Je, Waziri Ndalichako ajiuzulu kuinusuru elimu Tanzania?

Msipotumia akili mtafanywa wapumbavu milele.
Amkeni jamani
Hivi kwa akili zenu mnafikiri ndalichako anaweza kuzuia wanafunzi wasipewe mikopo au walimu wasiajiliwe?
Hizo shule mlizoenda bado hazijawasaidia
 
Wacha kelele kijana ,
Unasema mijini hawapo Nenda morogoro halmashauri kuna walimu 75 zaidi hawana kaxi yani wamezidi afu unapiga piga kelele.

Kuhusu mikopo tupe statistics mwaka jana walipewa wangap na Mwaka huu wamepata wangapi
Wewe kuhusu mikopo ni afadhali unyamaze kabisa
 
Hebu soma hicho ulichokiandika, linganisha na uelewa wako kwenye masuala ya elimu. Hata maana ya "news alert" hujui!
Mtoa mada kaelezea vizuri mambo yanayoendelea,wewe unatoa kejeli bila kupanua fikra ulizonazo..Bila shaka,inawezekana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.Si,Kosa.Rudi shule.
 
Kwan wizara yake ndo umeona imedolola au una agenda binafsi?? Hakna alieiweza wizara km huyu Prof
 
K
Atoke kabisa huyu, wanafunzi hawasomi vizuri kwasababu ya stress anazozisababisha.
KWAKWELI HUYU MAMA, ATABEBA LAWAMA KUANZIA KUWAFUKUZA WANAFUNZI UDOM..KWA MADAI NI VILAZA HUKU MTOTO WA FARU AKIWA KILAZA NO..MOJA NA KUENDELEA KUSOMA DEGREE HRM-udom
 
Habari wanajamvi,

Leo nakuja na ushauri wa kumtaka huyu mama aachie ngazi kwani amekuwa akiyumba sana, kwa kutomueleza mkuu uhalisia wa elimu nchini.

Huyu mama kwa mda mchache aliopewa wizara pamoja na uprofesa wake amesababisha mengi katika sekta ya elimu;
>Wanafunzi vyuo kukosa mikopo
>Wanafunzi wanaosoma kwa nje ya nchi kuwanyima mikopo
>Kufuta vyuo bila utafiti maalum na hivyo kuisababishia serikali kukosa kodi
>Kushindwa kuajili walimu
>Baya zaidi jana anasema wakurugenzi wawahamishe walimu walioko mjini
>Tatizo sio kuhamisha, tatizo hawapo, na yeye hamuambii mkuu ukweli kwa kuogopa kutumbuliwa.

Tunachoomba jiuzulu utuachie wizara yetu iliyokuwa ikiajiri kila mwaka Sayansi na Sanaa, huku mambo yakienda, nyie mmetoa walimu hewa halafu hamuajiri kisha unaendelea kubaki.

Achia ngazi mama, uwaziri sio haki yako ya msingi, hata ukaeje, kwa ulivyovurunda na kaubunge ka kupewa, utaachia tu.

Fadhila zinamwisho.

