WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Nimeskia asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti asubuhi kwamba Nyalau amewekewa Bodigadi (Mlinzi) anayejua taarifa hii kwa kina atusaidie imekaaje hii wadau?!
Nimeskia asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti asubuhi kwamba Nyalau amewekewa Bodigadi (Mlinzi) anayejua taarifa hii kwa kina atusaidie imekaaje hii wadau?!
si aliambiwa na watu wa marekani kuwa anafaa kuwa raisi wetu. by the way hata Diamond ana bodigadi
Ndio cabinet ya JK hiyo. Muhongp naye kamwaga kufuru ya matumizi huko kwake Mara. Chaajabu zote ni gharama za wizara kwa manufaa binafsi! Nchi imevaa magunia.
Halafu Kuna Habari Zilizo Chini Ya Kapeti Kuwa Nyalandu Ni Shushushu Wa Marekani Ndio Maana Anapata Kiburi Maana Anapata Ufadhili Kutoka Marekani.Kuna Ukweli Kwenye Hili?
Ni Kweli,ni Wakala Wa Kutegemewa Wa CIA,wapo Wengi Tu,na Rostam Aziz Pia Yumo.Wengine Wapo Hadi Ikulu,chezea Marekani Wewe?