Waziri Selina Kombani (Katiba na Sheria) na Hatima ya Katiba Mpya

Wakuu nimekosa imani kabisa na huyu waziri wa sheria na katiba,kwa kumtazama harakaharaka amekosa confidence,sitaki kufikiria alipewa kazi kwa sababu fulani fulani na sio uwezo,kila akihojiwa nakosa imani kabisa na yeye,
uwezo wa kujieleza ni mdogo sana,kwa umri wake sidhani kama alitakiwa kuwa vile,tutajua tu!
Si umepitia ule waraka uliompa mtu ban? Nadhani hakuna swali hapo tena.
 
Serikali imefulia mkuu sio kwamba Mzee pombe hapigi kazi,hawezeshwi ki ukweli ni kwamba wanadaiwa ile mbaya kwenye miradi ya barabara.
Huyo Pombe naye ni mnafiki tu mpenda madaraka.Principally kama ni msomi anajuwa cha kufanya.

Kama anaona policies anazozisimamia haziendani na maono yake ama principles za profeesionalism na kwamba anaona outcomes zake ni a failure, basi ni bora angejiuzulu tu!

Hawezi kujitetea kuwa hawezeshwi na wakati bado yumo tu na anapokea mshahara na marupurupu kama kawaida na pia kusimamia failed projects, maybe anataka tu madaraka.

He must prove us wrong,otherwise namweka kapu moja tu!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
tupeni CV yake ,maanake wengine hatumjui

Ni Mzaliwa wa Kilombero,
Hajaolewa,
Mshirikina alopita vigezo vyote! alokubuhu,
Alihusika na mauaji ya kijana mmoja pale nyumbani kwake Mikocheni mwaka jana (kama nipo ok na mda) uchunguzi na kesi imeyeyuka!
 
Tatizo sio celina Ni hao Magamba na mfumo mzima.
Kama magamba hawataki katiba mpya celina hana nguvu zaidi ya kumsikiliza anachotaka bosi wake.
Kwa kuwa magamba wao wanasisitiza marekebisho ya katiba na si katiba mpya Celina hawezi kuja na mapendekezo yake, au kufanya kitu ambacho hajatumwa.
 
Wakuu nimekosa imani kabisa na huyu waziri wa sheria na katiba,kwa kumtazama harakaharaka amekosa confidence,sitaki kufikiria alipewa kazi kwa sababu fulani fulani na sio uwezo,kila akihojiwa nakosa imani kabisa na yeye,
uwezo wa kujieleza ni mdogo sana,kwa umri wake sidhani kama alitakiwa kuwa vile,tutajua tu!

Bora wewe uongee mkuu labda utaeleweka, kwani mi nilishaliongelea sana hilo suala. Yule mama ni kilaza vibaya mno na hii wizara ni ngumu sana kwake. Hajiamini hata kidogo yule hata ukuu wa wilaya hakustahili.
 
Hiyo wizara ingewafaa Chikawa, Sitta au Mwakyembe; sema hawa wanaongea lugha ambayo mkuu wao hataielewa

Mh! Sina hakika na watu unaowataja. wawili kati yao wamewahi kuwa kwenye
wizara hiyo lakini sijaona tofauti yao na waziri aliyepo sasa. Huyo wa tatu nadhani
anafaa kuwa mwalimu zaidi wa sheria kuliko uwaziri...
 
"Hoja yetu daima imekuwa kwamba tusisubiri machafuko ndipo tutende, kwamba tutende wakati tukiwa bado wamoja, kwani kutenda baada ya kufarakana na kutengana au kutenda wakati nyoyo na mitima yetu ikiwa tayari imegubikwa na chuki, visirani na dhamira ya kuangamizana wenyewe kwa wenyewe, tutakuwa hatuwezi kutenda tena kwani hatutakuwa tena watu timamu bali wendawazimu."
Hiki ndicho nami kila siku nimekua nikisisitiza na kujiuliza kwanini tupigane?? na hau wanaotofanya tupigane hawataathirika hata kidogo wao na familia zao katika machafuko watakayo yasababisha.Tusimame timamu, tuwakatalie, tuwazomee, waone aibu na waondoke watuache tuishi kwa amani katika nchi yetu
 
Back
Top Bottom