Duh kaka vipi umefika hata form four kweli? mbona umeandika vitu usivyovijua hata kidogo. Hebu nikuulize kwani waziri ndiye anayetafuta kisha kupanga budget ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu?. Hv kwa mfano kama wizara ilipangiwa 30b na wanafunzi wanahitaji let say 25b halafu mahitaji ya wizara ya kawaida ni yanahitaji 5b halafu shughuli za maendeleo yanahitaji 6b wewe kama waziri ukapewa tu 30 b utafanyaje kwa mfano? .Hapa shida siyo waziri shida ni ufinyu wa budget na bunge iliyopanga pesa pungufu kwa wizara.
Hoja ya tatu ni ya kipuuzi sana, nchi hii vyuo vilikuwa vingi visivyo na manufaa wala ubora, hivi kama na wewe kwa maoni haya umetoka chuo kwanini chuo chako kisifutwe maana inaonekana inatoa vijana wasio na uwezo wa kifikra na kiuchambuzi. tunatakiwa kubaki na vyuo vichache vyenye uwezo siyo bora chuo. Hawa wamiliki wa vyuo baada ya kujua mikopo ipo walianzisha vyuo hadi kwenye vibanda vya kufugia kuku na macontena ,chuo hakina maabara, chuo haina hata mwalimu moja wa msters halafu ni chuo kikuu
Wewe unataka Ndalichako haajiri waalimu tu wakati nchi nzima ajira zimesitishwa tena na Rais , huyo ndalichako atapata wapi pesa za kuajiri?. Halafu unaajiri unapokuwa na uhitaji sasa kama shule zote tanzania zina waalimu wa kutosha wa arts subject unataka wakuajiri wakupeleke wapi? wewe ulisoma bila kujua soko la ajira yako ikoje, halafu ukiwa umesoma ualimu waweza kuwa mafanyabiashara, mvuvi, mkulima nk. ukweli ni kwamba soko la waalimu wa arts nchi hii hakuna anza kufikiri vingine hata wakiruhusu kuajiri bado mtakosa nafasi, huwezi kuajiri usipokuwa na uhitaji.
Kuhusu kuhamisha waalimu kutoka mjini, wewe unasema hawapo hebu tupe data kama kweli hawapo. Hebu tuambie dsm waalimu wa arts waliopo ni wangapi na wanaotakiwa ni wangapi, kisha nenda arusha, mbeya, mwanza na maeneo yote ya mji.
MIMI SI MSEMAJI WA WAZIRI ILA UNAPOMKOSOA MTU UWE NA FACTS ZA KUTOSHA, KAZI YA KUTAFUTA WA KUMLAUMU HAISAIDII NA MLANGO MOJA UKIFUNGA USISUBIRI UFUNGUKE TAFUTA KWINGINE. IS NOT TOO LATE MY BROTHER WAKE UP AND FIGHT.
 
Duh kaka vipi umefika hata form four kweli? mbona umeandika vitu usivyovijua hata kidogo. Hebu nikuulize kwani waziri ndiye anayetafuta kisha kupanga budget ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu?. Hv kwa mfano kama wizara ilipangiwa 30b na wanafunzi wanahitaji let say 25b halafu mahitaji ya wizara ya kawaida ni yanahitaji 5b halafu shughuli za maendeleo yanahitaji 6b wewe kama waziri ukapewa tu 30 b utafanyaje kwa mfano? .Hapa shida siyo waziri shida ni ufinyu wa budget na bunge iliyopanga pesa pungufu kwa wizara.
Hoja ya tatu ni ya kipuuzi sana, nchi hii vyuo vilikuwa vingi visivyo na manufaa wala ubora, hivi kama na wewe kwa maoni haya umetoka chuo kwanini chuo chako kisifutwe maana inaonekana inatoa vijana wasio na uwezo wa kifikra na kiuchambuzi. tunatakiwa kubaki na vyuo vichache vyenye uwezo siyo bora chuo. Hawa wamiliki wa vyuo baada ya kujua mikopo ipo walianzisha vyuo hadi kwenye vibanda vya kufugia kuku na macontena ,chuo hakina maabara, chuo haina hata mwalimu moja wa msters halafu ni chuo kikuu
Wewe unataka Ndalichako haajiri waalimu tu wakati nchi nzima ajira zimesitishwa tena na Rais , huyo ndalichako atapata wapi pesa za kuajiri?. Halafu unaajiri unapokuwa na uhitaji sasa kama shule zote tanzania zina waalimu wa kutosha wa arts subject unataka wakuajiri wakupeleke wapi? wewe ulisoma bila kujua soko la ajira yako ikoje, halafu ukiwa umesoma ualimu waweza kuwa mafanyabiashara, mvuvi, mkulima nk. ukweli ni kwamba soko la waalimu wa arts nchi hii hakuna anza kufikiri vingine hata wakiruhusu kuajiri bado mtakosa nafasi, huwezi kuajiri usipokuwa na uhitaji.
Kuhusu kuhamisha waalimu kutoka mjini, wewe unasema hawapo hebu tupe data kama kweli hawapo. Hebu tuambie dsm waalimu wa arts waliopo ni wangapi na wanaotakiwa ni wangapi, kisha nenda arusha, mbeya, mwanza na maeneo yote ya mji.
MIMI SI MSEMAJI WA WAZIRI ILA UNAPOMKOSOA MTU UWE NA FACTS ZA KUTOSHA, KAZI YA KUTAFUTA WA KUMLAUMU HAISAIDII NA MLANGO MOJA UKIFUNGA USISUBIRI UFUNGUKE TAFUTA KWINGINE. IS NOT TOO LATE MY BROTHER WAKE UP AND FIGHT.
SAMAHANI HII NI HOTUBA YA MAPATO NA MATUMIZ YA WIZARA AU? MBONA UMEJIBU HANGOVER? CHUO GANI KIMEANZISHWA VIBANDA VYA KUKU NA MACONTENA..TAJA...WE UMESOMA CHUO GANI? CHUO GANI HAKINA MWL WA MASTRES? NAOMBA UJIBU HAPA TOKA 2015 BUNGE LISHAAPINGA BAJETI YA WIZARA YA ELIM? Fedha za kuajiri 2014/15, 2015/2016 ziko wapi? Unauhakika walim wa sanaa wametosha? Unayajua matatizo ya walim we NYUMBU? wamepandishwa madaraja? Wamelipwa mafao kwa wastaafu? Wamelipwa mishahara ya kupanda daraja? Wamelipwa uhamisho? Unaongelea kujaa kwa walim mjini au hata vijijin? Walim karibu 1500 wa sayanz waliotolewa kwenye tovuti na zaidi ya shule 5000 za sekondari ukigawa 1500÷5000 jibu ni ngapi? KAKOJOE UJE, NINA DATA, NINAKAZI TENA NIKO HUKU KABISA AMBAPO WEWE UNAWEZA USIFIKE..ILA SISAPOTI FIKRA ZA FARU.
 
