Waziri Profesa Mkenda, acha kutumika kuua Viwanda vya ndani vya Mbolea

Hizi ishu mziache tu....nipo iringa hapa nazungukiaga maeneo ya cpb...au nmc ya zaman...Hawa jamaa wameamua kufanya biashara ya nafaka aiseee , Pana magari yameleta mahindi ...aisee Hawa jamaa kwa speed hii wanaweza nunua mahindi ya southern highland yote na wakayahifadhi na kuya uza taratibu....kukiwa na kampuni hata tano tu tz zenye nguvu hivi wanatosha kufanya unga kuwa gharama....halafu tz mahindi Bei chee ko nao hawatakubali kuuza ndani kwani pesa ipo Kenya , Sudan na Somalia ko Wana exhaust chakula tz wanaenda kupiga pesa mbele...aisee tujipnge Sana , Hadi nawaza jinsi maisha yatakuwa ghali huko Feb mwakan
Wananunua Bei gani mahindi ?
 
Moja ya kazi za usalama wa taifa ni kufutilia uhujumu wa namna hii (economic sabotage). Kilimo, na mnyororo wake wa thamani, kinaajiri zaidi ya asilimia 70 ya watanzania. Itasikitisha sana kama itaruhusiwa kuchezea hii sekta kiduwanzi hivyo,
Kuna mwaka Nyerere aliwahi mwamsha waziri usiku akafuatilie bei ya sukari baada ya kupewa Kuna hujuma inataka kufanywa.
 
Kuna mwaka Nyerere aliwahi mwamsha waziri usiku akafuatilie bei ya sukari baada ya kupewa Kuna hujuma inataka kufanywa.
nyerere alishakufa sasa tuko kwenye gari lisilo na dereva waendeshashaji mautingo tu mara mwigulu mara sirro yaani haijulikani nani ni nani kila mmoja kambale ana masharubu
 
Hizi ishu mziache tu....nipo iringa hapa nazungukiaga maeneo ya cpb...au nmc ya zaman...Hawa jamaa wameamua kufanya biashara ya nafaka aiseee , Pana magari yameleta mahindi ...aisee Hawa jamaa kwa speed hii wanaweza nunua mahindi ya southern highland yote na wakayahifadhi na kuya uza taratibu....kukiwa na kampuni hata tano tu tz zenye nguvu hivi wanatosha kufanya unga kuwa gharama....halafu tz mahindi Bei chee ko nao hawatakubali kuuza ndani kwani pesa ipo Kenya , Sudan na Somalia ko Wana exhaust chakula tz wanaenda kupiga pesa mbele...aisee tujipnge Sana , Hadi nawaza jinsi maisha yatakuwa ghali huko Feb mwakan
Nadhani option inapaswa kuwa kuwahimiza wakulima kuongeza uzalishaji ili kukidhi soko liliopo

Kwenye hizi zama za ubepari kulalamika lalamika hakuna msaada ni bora ujifunze kuwa solution orientated kind of person.

Kwa mfano!
unajua kwamba karibia asilimia 80 ya ngano tunayokula hpa Tanzania inatoka marekani? Na ushaskia marekani wanalalamika ngano imepanda bei sababu ngano nyingi inapelekwa kuuza africa?

Mi nadhani hii ni fursa kubwa kwa wakulima kuongeza uzalishaji maradufu na kujiongezea kipato.
 
Nadhani option inapaswa kuwa kuwahimiza wakulima kuongeza uzalishaji ili kukidhi soko liliopo

Kwenye hizi zama za ubepari kulalamika lalamika hakuna msaada ni bora ujifunze kuwa solution orientated kind of person.

Kwa mfano!
unajua kwamba karibia asilimia 80 ya ngano tunayokula hpa Tanzania inatoka marekani? Na ushaskia marekani wanalalamika ngano imepanda bei sababu ngano nyingi inapelekwa kuuza africa?

