Waziri Nyalandu, adhalilisha waandishi wa habari Singida

MADORO

Senior Member
Nov 12, 2011
198
117
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara amewadhalilisha waandishi wa habari, kwa kuwahadaa wasafiri toka Singida Mjini hadi Ilongero, Kama Km 30 hivi tena katika barabara mbovu sababu ni tope na hakuna lami na sasa kuna mvua. Amewahadaa akaonane nao eti alikuwa na kikao cha kuzungumza na wadau wa elimu. Baada ya kubaini kuwa angeulizwa maswali kuhusu kudanganya kuwa anasomesha watoto aliondoka kinyemela, waandishi wakashinda mchana kutwa baadaye wakaambiwa hayupo. Tangu kuchapishwa habari za yeye kudhalilisha watoto kwa kuwapeleka Arusha kwa kuwaonyesha wazungu, huku akiwa na Uraia wa nchi mbili anaingia kinyemelanyemela. Poleni waandishi wa Singida
 
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara amewadhalilisha waandishi wa habari, kwa kuwahadaa wasafiri toka Singida Mjini hadi Ilongero, Kama Km 30 hivi tena katika barabara mbovu sababu ni tope na hakuna lami na sasa kuna mvua. Amewahadaa akaonane nao eti alikuwa na kikao cha kuzungumza na wadau wa elimu. Baada ya kubaini kuwa angeulizwa maswali kuhusu kudanganya kuwa anasomesha watoto aliondoka kinyemela, waandishi wakashinda mchana kutwa baadaye wakaambiwa hayupo. Tangu kuchapishwa habari za yeye kudhalilisha watoto kwa kuwapeleka Arusha kwa kuwaonyesha wazungu, huku akiwa na Uraia wa nchi mbili anaingia kinyemelanyemela. Poleni waandishi wa Singida
Waandishi wa habari wa Tanzania ni hovyo sana kili anapoenda Nyalandu au Magufuli mnakuwepi kuna nini?
 
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara amewadhalilisha waandishi wa habari, kwa kuwahadaa wasafiri toka Singida Mjini hadi Ilongero, Kama Km 30 hivi tena katika barabara mbovu sababu ni tope na hakuna lami na sasa kuna mvua. Amewahadaa akaonane nao eti alikuwa na kikao cha kuzungumza na wadau wa elimu. Baada ya kubaini kuwa angeulizwa maswali kuhusu kudanganya kuwa anasomesha watoto aliondoka kinyemela, waandishi wakashinda mchana kutwa baadaye wakaambiwa hayupo. Tangu kuchapishwa habari za yeye kudhalilisha watoto kwa kuwapeleka Arusha kwa kuwaonyesha wazungu, huku akiwa na Uraia wa nchi mbili anaingia kinyemelanyemela. Poleni waandishi wa Singida

Hakuna lolote hapo, waandishi wetu tunawajua wanacholilia ni posho tu! Wamedhalilishwa nini? Kupita kwenye barabara ya matope; kwani wao akina nani kwani wanaoishi huko si watu?

Hizo ni posho tu sioni kudhalilishwa kwingine!
 
Waandishi wa habari wa Tanzania ni hovyo sana kili anapoenda Nyalandu au Magufuli mnakuwepi kuna nini?

Wananunulika kirahisi hao, buku tano kwisha watakufuata kama mbwa aonavyo chatu!
 
Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa kwa mawe,acheni siasa za maji taka,kwanini sasa ndio nyalaandu anonekana kuwa target?kuna nini kimejificha hapa katikati,je ameanza kuonekana tishio kwa watu wenu???
 
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara amewadhalilisha waandishi wa habari, kwa kuwahadaa wasafiri toka Singida Mjini hadi Ilongero, Kama Km 30 hivi tena katika barabara mbovu sababu ni tope na hakuna lami na sasa kuna mvua. Amewahadaa akaonane nao eti alikuwa na kikao cha kuzungumza na wadau wa elimu. Baada ya kubaini kuwa angeulizwa maswali kuhusu kudanganya kuwa anasomesha watoto aliondoka kinyemela, waandishi wakashinda mchana kutwa baadaye wakaambiwa hayupo. Tangu kuchapishwa habari za yeye kudhalilisha watoto kwa kuwapeleka Arusha kwa kuwaonyesha wazungu, huku akiwa na Uraia wa nchi mbili anaingia kinyemelanyemela. Poleni waandishi wa Singida

Waandishi wazoefu wangezoma alama za nyakati hii inatokana na njaa kali ya waandishi wetu
 
Mods nadhani hii inastahili kuwepo kwenye jukwaa la siasa lakini naona mmeiondoa!
 
waandishi wenyewe wana akili kama za nyalandu sioni cha kuchangia nimsaidie nani
 
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara amewadhalilisha waandishi wa habari, kwa kuwahadaa wasafiri toka Singida Mjini hadi Ilongero, Kama Km 30 hivi tena katika barabara mbovu sababu ni tope na hakuna lami na sasa kuna mvua. Amewahadaa akaonane nao eti alikuwa na kikao cha kuzungumza na wadau wa elimu. Baada ya kubaini kuwa angeulizwa maswali kuhusu kudanganya kuwa anasomesha watoto aliondoka kinyemela, waandishi wakashinda mchana kutwa baadaye wakaambiwa hayupo. Tangu kuchapishwa habari za yeye kudhalilisha watoto kwa kuwapeleka Arusha kwa kuwaonyesha wazungu, huku akiwa na Uraia wa nchi mbili anaingia kinyemelanyemela. Poleni waandishi wa Singida

Hivi manywele anakulipa sh ngapi,kwani kazi yako sikuzote kuandika utumbo,wewe ni msemaji wa chama cha waandishi wa habari.
 
Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa kwa mawe,acheni siasa za maji taka,kwanini sasa ndio nyalaandu anonekana kuwa target?kuna nini kimejificha hapa katikati,je ameanza kuonekana tishio kwa watu wenu???
Kumbe toka 2012 huu utetezi ulikuwa wa style hii hii?!
 
Back
Top Bottom