Machepele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 289
- 419
Ndugu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu, kwa yoyote yule ambaye anaweza kuwa na uelewa ama kufahamu majukumu ya waziri wa Ofisi ya Rais kazi maalum.
Nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na Cap. George Mkuchika.
Nimemaliza hivyo ili kufahamu, na kuongeza maarifa. Nimewahi kukutana nafasi katika runinga na majarida kadhaa ya hapa nyumbani Tanzania. [\Justify]
Wako katika ujenzi wa taifa.
Machepele Tanzania
Rejea kichwa cha habari hapo juu, kwa yoyote yule ambaye anaweza kuwa na uelewa ama kufahamu majukumu ya waziri wa Ofisi ya Rais kazi maalum.
Nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na Cap. George Mkuchika.
Nimemaliza hivyo ili kufahamu, na kuongeza maarifa. Nimewahi kukutana nafasi katika runinga na majarida kadhaa ya hapa nyumbani Tanzania. [\Justify]
Wako katika ujenzi wa taifa.
Machepele Tanzania