Waziri Nyalandu ni hatari kwa usalama wa Taifa

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454

Waziri wa Mali asili na Utalii ameendelea kudhihirisha jinsi Rais JK asivyokuwa makini katika uteuzi wake. "The first method for estimating the intelligence of a ruler is to look at the men he has around him."

Niccolò Machiavelli, The Prince
Tumeona jaribio la haraka za Nyalandu kufungua mpaka wa Bologonja bila kufikiria athari za kiuchumi kwa taifa.

Pamoja na wabunge kadhaa kupinga mpango huu kwa sababu za kisayansi na kiuchumi, Nyalandu anasisitiza kwamba hili ni muhimu na tayari ameagiza independent study ifanyike. Athari hasi za kufungua mpaka huo ziko wazi na wala hakuhitajiki utafiti.

Huhitaji utafiti kuonyesha kuwa karatasi ni nyeupe! Tunaamini kuwa hicho anachodai kuwa ni independent study kinalenga kuhalalisha mchezo huu mchafu.

Wakati Nyalandu anafanya madudu huku akisimama kwenye vioo vya TV kutangazia umma kuwa ‘Tutawasaka, Tutawakamata Popote Walipo' anahakikisha kuwa pia anaongeza maneno haya Lakini siamini kuwa viatu vya kukabili ujangili vimemwenea Nyalandu, bila shaka vinapwaya, tena sana.

Vimepwaya kwa kuwa baada ya tambo hizi kwenye TV hukutana na wafanyabiashara hawa kwenye hoteli Arusha Hadi leo Nyalandu hajatuambia kuwa kwa kugoma kujibu hoja hii ya ‘kuuza' hifadhi kumemsaidia kuwakamata majangili wangapi.

Harakati zinazoendelea wizarani ni maandalizi ya kupeleka baadhi ya watu na wabunge Ethiopia, Chadi, Afrika Kati, Rwanda na Malawi eti kujifunza utendaji wa APN. Tujiulize, kama Serikali haina mpango wa kukabidhi mbuga yoyote kwa APN, Wizara inatumia mamilioni ya fedha (zaidi ya USD 120,000) kutuma watu kwenda huko kufanya nini? Je, huu ndio mkakati wa kuhakikisha kuwa falsafa yake ya "tutawasaka na kuwakamata" inatekelezeka?

Pengine ili kuwafurahisha wafanyabiashara kwenye tasnia ya uwindaji, alipuuza sababu za kisayansi na kutangaza kurefusha msimu wa uwindaji kutoka miezi sita hadi tisa.

Hili likafuatiwa na kituko kingine. Akatumia mamilioni ya walipa kodi kugharamia ziara ya Martin Fletcher (na mwenzake) kutoka Daily Mail on Sunday la Uingereza. Katika makala yake, Fletcher aliichafua Tanzania na kumdhalilisha Rais wetu.

Serikali ilikanusha vikali na kufikia hatua ya kulalamikia udhalilishaji huu kwenye ubalozi wa Uingereza.

Yaani Mwandishi wa habari wa Uk analetwa na Waziri kwa gharama za walipa kodi na mwandishi huyo anaitukana serikali bado waziri huyo amekalia ofisi ya umma.


 
Unatapika tu!!!!
Simkubali huyo Waziri ila sio hoja hapa!!!

Lakini hujaweka hata point moja jinsi anavyohatarisha usalama wa Taifa! !!!!
Naona kama hisia zimekuongoza kuandika hii "mud sling" ,weka nyama japo athari za kufungua huo mpaka sio kisema "ziko wazi" kwa nani? ??!! Ukilinganisha na wapi au na nini???!!

Mara umerukia uwindaji, mara waandishi kutoka nje, mara APN upo kila sehemu mbali na heading yako!!!!!
 
Unatapika tu!!!!
Simkubali huyo Waziri ila sio hoja hapa!!!

Lakini hujaweka hata point moja jinsi anavyohatarisha usalama wa Taifa! !!!!
Naona kama hisia zimekuongoza kuandika hii "mud sling" ,weka nyama japo athari za kufungua huo mpaka sio kisema "ziko wazi" kwa nani? ??!! Ukilinganisha na wapi au na nini???!!

