Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Nimepata habari muda huu huu kwamba ajali mbaya imetokea Wilani Njombe , na katika ajali hiyo Mh.Salome Mbatia amefariki. Mtoa taarifa hakuweza kunieleza zaidi maana alikuwa na wasi wasi ila kasema miongoni mwa walio fariki ni waziri Salome Mbatia .
Mengine nitayasema kwa kadiri nitakavyo weza kuyapata .
Mengine nitayasema kwa kadiri nitakavyo weza kuyapata .