Waziri Philipo Mulugo: Jina langu linatumika kutapeli

Napigwa na wasi wasi inawezekana ni yeye mwenyewe anataka kuibia pesa wizara yake,kwa vile ameshaburunga burunga huko south Africa anajua ya kwamba wakati wowote atapokonywa wadhifa wake ni bora achukue chake mapema.

Kwa vile ubongo wake ni sawa na utomvu ,inawezekana anapata shida sana katika kunyakuwa fedha za serikali,hiyo ndio njia ya kujisafisha kwa wananchi kwa vile ameshtukiwa anataka kuibia fedha wizara yake.

Hana lolote huyu Minista ofu Educationali endi Vocationali Trainingi hahahhaha

Anajaribu kupoteza upepo wa presentation yake ya kule Sauzi

Someni thread kabla ya kuchangia.

Suala la kutapeliwa lilitokea kabla ya kuchemsha kule Afrika Kusini.
 
Someni thread kabla ya kuchangia.

Suala la kutapeliwa lilitokea kabla ya kuchemsha kule Afrika Kusini.
Inawezekana ameshavurunda vya kutosha ,hio ya juzi iliwa ndio 40 yake.
 
Hata aje na hoja gani, haiwezekani kupotezea AIBU aliyolitia taifa. Mfumo mzima umekaa ki-utapeli. Atuambie yeye alitumia jina la nani kupewa madaraka ambayo ni wazi kuwa hayawezi? Hilo jina lake lina umahiri gani, hata litumike na wengine?
 
Ninachojifunza hapa ni kukosa uwajibikaji na mfumo mbovu wa matumizi na udhibiti wa kodi wanazolipa maskini wa Tanzania. Sikufikiria kwamba mawaziri hawana utaratibu wa malipo ya matumizi yao hata kama wakiwa ziarani. Inaonekana ni utaratibu wa kawaida kuchotwa hela za serikali kwa njia za simu hata bila justifications. Kwenye taasisi yoyote iliyomakini hii haiwezi kuwa issue ya kuweka hadi gazetini eti ukiomba msaada. Ujinga kweli kweli!. Tayarisha circular za ku govern authorization, disbursements and expenditure ya fedha. Hii inanipa hofu kwamba wizara ya elimlu ina idle cash nyingi za watu kuchota chota bila mpangilio wakati shule hata chaki za kuandikia walimu hawana. Ujinga huu!.

PENGINE LENGO NI KUUFAHAMISHA NAMNA ANAVYOFANYA SAFARI ZA KUSHTUKIZA. Ili iweje? Unawashitukiza watendaji ambao hujawaandaa wala kuwawezesha katika uwajibikaji kusudi gani? Hujui ni kwa nini hawakai ofisini? Hujui kwa nini visingizio vingi? Hujui kwa nini utendaji uko chini ya kiwango? AU hujui namna ya kuunda na kusimamia mikakati endelevu itakayo leta tija ya kuborosha uwajibikaji na utendaji kazi wizarani kwako? Raisi wako anaenda nje ya nchi kila siku kutalii na wewe unaanza utalii wa ndani usiokuwa na malengo. Mligo hiyo kazi huiwezi. NI aibu kwa taifa.

Mkuu kuna kitu umenikumbusha - haya mambo ya kupiga piga simu na kuomba msaada wa kitoto kama huo ufanyika kweli na mara nyingi sio matapeli actually uwambiwa jinsi ya kutuma fedha hizo - imekwisha tokea, anakupa mpokeaji wa fedha na unakuta ni Personal Secretary wake au mtu very close; kuna jamaa yangu wa karibu aliwahi kukutana na kitu kama hicho but he was very smart akaripoti takukuru wakafutana mpaka ofisini - yaliyo tokea ni aibu tupu - wakapotezea ili isijulikane!! Mengine siwezi kueleza humu - lakini jamaa huyo kitendo chake cha ujasiri kilim-cost: Watu wa wizara husika walihakikisha a-renew contract YAKE, mambo mengine ya TAIFA letu unaweza kufikili ni maigizo ya HollyWood!!!
 
Back
Top Bottom