Nazareth.

Nikisikiliza maelezo ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam waliomfahamu Hamza wanaelezea mengi sana mazuri kumhusu Hamza. Kwa hapa Dar es Salaam sijamsikia hata mmoja akielezea mwenendo wowote mbaya kumhusu Hamza katika maisha yake enzi zake za uhai.

Kule Chunya wakazi wake wamesikitishwa sana na kifo chake Hadi mmoja akafikia kutamka kwamba ingekuwa moyo wa mtu unanunuliwa na kurithi basi angenunua moyo wa Hamza.

Jambo jingine lililonifanya nivunje ukimya huu ni maneno yake Hamza siku ya tukio kumtaja IGP na kitendo chake cha kufanya mashambulizi kwa Polisi tu huku akipishana na raia japo kwa mbali.
Huzuni kubwa inakuja pale ambapo Polisi waliouawa walipigwa risasi vichwani bila shaka katika close range na kuchukua silaha zao kwa ajili ya kujihami zaidi.

Kutokana na hali hiyo naona Kuna haja Mh Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuunda tume huru kuyachunguza haya masuala ili mrejesho utakaopata utumike kuwajenga askari Polisi katika maadili mema katika utendaji wao wawapo kazini.

Nakumbuka siku ileile Mh Simbachawene, uliwaasa Polisi waache matumizi ya nguvu ..." Msitumie manyota yenu na magwanda yenu kunyanyasa raia" Nukuu isiyo rasmi.

Ikiwa utaunda tume huru itakupa hali halisi ya tabia halisi na mwenendo wa baadhi ya askari Polisi dhidi ya raia. Mrejesho huu utasaidia Polisi kuweza kujirekebisha kimaadili. Mrejesho huu utasaidia mafunzo ya jinsi ya raia kushirikiana na Polisi dhidi ya uhalifu husisani ujambazi, ugaidi, usafirishaji mihadarati, usafirishaji binadamu na kadhalika.

Mrejesho huu utarudisha imani ya raia kwa Jeshi la la Polisi na imani ya Polisi kwa raia wake. Tuwape imani Polisi wetu wafanye kazi kwa amani ili watoe huduma bora.

KUPITIA tume huru wataacha kabisa tabia ya kubambikia kesi raia wake.

Mwisho nakushukuru sana kwa kujali na kusoma mada hii nina imani utachukua hatua.
 
Niliamua nikae kimya kuchangia chochote kuhusu sakata la Hamza dhidi ya Jeshi letu la Polisi.
Jambo lilionifanya nivunje huu ukimya ni kuhisi hatari ninayoiona endapo suala hili litaishia " Bwana alitoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe"
Yesu Kristo alizaliwa Bethlehem katika Nazareth ya Uyahudi. Walioishi hapo Nazareth walikuwa ni wenye kila kila aina matendo mabaya hadi baadhi yao walibeza kwamba Yesu Kristo hajatokea Nazareth kwani hakuja zuri lingetoka Nazareth.
Nikisikiliza maelezo ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam waliomfahamu Hamza wanaelezea mengi sana mazuri kumhusu Hamza. Kwa hapa Dar es Salaam sijamsikia hata mmoja akielezea mwenendo wowote mbaya kumhusu Hamza katika maisha yake enzi zake za uhai.

Kule Chunya wakazi wake wamesikitishwa sana na kifo chake Hadi mmoja akafikia kutamka kwamba ingekuwa moyo wa mtu unanunuliwa na kurithi basi angenunua moyo wa Hamza.

Jambo jingine lililonifanya nivunje ukimya huu ni maneno yake Hamza siku ya tukio kumtaja IGP na kitendo chake cha kufanya mashambulizi kwa Polisi tu huku akipishana na raia japo kwa mbali.
Huzuni kubwa inakuja pale ambapo Polisi waliouawa walipigwa risasi vichwani bila shaka katika close range na kuchukua silaha zao kwa ajili ya kujihami zaidi.
Kutokana na hali hiyo naona Kuna haja Mh Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuunda tume huru kuyachunguza haya masuala ili mrejesho utakaopata utumike kuwajenga askari Polisi katika maadili mema katika utendaji wao wawapo kazini. Nakumbuka siku ileile Mh Simbachawene, uliwaasa Polisi waache matumizi ya nguvu ..." Msitumie manyota yenu na magwanda yenu kunyanyasa raia" Nukuu isiyo rasmi.

