Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Waziri wa Nishati na Madini Mh. Williuam Ngeleja amewatakawananchi tupuuze madai yaliyotolewa na Dr. Slaa juu ya ujengwaji wa viwanja vyandege ndani ya migodi kuwa vinawezesha utoroshwaji wa madini yetu. Anasemakabla ndege haijasafirisha mzigo ni lazima ipitie Dar Es Salaam ili ikaguliwemzigo na na maofisa wa Benk Kuu (BoT). Source: Nipashe 19/03/2012
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/21227-ngeleja-dk-slaa-mchochezi-apuuzwe
Mbona nilishasikia toka kwa wazalendo mgodini kuwa kunandege huwa zinaruka toka Bhulyanhkulu hadi South Africa. Ndege hiyo ni Dash 8.Mwenye taarifa za uhakika tushirikishane ili tuweze kuihukumu serikali yetu kwamambo halisi.
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/21227-ngeleja-dk-slaa-mchochezi-apuuzwe
Mbona nilishasikia toka kwa wazalendo mgodini kuwa kunandege huwa zinaruka toka Bhulyanhkulu hadi South Africa. Ndege hiyo ni Dash 8.Mwenye taarifa za uhakika tushirikishane ili tuweze kuihukumu serikali yetu kwamambo halisi.