Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,470
- 2,864
Japo wote wanafanana na walioishi form four na kupata division four. Kiongozi wenu wa juu ndio shahidi wa hili.
Simbachawene alishakamatwa na polisi akiwa waziri wa TAMISEMI kwa makosa ya usalaama barabarani aluposhuka tu alianza kuwaambia askari namaana huoni bendera? Wakamwambia tatizo siyo bendera tatizo ni mwendokasi sehemu ambayo hairuhusiwi JPM alimwambia lipa faini umeyataka mwenyewe acha askari wafanye kazi yao tangu kipindi hicho ana chuki na askari polisi! Idara ya polisi siyo kwamba ni idara ambayo ina wafanyakazi walioishia kidato cha nne wapo wenye elimu kubwa! Kama idara nyingine.