Chikawe alikuwa pale na digrii yake ya Sheria + digrii ya ushushushu alitusaidia nini?Dr Mwakyembe MP,LLB,LLM,LLD
Chikawe alikuwa pale na digrii yake ya Sheria + digrii ya ushushushu alitusaidia nini?
Hili swala la katiba ni wananchi wenyewe waamke na kudai katiba mpya,wananchi wakiamua si waziri wala nani mwenye uwezo wa kuizuia,hizi kauli zinatolewa na waziri kutokana na usingizi tulio nao sisi wananchi na wewe unayesoma posts hii,tuamke wananchi tusiwaachie chadema tu,
unawezakuona usivyokuwa makini. Tume inayojadiliwa ni ya uchaguzi na siyo ya kurekebisha sheria. Wewe ndo yeye tu. Na siamini kama huna matatizo tena makubwa.
A. WASIFU:
Jina: Celina Ompeshi Kombani
Nafasi: Waziri wa Katiba na Sheria
Jimbo la Ubunge: Ulanga Mashariki (2005-2010) na ametetea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Tarehe ya Kuzaliwa: 19 Juni 1959
Nafasi nyingine alizowahi kushika
Waziri: Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) (2008 2010).
Naibu Waziri: Ofisi ya Waziri Mkuu Tamisemi (2006 2008)
Elimu:
Stashahada , Chuo cha Uongozi wa Maendeleo Mzumbe (IDM) (1985)
Shahada ya Uzamili ya Uongozi (IDM) (1992-1994)
Historia ya Ajira
Afisa Tawala Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
Meneja wa Kiwanda cha Maturubai Morogoro (Morogoro Canvas Mill)( 1994-1995)
maringo-profiles: CELINA KOMBANI: MBUNGE WA MOROGORO MASHARIKI; WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA (BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LA KIKWETE 2010)
http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_1225.html