Mara umerukia uwindaji, mara waandishi kutoka nje, mara APN upo kila sehemu mbali na heading yako!!!!!

Mkuu, la msingi ni kwamba huo mpaka ulifungwa kwa sababu maalum. Je hizo sababu hazipo kwa sasa? Lengo la nchi yetu ni kwamba watalii wafikie katika nchi yetu ili tupate mapato yote ya usafiri, malazi (hotel) na mwisho fee za kuingia mbugani. Ukifungua mpaka, tutaishia kupata fee peke yake wakati hela kubwa ikibaki Kenya. Mleta maada anayo hoja ya msingi.
kwa sababu hizo hizo, Tanzania imekataa visa ya pamoja. Hatuna usafiri wa anga kama Kenya hivyo sehemu kubwa ya hela ya visa ingebaki Kenya. Si ajabu hata hiyo staili yetu kuipata ingekuwa mbinde.

Nyalandu is simply one of the most corrupt ministers to have been appointed at the ministry of natural resources and tourism. kama Rais haoni hayo, he is part of the problem!
 
Mkuu, la msingi ni kwamba huo mpaka ulifungwa kwa sababu maalum. Je hizo sababu hazipo kwa sasa? Lengo la nchi yetu ni kwamba watalii wafikie katika nchi yetu ili tupate mapato yote ya usafiri, malazi (hotel) na mwisho fee za kuingia mbugani. Ukifungua mpaka, tutaishia kupata fee peke yake wakati hela kubwa ikibaki Kenya. Mleta maada anayo hoja ya msingi.
kwa sababu hizo hizo, Tanzania imekataa visa ya pamoja. Hatuna usafiri wa anga kama Kenya hivyo sehemu kubwa ya hela ya visa ingebaki Kenya. Si ajabu hata hiyo staili yetu kuipata ingekuwa mbinde.

Nyalandu is simply one of the most corrupt ministers to have been appointed at the ministry of natural resources and tourism. kama Rais haoni hayo, he is part of the problem!


If he aimed at what you are now clarifying...why didnt he pour everything in black and white???!!!

The art of writting has to be followed such that premises derive the conclusion!!!!!
 
Mkuu, la msingi ni kwamba huo mpaka ulifungwa kwa sababu maalum. Je hizo sababu hazipo kwa sasa? Lengo la nchi yetu ni kwamba watalii wafikie katika nchi yetu ili tupate mapato yote ya usafiri, malazi (hotel) na mwisho fee za kuingia mbugani. Ukifungua mpaka, tutaishia kupata fee peke yake wakati hela kubwa ikibaki Kenya. Mleta maada anayo hoja ya msingi.
kwa sababu hizo hizo, Tanzania imekataa visa ya pamoja. Hatuna usafiri wa anga kama Kenya hivyo sehemu kubwa ya hela ya visa ingebaki Kenya. Si ajabu hata hiyo staili yetu kuipata ingekuwa mbinde.

Nyalandu is simply one of the most corrupt ministers to have been appointed at the ministry of natural resources and tourism. kama Rais haoni hayo, he is part of the problem!

Kwa ujinga wa watawala, hata watu wenye uraia pacha [ green card holders] na vikaragosi vya serikali ya Marekani wanapewa uwaziri katika serikali hii!! You sacrificed the patriotic Kagasheki for this mercenary called Nyalandu, what a shame!!
 
Unatapika tu!!!!
Simkubali huyo Waziri ila sio hoja hapa!!!

Lakini hujaweka hata point moja jinsi anavyohatarisha usalama wa Taifa! !!!!
Naona kama hisia zimekuongoza kuandika hii "mud sling" ,weka nyama japo athari za kufungua huo mpaka sio kisema "ziko wazi" kwa nani? ??!! Ukilinganisha na wapi au na nini???!!

Mara umerukia uwindaji, mara waandishi kutoka nje, mara APN upo kila sehemu mbali na heading yako!!!!!

Please read this article:

21st May 2014

Tanzanian tourism will be fatally wounded should 40 years closed border between SerengetiNational park and the Kenyan Adjacent Maasai Mara be reopened, the governmenthas been warned.