Ikiwa utaunda tume huru itakupa hali halisi ya tabia halisi na mwenendo wa baadhi ya askari Polisi dhidi ya raia. Mrejesho huu utasaidia Polisi kuweza kujirekebisha kimaadili. Mrejesho huu utasaidia mafunzo ya jinsi ya raia kushirikiana na Polisi dhidi ya uhalifu husisani ujambazi, ugaidi, usafirishaji mihadarati, usafirishaji binadamu na kadhalika.
Mrejesho huu utarudisha imani ya raia kwa Jeshi la la Polisi na imani ya Polisi kwa raia wake. Tuwape imani Polisi wetu wafanye kazi kwa amani ili watoe huduma bora. KUPITIA tume huru wataacha kabisa tabia ya kubambikia kesi raia wake.

Mwisho nakushukuru sana kwa kujali na kusoma mada hii nina imani utachukua hatua.
Tume ya nini hapo sasa kama wanandugu na rafiki wa karibu wanaeleza wazi kuwa huyo kijana alikwenda Misri kwa Elimu ya dini na aliporudi akawa anasubiri habari njema ila alikuwa anasema itakuja kupigana jihadi.Sasa akili yako inataka nini hapo ni dhahiri mtu huyu tayari inaonesha alishameza sumu za Radicalization na kajifunza kutumia silaha za kivita .Kwa ufupi alipitia mafunzo ya kijeshi ambayo siyo rasmi kisheria alipokuwa huko Mafunzoni Misri.
Badala kuwasikitikia wale Soldiers ambao wamepoteza maisha na kuacha wake na watoto wadogo unahangaika kumuwaza mtu aliyekizi vigezo vyote vya Ugaidi ambaye angefanikiwa kuondoka angeua watu wengi zaidi. Acha chuki binafsi dhidi hao Mapolisi maana wapo watu Safi Sana wengine ni Wachungaji na Maimamu, katika nyumba za Ibada na Madaktari pia wanategemewa na familia zao .Swala la uaminifu ni kitu anazaliwa nacho Mtu hakihusiani na Training na ndiyo maana kila idara imetunga sheria kali kudhibiti Watumishi wake wasifanye Uhalifu.
Kwa Mfano hao vijana waliouwawa kwa mujibu wa jamii inayowazunguka kuwa ni Wanafunzi wa Elimu ya Juu pale CBE wewe huoni kama taifa limepoteza wataalamu wa kulipigania taifa katika uchumi .
Amka kijana mwenzangu acha kuwachukia watu kwa kazi wanazofanya bali fikiri kwanza kabla ya kuwahukumu.
 
Niliamua nikae kimya kuchangia chochote kuhusu sakata la Hamza dhidi ya Jeshi letu la Polisi.
Jambo lilionifanya nivunje huu ukimya ni kuhisi hatari ninayoiona endapo suala hili litaishia " Bwana alitoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe"
Yesu Kristo alizaliwa Bethlehem katika Nazareth ya Uyahudi. Walioishi hapo Nazareth walikuwa ni wenye kila kila aina matendo mabaya hadi baadhi yao walibeza kwamba Yesu Kristo hajatokea Nazareth kwani hakuja zuri lingetoka Nazareth.
Nikisikiliza maelezo ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam waliomfahamu Hamza wanaelezea mengi sana mazuri kumhusu Hamza. Kwa hapa Dar es Salaam sijamsikia hata mmoja akielezea mwenendo wowote mbaya kumhusu Hamza katika maisha yake enzi zake za uhai.

Kule Chunya wakazi wake wamesikitishwa sana na kifo chake Hadi mmoja akafikia kutamka kwamba ingekuwa moyo wa mtu unanunuliwa na kurithi basi angenunua moyo wa Hamza.

