nyamwingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 933
- 863
Wananunua Bei gani mahindi ?Hizi ishu mziache tu....nipo iringa hapa nazungukiaga maeneo ya cpb...au nmc ya zaman...Hawa jamaa wameamua kufanya biashara ya nafaka aiseee , Pana magari yameleta mahindi ...aisee Hawa jamaa kwa speed hii wanaweza nunua mahindi ya southern highland yote na wakayahifadhi na kuya uza taratibu....kukiwa na kampuni hata tano tu tz zenye nguvu hivi wanatosha kufanya unga kuwa gharama....halafu tz mahindi Bei chee ko nao hawatakubali kuuza ndani kwani pesa ipo Kenya , Sudan na Somalia ko Wana exhaust chakula tz wanaenda kupiga pesa mbele...aisee tujipnge Sana , Hadi nawaza jinsi maisha yatakuwa ghali huko Feb mwakan