Contributing to the Ministry of Natural Resources and Tourism budgetpresentation yesterday in parliament, former Natural Resources and TourismMinister Zakia Megji who served in the ministry for 9 years as minister warnedparliamentarians that opening the Bologonja Border will be a fatal mistake.

“Currently, tourists visiting the Serengeti have to legally cross the borderinto Tanzania and use our routes, this increases revenue to local and publicstake holders,” the House was told.

She explained that, should the border be reopened, then tourists will enter andreturn to Kenya without having to stay in Tanzania a fact that will gravelyhurt stakeholders in the country especially those in the catering andhospitality industries such hotels, restaurants, lodges and camps as well asSafari companies, tour operators and tour guides.

“This will significantly lower revenue from the sector and severely affectemployment,” she cautioned.

Detailing, Megji said the country’s road infrastructure connecting the twoparks is very depleted compared to Kenya’s modernised ones and that coupledwith Kenya’s much more developed tourist services will have tourists opting tovisit Serengeti from Kenya and return back without ever touring Tanzania’sinterior.

Earlier in his Report to parliament, Chairman of the Parliamentary StandingCommittee for Lands Natural Resources and Environment, James Lembeli –MP forKahama (CCM) noted that Kenya has done much more advertisement of its tourindustry than Tanzania.

That be the case, Lembeli asked the government to protect wildlife boundariesincluding cross country borders, saying loosely protected borders fuel poachingactivities and harbour negative effects on the country’s tour industry.

The Bolongonja border in question was closed by Mwalimu Nyerere’sadministration based on environmental grounds and has stayed closed to date.
Recently, media in Kenya reported that tour operators in there are excited andlooking forward to the re-opening of the Maasai Mara – Serengeti border atBologonja and Sandrivers.

Kenya’s former Wildlife and Tourism Minister Najib Balala is quoted to haveargued that continued closure of Bologonja entry point by Tanzania is not inthe spirit of East African Community cooperation.

He said that opening the Bologonja-Sand River entry point would dramaticallyreduce the travel time between Maasai Mara Reserve in Kenya and the Serengetiin Tanzania and would signify a new official border crossing between Kenya andTanzania.

At the time of the Kenyan minister’s statement, former Minister for Tourism andNatural Resources Ezekiel Maige affirmed that Tanzania has no intention ofreopening the border point as jointly agreed earlier with Kenyan leaders.

“The fragile ecosystem of the area, which is a world heritage site, cannot besacrificed for the mere purpose of shortening the route between Maasai Mara andSerengeti, which is also crossing point for wildlife during the annualmigration,” he had said.

SOURCE:THE GUARDIAN
 
Umeongea maneno mengi but hakuna nukta hata moja inayonyesha kuhatarisha usalama wa taifa jpng urd ten jf c maskan kahaw
 
Kwa ujinga wa watawala, hata watu wenye uraia pacha [ green card holders] na vikaragosi vya serikali ya Marekani wanapewa uwaziri katika serikali hii!! You sacrificed the patriotic Kagasheki for this mercenary called Nyalandu, what a shame!!

green card sio uraia
 
Mkuu, la msingi ni kwamba huo mpaka ulifungwa kwa sababu maalum. Je hizo sababu hazipo kwa sasa? Lengo la nchi yetu ni kwamba watalii wafikie katika nchi yetu ili tupate mapato yote ya usafiri, malazi (hotel) na mwisho fee za kuingia mbugani. Ukifungua mpaka, tutaishia kupata fee peke yake wakati hela kubwa ikibaki Kenya. Mleta maada anayo hoja ya msingi.
kwa sababu hizo hizo, Tanzania imekataa visa ya pamoja. Hatuna usafiri wa anga kama Kenya hivyo sehemu kubwa ya hela ya visa ingebaki Kenya. Si ajabu hata hiyo staili yetu kuipata ingekuwa mbinde.

Nyalandu is simply one of the most corrupt ministers to have been appointed at the ministry of natural resources and tourism. kama Rais haoni hayo, he is part of the problem![/QUOTE]

Hapo penye red sina la kuongeza mkuu,...Nyarandu tunamjua toka Shuleni, Nyarandu tunamjua akiwa Mtaani, Nyarandu tunamjua akiwa kijijini kwao kule Singida na ameendelea kuwa ni yule yule Nyarandu tunayemjua siku zote
 
mugo "the great"

Shukrani sana mkuu!!!!

