Waziri Selina Kombani (Katiba na Sheria) na Hatima ya Katiba Mpya

Uliosomwa ni mswada, matumizi ya kuufanyia kazi huo mswada baada ya kuwa sheria yatakuwa kwenye bajeti ya 2011/12
 
6th April 2011






Celina%20Kombani(1).jpg



Constitutional Affairs and Justice Minister Celina Kombani



The government yesterday clarified controversies surrounding the ongoing constitutional review process, asking legislators and Tanzanians in general to avoid misleading information.
The clarification was made by Constitutional Affairs and Justice Minister Celina Kombani, when responding to a supplementary question posed by Special Seats MP Fakharia Shomar Khamis.
The legislator wanted to know what strategies the government would employ to ensure effective participation of all Tanzanians in the constitutional review process.
"It is of great significance for MPs and Tanzanians to understand well the constitutional review process," said Kombani.
"The Bill that the government expects to table in this House is to prepare the ground for the constitutional review process. It's the Bill for the enactment of the new Constitution," she stressed.
The Draft Constitutional Review Act, 2011, according to the minister, had been designed to kick-start the constitutional review process. After being tabled in the House, she said, MPs would have time to debate it and add their inputs. "So, it is important for MPs to understand the contents of this Bill and later educate members of the public," noted the minister.
The constitutional review Bill, among other things, Kombani said, proposed the formation of a special commission that would facilitate the process of writing the new Constitution.
Responding to the basic question asked by the same MP, the minister said some of the core functions of the proposed commission would be to raise public awareness on the current Constitution.
She said the government would cooperate with civil societies in raising public awareness on the current Constitution.
"Education is a significant component in this process.
We, in the government, believe that if members of the public are well informed on the existing Constitution, they would be in a better position to contribute their views in the process of writing the new Constitution," Kombani said.
The constitutional review Bill was expected to be subjected to public hearing for the first time in Dodoma and Dar es Salaam on Thursday. The public hearing sessions led by the Parliamentary Standing Committee on Constitution, Legal and Administration are scheduled to last for two days and where necessary, the sessions would be extended for a third day.
Zitto Kabwe (Chadema) yesterday asked the Speaker to shelve debate on the Constitution review Bill, saying MPs should be given time to go with the document in their constituencies - to collect public opinions.
"We should not discuss the Bill without getting opinions of our voters. That is why I propose that we have to shelve the debate on this Bill until we get their views first," said Kabwe.
Responding, the National Assembly Speaker, Anne Makinda, said: "I remember Zitto is a member of the Parliamentary Committee, which recommended this process to start as soon as possible, but now he is coming with a new story. But we shouldn't be worried. This Bill is to kick-start the process, laying a ground for the writing of the new Constitution."
On Monday, the opposition camp criticised the review process, saying the time allocated for gathering public views was too short. The leader of the official opposition camp in the Parliament, Freeman Mbowe, said the Constitution was a sensitive matter and, therefore, he expected the government to avoid rushing the Bill to the Parliament.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Waungwana naomba mnisaidie mawazo au uelewa, huyu dada kombani alikataa mchakato kwa ajili ya katiba mpya kwa kisingizio kuwa serikali haina pesa, jana muswada aliosoma wizara yake imekopeshwa na nani?
Serikali hiyo hiyo ina pesa ya kutenga bajeti kwa ajili ya chai na vitafunio kwenye wizara zake.
 
Tatizo huyu mama anatumika kama chambo ili serikali isikilize wananchi watasemje
 
unategemea nini kwa waziri aliyekuwa mfagizi katika ofisi za chama miaka hiyo ....hayo ndo majibu yake ..nothing new
 
Hii ndio Tz huwa hatuna ajenda, sisi ni fuata upepo, serikali unadhani wa Tz ni kama watoto wanaoweza kudanganywa na pipi
 
Kauli ya waziri = kauli ya serikali

waziri kombani anasema kuboresha muswada kuhusu uundwaji wa tume ruksa, kufifisha hapana. Je, ndo kusema maoni ya kuupinga muswada sio maoni na serikali haitaki kuyasikia? So kwanini wanakusanya maoni ya watanzania kama hawataki kukosolewa?
So watanzania ni wapumbavu kiasi cha serikali kukataa maoni yetu pale ambapo yanakinzana na mawazo yao?

Binafsi nimesikitishwa na kauli hiyo ya serikali kwani huu mchakato unaelekea kutupeleka pabaya watanzania. Natoa rai kwa raisi kikwete kuruhusu watanzania waamue maswala yao freely na si kutaka wananchi wafuate matakwa ya watawala bali watawala wafuate matakwa ya wananchi

natumai watanzania wenzangu mtakua na cha kuongeza ama kupunguza katika mawazo yangu haya. Uwanja ni wenu


kwa sasa nina wasiwasi na watu wanaokaa katika posts za kuteuliwa.... Hawana fikra huru na naona wanamezeshwa
 
Chini ya serikali CCM tusitarajie katiba ya wananchi. Serikali na CCM yake wana nia mbaya sana kuhusu katiba; Nahamasisha wananchi kukataa mswada huu kama ndugu zetu wa Zanzibar walivyofanya. Wakilazimisha mambo, wajiandae kuondoka madarakani ikiwezekana kabla ya mwaka 2015;

TUWEKEZE KWENYE NGUVU YA UMMA
 
Mimi si nabii wala mtoto wa nabii, lakini naona serikali ya mpito ikiundwa baada ya JK kukimbia nchi muda si mrefu ujao.
 
