Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Kama meli tu zinaondoka na magogo bila vibali na magogo ni makubwa yanaonekana kirahisi mpaka yanakamatwa huko nje,mabasi tu ya kwenda mikoani issue kuyakagua yanabeba vitu haramu kila kukicha iweje ndege za wageni tena wanaotukuzwa na serikali ya ccm ambayo ikotayari kuua watu wake iliwageni wachukue rasilimali watakavyo leo hii serikali hiyo iwe na ubavu wa kukagua hizo ndege zinazobeba madhahabu magunia kwa magunia kama hayana mwenyewe Ngeleja ni muongo amewekwa pale kwa kazi maalumu.