PISTO LERO fqnya mpango hiyo article iongezwe kwenye uzi wako italeta maana zaid
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilitegemea utuambie athari za Mpango wa Waziri ni moja, mbili,tatu. Kichwa hakina ushirikiano kabisa na ulichokiandika.
 
Mkuu, la msingi ni kwamba huo mpaka ulifungwa kwa sababu maalum. Je hizo sababu hazipo kwa sasa? Lengo la nchi yetu ni kwamba watalii wafikie katika nchi yetu ili tupate mapato yote ya usafiri, malazi (hotel) na mwisho fee za kuingia mbugani. Ukifungua mpaka, tutaishia kupata fee peke yake wakati hela kubwa ikibaki Kenya. Mleta maada anayo hoja ya msingi.
kwa sababu hizo hizo, Tanzania imekataa visa ya pamoja. Hatuna usafiri wa anga kama Kenya hivyo sehemu kubwa ya hela ya visa ingebaki Kenya. Si ajabu hata hiyo staili yetu kuipata ingekuwa mbinde.

Nyalandu is simply one of the most corrupt ministers to have been appointed at the ministry of natural resources and tourism. kama Rais haoni hayo, he is part of the problem!

Hapo penye red sina la kuongeza mkuu,...Nyarandu tunamjua toka Shuleni, Nyarandu tunamjua akiwa Mtaani, Nyarandu tunamjua akiwa kijijini kwao kule Singida na ameendelea kuwa ni yule yule Nyarandu tunayemjua siku zote

Mleta mada atakuwa anatokea SINGIDA huko huko, anatuletea swaga za maandalizi ya Kampeni za uchaguzi, sijaona jipya kwenye mada yake hiyo.
 
MAJANGILI Wamemjengea Hekalu kule karibu na shule ya ENABOISHO... Hawezi kufurukuta huyo, anajulikana kuwa yeye na Msindai ni MAJANGILI wenye vyeo vya juu... Fitna zake za kumtoa Kasheki ili Wawekezaji wa USA wajimilikishe maeneo ya uwindaji inajulikana! Tunafahamu kuwa USA ilimuandaa kwa kiasi Fulani ili waweze kufaidi vivutio vyetu kwa uhakika zaidi, haikunishangaza Wabunge kutimuliwa walipotembelea Singita inayomilikiwa na familia tajiri ya BIlly ya nchi marekani! Sehemu ya mbuga zetu sasa imekuwa nchi zinazojitegemea ... Inauma sana ....
 
Unatapika tu!!!!
Simkubali huyo Waziri ila sio hoja hapa!!!

Lakini hujaweka hata point moja jinsi anavyohatarisha usalama wa Taifa! !!!!
Naona kama hisia zimekuongoza kuandika hii "mud sling" ,weka nyama japo athari za kufungua huo mpaka sio kisema "ziko wazi" kwa nani? ??!! Ukilinganisha na wapi au na nini???!!

Mara umerukia uwindaji, mara waandishi kutoka nje, mara APN upo kila sehemu mbali na heading yako!!!!!

kwa kweli hata mimi sijaona namna gani alichokiandika ndani kina mahusiano na kichwa cha mada yenyewe.
 
MAJANGILI Wamemjengea Hekalu kule karibu na shule ya ENABOISHO... Hawezi kufurukuta huyo, anajulikana kuwa yeye na Msindai ni MAJANGILI wenye vyeo vya juu... Fitna zake za kumtoa Kasheki ili Wawekezaji wa USA wajimilikishe maeneo ya uwindaji inajulikana! Tunafahamu kuwa USA ilimuandaa kwa kiasi Fulani ili waweze kufaidi vivutio vyetu kwa uhakika zaidi, haikunishangaza Wabunge kutimuliwa walipotembelea Singita inayomilikiwa na familia tajiri ya BIlly ya nchi marekani! Sehemu ya mbuga zetu sasa imekuwa nchi zinazojitegemea ... Inauma sana ....

Mengiuliyoyaandika ni majungu tu, declear interest basi , wewe ni pro-Kaghasheki?
 
Back
Top Bottom