Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
Waziri mhe. Simbachawene nimekusikia ukielezea hatua mbalimbali zitakazo chukuliwa dhidi ya watu wanaowakejeli, watukana na kuwakashifu Rais na viongozi pamoja na hata waliofariki!
Mimi ninachojiuliza ni wewe ni waziri wa serikali ya Tanzania kwa watanzania au ni kwa wanaccm tu?
Sijui utawezaje kuwalazimisha polisi wamkamate mwanaccm aliyemtendea kosa mwanachadema?
Ni ukweli usiopingika kuna wanachadema wengi waliojeruhiwa, kufariki na kukashifiwa bila jeshi la polisi kichukua hatua zozote!
Japo polisi hiyohiyo ni nyepesi kuwakamata wanachadema kwa mambo ambayo hayana makosa kisheria.
Mhe. Waziri unajitwisha mzigo mzito uliojengwa wa ubaguzi wa kiitikadi ambao utajikuta unakandamiza kundi moja huku jingine ukilikumbatia.
Mimi ninachojiuliza ni wewe ni waziri wa serikali ya Tanzania kwa watanzania au ni kwa wanaccm tu?
Sijui utawezaje kuwalazimisha polisi wamkamate mwanaccm aliyemtendea kosa mwanachadema?
Ni ukweli usiopingika kuna wanachadema wengi waliojeruhiwa, kufariki na kukashifiwa bila jeshi la polisi kichukua hatua zozote!
Japo polisi hiyohiyo ni nyepesi kuwakamata wanachadema kwa mambo ambayo hayana makosa kisheria.
Mhe. Waziri unajitwisha mzigo mzito uliojengwa wa ubaguzi wa kiitikadi ambao utajikuta unakandamiza kundi moja huku jingine ukilikumbatia.