Waziri Simbachawene: Huwezi kumchukua aliyepata divisheni 1 ili akalinde benki au kucheza gwaride, lazima muelewe jamani

Mfumo wa polis wa Tanzania umetengenezwa kwa ajili ya watu wachache tu ambao ni top layer ndo wanafaidika nao halafu huku chini wanachukuwa watu wenye uelewa mdogo wa mambo ndo maana unaona hata Mambo mengi ya PGO hawajui wakati ni sehemu ya muongozo katika kazi zao, hii ilikuwepo hata jeshini miaka ya nyuma sema kwa sasa jeshi nalo limeanza kufanya mabadiliko makubwa kwa kuchukuwa vijana wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi ili kuwa na watu makini, tatizo limebakia polisi ndo hawahitaji kuendana na wakati
 
Kwa hiyo ili uwe polisi unatakiwa uwe mbumbumbu?
Ili ukiagizwa au kupewa maelekezo utekeleze bila kufikiri?
Au waziri wakati anaongea haya ndio alikuwa emerudi kutoka 'titanic'
 
Kwa hiyo ili uwe polisi unatakiwa uwe mbumbumbu?
Ili ukiagizwa au kupewa maelekezo utekeleze bila kufikiri?
Au waziri wakati anaongea haya ndio alikuwa emerudi kutoka 'titanic'
Mbona siku zote kwenye kesi ya Mbowe yalikuwa yakisemwa hayo na hakuna aliyekanusha, leo kasema waziri imekuwa nongwa!
 
Tukumbushane miaka ya zamani, kazi ya ualimu ilijulikana kuwa ni ya walioshindwa mitihani na ndivyo ilivyokuwa haukuhitaji kufaulu ili uwe mwalimu.
UPE, Ualimu Pasipo Elimu.
 
Tatizo hao failures wanaumiza wasio na hatia, hawazijui sheria za nchi, wao kukamata na kumpiga mtuhumiwa wanaona sifa, hili waziri anatakiwa kuliangalia, sio lazima mpaka polisi awe na digrii ndio ajue mipaka ya majukumu yake.

Wanatakiwa kutoa elimu kwa hao vilaza wajue kumpiga mtuhumiwa akiwa mikononi mwao ni kosa kisheria, wanaweza kushtakiwa na wakikutwa na hatia watakwenda jela, tatizo wanatumia uoga wa watanzania kuwatendea unyama.

alipaswa azungumzie hili,na sio huu utumbo uliomtoka.
 
Kamanda Zerrrrroooo rijambazi rimekimbiria kure kwenye matofari,
Chacha chukua pozisheni hapa,
rajabu chukua Kona ire

Kamanda chare hakikisheni upande wenu huko harichomoki hiri rijizi umenipata ovaaaaaa!


Ovaaaaaa mura nimekupa vema dakika Tatu ni mashamburizi!

ha ha ha ha ha ha ha aisee nimecheka sana!!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. George Simbachawene amesema kuwa, walitangaza kiwango cha chini cha ufaulu wa nafasi za ajira za Jeshi la Polisi hivi karibuni kutokana na umuhimu wa taaluma hiyo kwa kuwa wenye viwango vikubwa hawawezi kushika silaha wala kulinda benki.
 
Hao wenye kiwango kikubwa wakishika hizo nafasi wanazihepa kwa kwenda kujisomesha zaidi so akiwa masomoni analipwa huko lindo atakaa nani?

Waangalie utaratibu mzuri mazingira ya ajira ktk nchi yetu yaonyesha Kuna mahali hapako sawa.
 
Back
Top Bottom