Mi nadhani hii ni fursa kubwa kwa wakulima kuongeza uzalishaji maradufu na kujiongezea kipato.
Hizo fact zako ukizojifunza darasani za all real numbers hazina msaada kwenye maisha halisi.....hivi unajua kuwa mufindi mfuko wa DAP 50 kg ni 105000 iringa mjini 80000....unalijua Bei ya ya mbegu seedco kilo moja, unalijua Bei ya selective weed killer....mkuu zile point za kwenye mitihani ya geog na agriculture hazina Kaz kwa mkulima...anyway nipo ndan ya halmashauri, leo kilikuwa na kikao Cha wakulima , Hakuna jipya Zaid ya blabla tu na wakuu kupeana posho....Ila mkulima katoka kapa
 
kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu.

Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nilikuwa KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hiyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui.

Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
Huna hoja. Unazingua tu. Waziri Mkenda ni akili kubwa,huwezi kumuelewa na hizo minjingu zako.

Wakulima wanajua mbolea zinazowafaa. Hiyo minjingu yako imeshashindikana.
 
Huna hoja. Unazingua tu. Waziri Mkenda ni akili kubwa,huwezi kumuelewa na hizo minjingu zako.

Wakulima wanajua mbolea zinazowafaa. Hiyo minjingu yako imeshashindikana.
Soma kwa hatua ukiwa umetulia huku una maji pembeni ya kunywa utaelewa. wewe sio mkulima huezi elewa madhila yetu.
 
Hizo fact zako ukizojifunza darasani za all real numbers hazina msaada kwenye maisha halisi.....hivi unajua kuwa mufindi mfuko wa DAP 50 kg ni 105000 iringa mjini 80000....unalijua Bei ya ya mbegu seedco kilo moja, unalijua Bei ya selective weed killer....mkuu zile point za kwenye mitihani ya geog na agriculture hazina Kaz kwa mkulima...anyway nipo ndan ya halmashauri, leo kilikuwa na kikao Cha wakulima , Hakuna jipya Zaid ya blabla tu na wakuu kupeana posho....Ila mkulima katoka kapa
Hueleweki
 
Wanaume mnalialia kila mwaka. Wenzenu Taliban washaondoa huyo ujinga.
2884768_FB_IMG_1629139170886.jpg
 
Hizo fact zako ukizojifunza darasani za all real numbers hazina msaada kwenye maisha halisi.....hivi unajua kuwa mufindi mfuko wa DAP 50 kg ni 105000 iringa mjini 80000....unalijua Bei ya ya mbegu seedco kilo moja, unalijua Bei ya selective weed killer....mkuu zile point za kwenye mitihani ya geog na agriculture hazina Kaz kwa mkulima...anyway nipo ndan ya halmashauri, leo kilikuwa na kikao Cha wakulima , Hakuna jipya Zaid ya blabla tu na wakuu kupeana posho....Ila mkulima katoka kapa
Mpaka pale watakapoingia shambani ndipo wataelewa unaongelea Nini, hawa watoto waliozaliwa mjini hawajui chochote kuhusu kilimo we waulize Kuna nyimbo ipi mpya au Juma Lokole kafanyaje ndo watakuambia.
 
Nadhani option inapaswa kuwa kuwahimiza wakulima kuongeza uzalishaji ili kukidhi soko liliopo

Kwenye hizi zama za ubepari kulalamika lalamika hakuna msaada ni bora ujifunze kuwa solution orientated kind of person.

Kwa mfano!
unajua kwamba karibia asilimia 80 ya ngano tunayokula hpa Tanzania inatoka marekani? Na ushaskia marekani wanalalamika ngano imepanda bei sababu ngano nyingi inapelekwa kuuza africa?

Mi nadhani hii ni fursa kubwa kwa wakulima kuongeza uzalishaji maradufu na kujiongezea kipato.
Hivi unajua Mazingira ya kilimo kwa Tanzania yalivyo na Mlolongo mpk mkulima kupata mazao yake na kuyaweka sokoni, au ulizan Ile unalima tu bustani ya mapapai.
 
Back
Top Bottom