Jamani mimi nawashangaa hawa wavua gamba, yaani huyu mama pamoja na kuona shauku ya wananchi ya kutaka kushiriki kujadili muundo wa kamati itakayoshugulika na ukusanyaji wa maoni ya wananchi ili kufikia uandikikaji wa katiba mpya bado yeye anafikiri kwamba serikali ndiyo itakayoamua yapi ya kuweka na yapi ya kuacha. Hawa watu wamesahau au hawajifunzi kuhusu nguvu ya umma inayotikisa dunia kwa sasa! sisi kuwapa madaraka hatuja wapa kutuamulia kila kitu hasa katika suala linalohusu mstakabali wa taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Hebu wadau naomba tuliangalie hili kwa undani!! kwa maoni yangu naona ni vizuri tusiwanyamazie hawa wapuuzi wanataka kuendelea kutudhulumu haki zetu.


Nawasilisha:
 
Wadau nikiwa na drive kuelekea ofisin nikawa nasikiliza CLOUDS FM walikuwa wana muhoji Celline Kombani W/Sheria na Katiba katika ya mambo yaliyonishutua ni msimamo wake wa bado kutaka Raisi kuteua wajumbe wa Time ya kurekebisha katiba akitolea mfano wa Zambia, Malawi, Kenya na Uganda walipokuwa wanapofanya mabadiliko ya katiba zao

Anasema Maraisi wa huko ndio waliteua tume na wajumbe wake n yeye kuita hiyo best practice na kushangaa kwa nini sisi tuna kataa?
 
Wadau nikiwa na drive kuelekea ofisin nikawa nasikiliza CLOUDS FM walikuwa wana muhoji Celline Kombani W/Sheria na Katiba katika ya mambo yaliyonishutua ni msimamo wake wa bado kutaka Raisi kuteua wajumbe wa Time ya kurekebisha katiba akitolea mfano wa Zambia, Malawi, Kenya na Uganda walipokuwa wanapofanya mabadiliko ya katiba zao

Anasema Maraisi wa huko ndio waliteua tume na wajumbe wake n yeye kuita hiyo best practice na kushangaa kwa nini sisi tuna kataa?

Mkuu yamkini hukumsikiliza vizuri kwani hata mie nilisikiliza Power Breakfast asubuhi ya leo.Alitolea mfano tuu hakumaanisha kwani alisema sisi tumekuwa wanademokrasia zaidi tumeenda mbali kushirikisha Bunge hata katika hatua hii ya awali.Ila tu wabunge na wananchi walio wengi hawajaelewa nini kinafanyika kwa sasa.:frusty:
 
Wadau nikiwa na drive kuelekea ofisin nikawa nasikiliza CLOUDS FM walikuwa wana muhoji Celline Kombani W/Sheria na Katiba katika ya mambo yaliyonishutua ni msimamo wake wa bado kutaka Raisi kuteua wajumbe wa Time ya kurekebisha katiba akitolea mfano wa Zambia, Malawi, Kenya na Uganda walipokuwa wanapofanya mabadiliko ya katiba zao

Anasema Maraisi wa huko ndio waliteua tume na wajumbe wake n yeye kuita hiyo best practice na kushangaa kwa nini sisi tuna kataa?
Sasa naanza kuamini kwamba viongozi wetu wa CCM wavivu wa kufikiri, wakati wote wanachokifanya ni ku-copy na ku-paste.Hiki ndicho kiini cha mikataba na miswaada mibovu.Katika ili la katiba naona walikua wavivu hata angalau kutafsiri, kunasiku tutakuja kuletewa miswaada kwa lugha yakiitaliano au kiarabu.Hawa watu mbali ta ku-copy na ku-paste wanashindwa kutumia au kuchanganya akili yao wa kidogo kuangalia baadhi ya vigezo mfano historia,utamaduni,mazingira hali ya hewa na upepo wa kisiasa n.k.Tuna kazi MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Kiroroma mkuu,Alitoa hayo kama maelezo na mifano akijaribu ku validate raisi kuteua tume na wajumbe, tena hiyo mifano aliita best practices na siku zote muungwana hutakiwa kuiga best practies inayopelekea kuamini bado ana msimamo wa raisi kuteua tume jaribu kuelewa na tusiwe nasi wavivu wa kufikiri kaka
 
Jamani hata mie nimemsikiliza kuanzia mwanzo alipoulizwa juu ya raisi kuteua tume na kuonesha wao kama serikali wanaona ni bora tume iteuliwe na RAIS kwa kuangalia tume za nchi nyingine kama Kenya,uganda,zambia na alionesha kulidhia wazo hilo pamoja na kwamba watz wengi tunaona hafai kwani wanapoongelea wanasiasa wasijumuishwe kwenye tume wakati tume yenyewe imeundwa na mwanasia (RAIS) SIJUI ANATUELEZA NINI HAPO.
 
Wana JF
kumbuken yule mama ni mvivu wa kufikiri na huwa anatumwa...she cnt stand on her own,mi pia nilimsikia akiongea clouds asbh.Why shld we copy from other countries intseady badala ya kufuata mfumo wa katiba kutoka kwa wananch bottom-top constitution.Katiba inabid itoke kwa wananchi toka lin mpangaji anamtengenezea mkataba mwenye nyumba
 
Back
Top Bottom