Jambo jingine lililonifanya nivunje ukimya huu ni maneno yake Hamza siku ya tukio kumtaja IGP na kitendo chake cha kufanya mashambulizi kwa Polisi tu huku akipishana na raia japo kwa mbali.
Huzuni kubwa inakuja pale ambapo Polisi waliouawa walipigwa risasi vichwani bila shaka katika close range na kuchukua silaha zao kwa ajili ya kujihami zaidi.
Kutokana na hali hiyo naona Kuna haja Mh Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuunda tume huru kuyachunguza haya masuala ili mrejesho utakaopata utumike kuwajenga askari Polisi katika maadili mema katika utendaji wao wawapo kazini. Nakumbuka siku ileile Mh Simbachawene, uliwaasa Polisi waache matumizi ya nguvu ..." Msitumie manyota yenu na magwanda yenu kunyanyasa raia" Nukuu isiyo rasmi.

Ikiwa utaunda tume huru itakupa hali halisi ya tabia halisi na mwenendo wa baadhi ya askari Polisi dhidi ya raia. Mrejesho huu utasaidia Polisi kuweza kujirekebisha kimaadili. Mrejesho huu utasaidia mafunzo ya jinsi ya raia kushirikiana na Polisi dhidi ya uhalifu husisani ujambazi, ugaidi, usafirishaji mihadarati, usafirishaji binadamu na kadhalika.
Mrejesho huu utarudisha imani ya raia kwa Jeshi la la Polisi na imani ya Polisi kwa raia wake. Tuwape imani Polisi wetu wafanye kazi kwa amani ili watoe huduma bora. KUPITIA tume huru wataacha kabisa tabia ya kubambikia kesi raia wake.

Mwisho nakushukuru sana kwa kujali na kusoma mada hii nina imani utachukua hatua.
Ni nzuri ... ila kuhusu kuongelea mazuri ya hamza skuzote marehem huwa anakumbukwa na kuongelewa kwa mema na mazuri yake tu ila na alieanzisha mtafaruku huwa haonekani mbaya ispokuwa atakaekuja kumaliza,,, hamza haonekani mbaya sas ila police ndo wamekuwa wabaya,, tuendelee na tozo zetu znaumiza uspime
 
Tume ya nini hapo sasa kama wanandugu na rafiki wa karibu wanaeleza wazi kuwa huyo kijana alikwenda Misri kwa Elimu ya dini na aliporudi akawa anasubiri habari njema ila alikuwa anasema itakuja kupigana jihadi.Sasa akili yako inataka nini hapo ni dhahiri mtu huyu tayari inaonesha alishameza sumu za Radicalization na kajifunza kutumia silaha za kivita .Kwa ufupi alipitia mafunzo ya kijeshi ambayo siyo rasmi kisheria alipokuwa huko Mafunzoni Misri.
Badala kuwasikitikia wale Soldiers ambao wamepoteza maisha na kuacha wake na watoto wadogo unahangaika kumuwaza mtu aliyekizi vigezo vyote vya Ugaidi ambaye angefanikiwa kuondoka angeua watu wengi zaidi. Acha chuki binafsi dhidi hao Mapolisi maana wapo watu Safi Sana wengine ni Wachungaji na Maimamu, katika nyumba za Ibada na Madaktari pia wanategemewa na familia zao .Swala la uaminifu ni kitu anazaliwa nacho Mtu hakihusiani na Training na ndiyo maana kila idara imetunga sheria kali kudhibiti Watumishi wake wasifanye Uhalifu.
Kwa Mfano hao vijana waliouwawa kwa mujibu wa jamii inayowazunguka kuwa ni Wanafunzi wa Elimu ya Juu pale CBE wewe huoni kama taifa limepoteza wataalamu wa kulipigania taifa katika uchumi .
Amka kijana mwenzangu acha kuwachukia watu kwa kazi wanazofanya bali fikiri kwanza kabla ya kuwahukumu.
Ongea meeengiii but just remember this : Kwenye maisha yako hapa duniani aidha wewe, mkeo, mumeo, mtoto wako, mzazi wako, ndugu wa karibu, jirani na jamaa zako wasijeingia kwenye 18 za hao jamaa... na ikitokea umeingia kwenye 18 zao ulete mrejesho hapa. Kumbuka zilongwa mbali na zitendwa mbali.
 
Back
Top Bottom