SAMAHANI HII NI HOTUBA YA MAPATO NA MATUMIZ YA WIZARA AU? MBONA UMEJIBU HANGOVER? CHUO GANI KIMEANZISHWA VIBANDA VYA KUKU NA MACONTENA..TAJA...WE UMESOMA CHUO GANI? CHUO GANI HAKINA MWL WA MASTRES? NAOMBA UJIBU HAPA TOKA 2015 BUNGE LISHAAPINGA BAJETI YA WIZARA YA ELIM? Fedha za kuajiri 2014/15, 2015/2016 ziko wapi? Unauhakika walim wa sanaa wametosha? Unayajua matatizo ya walim we NYUMBU? wamepandishwa madaraja? Wamelipwa mafao kwa wastaafu? Wamelipwa mishahara ya kupanda daraja? Wamelipwa uhamisho? Unaongelea kujaa kwa walim mjini au hata vijijin? Walim karibu 1500 wa sayanz waliotolewa kwenye tovuti na zaidi ya shule 5000 za sekondari ukigawa 1500÷5000 jibu ni ngapi? KAKOJOE UJE, NINA DATA, NINAKAZI TENA NIKO HUKU KABISA AMBAPO WEWE UNAWEZA USIFIKE..ILA SISAPOTI FIKRA ZA FARU.

Wewe una stress tu za kukosa kazi na kushindwa kukubali ukweli au unataka uwezo wako mdogo uonekane, kwani hayo uliyoyataja kama kuongeza mishahara, kupandisha madaraja,kulipwa uhamisho, mafao kwa wastaafu nk yako kwenye wizara ya elimu tu toka 2015 mwishoni?. Hivi ulikuwa nje ya nchi au ulikuwa sehemu kusiko na radio wala tv kusikia Rais mwenyewe akisitisha yote uliyoyasema kwa madai ya kuhakiki watumishi hewa?. Wewe ungemlaumu Rais na siyo waziri maana tamko hilo ni la rais. Ngoja nikwambie ndg Tembea shule zote za mjini waalimu wa arts wametosha na hata vijijini washaanza kuzidi, halafu siyo kwamba shule zote tz yote hazikuwa na waalimu wa sayansi hao wanaoenda kuziba gepu iliyokuwepo lakini hata kama hatukuwa na mwalimu hata moja wa sayansi nchi nzima huwezi kuajiri tu wakati BUDGET HAITOSHI UTAWALIPA NINI KAKA? unajua maana ya budget kweli?, hii bila shaka ni product ya theofilo au udom au MMU. KAKA BADO NI MAPEMA HEBU FANYA MENGINE UTAKUFA UNALAUMU NA MAJUKUMU YANAONGEZEKA KESHO NA KESHO KUTWA UMEOA, UNA MTOTO SIJUI UTAMWAMBIA OOOH NDALICHAKO NDIYE KATULAZA NJAA. VYETI VYAKO HIVYO NI KAMA MAKARATASI KAMA VINAKUFANYA UENDELEE KULAUMU NDALICHAKO KWA WEWE KUKOSA AJIRA. NAJUA MAUMIVU YA KUKOSA AJIRA MWENYEWE YAMENIPATA ILA SINA MUDA WA KULAUMU NASONGA MBELE BROTHER.
 
Back
Top Bottom