fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Waziri wa miundombinu asubuhi akihojiwa TBC kasema Kenya aliwashauri ili Kenya Airways isianguke watafute shirika la kuungana nalo na ndio maana KQ Imefanikiwa
Wana jamvi mwaionaje hii, waziri kusifia maendeleo ya wenzetu kwamba ni mawazo yake na hapa ameshindwa kuisaidia serikali yetu, hivi tuna ze comedi au viongozi?!
Wana jamvi mwaionaje hii, waziri kusifia maendeleo ya wenzetu kwamba ni mawazo yake na hapa ameshindwa kuisaidia serikali yetu, hivi tuna ze comedi au viongozi?!