Mtoto wa Messenger alikua anakaa nyumba ya mwisho kabisa kule Chuo B.Alikuwa
Alikuwa mkufunzi?
Mtoto wa Messenger alikua anakaa nyumba ya mwisho kabisa kule Chuo B.Alikuwa
Alikuwa mkufunzi?
Miaka hiyo waliokaa chuo B ni chamlungu gahu masawe ndio nawakumbukaMtoto wa Messenger alikua anakaa nyumba ya mwisho kabisa kule Chuo B.
Yani chuo kuna adhabu ? Sijaelewa.
Acha ujinga mtu anaweza kutumia social media kukuchafua tu kisa umejenga nyumba Kama hizo tuhuma zipo Kuna mamlaka zao za nidham jamiiforums sio mamlaka ya nidhamu ya walimu wetu by the way ikionekana sio kweli unaweza kupima damage uliyomsababishia? Unaijua coverage ya jf wewe? Tumia busara wewe mpumbavu usiharibie watu maisha nonsense!!
Mama mtoahanje na Alex kashasha walikuwa idara moja ya michezo pale korogwe ttc kashsha huyu anaechambua mpira leo
Mshana Jr Unamjua huyu mama?
Utakuwa ni mmoja wa mashetani mnaoomba rushwa ya ngono. Ulitaka akutafute kuja kukutaarifu?Kulikuwa kuna haja kweli ya kuleta malalamiko yako hapa JF?
Je hakuna njia nyingine rasmi ungeweza chukua?
Je waziri wa elimu hasipoingia huku jukwaani tatizo lako atalifahamu vipi?
Wewe ni mwanamke?Kwa kabole nakupinga ndugu yangu mm nimesoma hapo acha kuchafua watu Kama unaugomvi nae nivyema mkamalizana kuliko kuja kumchafua huku
Jitahidini msifanye makosa kama hali ni hivyo maana .......hata huku mtaani wanawake wanapokwama wanaishia humo humo....So Jambo la BUsara ni kutokufanya makosa...Waziri wa elimu sayansi na teknolojia kwa heshima na taaadhima tunakuomba ufuatilie utendaji kazi wa waalimu hawa Mwalimu Gunda na Mwalimu kabole waliopo chuo cha ualimu korogwe kwani wametugeuza sisi wanafunzi wa kike watumwa wao wa ngono ukifanya kosa unapewa adhabu kubwa ambayo huwezi kuifanya na unapewa option mbili ya kwanza ni kulala nao na yapili kutozwa pesa na mkuu wa tasisi yupo na afuatilili
Siyo mzee kihivyo. Bado anajimuduMi
Mi namfaham ni mzee Sasa alikuwa mwl wa michezo miaka ya 80-90 pale ttc
Bwana ShukuruMshana.. Yule mwanae wa kiume ndio ananifahamu vema... Yeye mama sidhani kama atakuwa anani kumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
N.I.T sio D.I.T waimbe radhi mainjinia.kabole acha kujitekenya. Hapo tuna watoto wetu. Yule mzee wa DIT iwe funzo Tisha kwako. Utaharibu kazi na heshima yako.
Wewe huna akiliKulikuwa kuna haja kweli ya kuleta malalamiko yako hapa JF?
Je hakuna njia nyingine rasmi ungeweza chukua?
Je waziri wa elimu hasipoingia huku jukwaani tatizo lako atalifahamu vipi?
Hiki chuo kilikuwa chuo wakati wa Mgoma na Massawe tuuu
Kuna Mama mmoja alikua white-mnene mnene hv.Miaka hiyo waliokaa chuo B ni chamlungu gahu masawe ndio nawakumbuka