Mkuu Tenende, hiki ndicho kilichotokea kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, baada ya waziri na IGP kujiuzulu, RPC, RSO, DPO na DSO walipandishwa kizimbani!. RC na DC walistaafishwa!.Orodha ya wanaotakiwa kujiuzulu:1. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Nchimbi; 2. IGP, Saidi Mwema, mnasubiri nini kujiuzulu ili kusetiri aibu ya serikali?!.3. RPC;4. RCO;5. DCO;6. DC;7. RC
Wana bodi, inawezekana tukio la mauaji ya Kamanda polisi huko mwanza, ni just a "part payment" ya mabaya mengi yanayofanywa na polisi, sio lazima liwe ni payback time ya Mwangosi, not necesarily, bali kwa kila tukio linalotokea chini ya mbingu, ni "pre meditated event".Wanabodi,
Wale wenye kumbukumbu ya Kesi ya Mauaji Mwanza, kilichomtokea Daudi Mwangosi mikononi mwa polisi sote tumekiona, sasa nauliza hivi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Nchimbi na IGP, Saidi Mwema, mnasubiri nini kujiuzulu ili kusetiri aibu ya serikali?!.
Kama ni kweli polisi mfyatuaji risasi atapandishwa kizimbani, then RPC wake nae ndie amtangulie, huku waziri Nchimbi na IGP Mwema, wao bado wanasubiri nini kuwajibika?.
Hata hivyo, damu ya mtu, haiwezi kupotea bure!, sio damu tuu ya Mwangosi, bali damu za wote zilizo mwagika bila hatia, kwa mujibu wa sheria kubwa kabisa iitwayo The Law of Karma, damu zote hizo lazima zitafidiwa kwa damu au kwa adhabu kubwa zaidi ya damu!. Tatizo la fidia, inaweza kuwa kubwa kuliko tukio lenyewe au hata kuwakumba na wasio husika ili kuisafisha roho ya marehemu!.
Hivyo hata wahusika wasipowajibishwa, then at the end of the day, ni muwajibishaji wa mwisho ndio atakaye lipia the final price!.
Pasco!.
Haya niliyasema zaidi ya Mwaka mmoja uliopita, kilichomtokea Nchimbi ni hicho kwenye bold ya blue "karma" at work. Sijui Saidi Mwema Asasubiri Nini?!.Wanabodi,
Wale wenye kumbukumbu ya Kesi ya Mauaji Mwanza, kilichomtokea Daudi Mwangosi mikononi mwa polisi sote tumekiona, sasa nauliza hivi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Nchimbi na IGP, Saidi Mwema, mnasubiri nini kujiuzulu ili kusetiri aibu ya serikali?!.
Kwa mnaokumbuka hiyo kesi, naomba niwakumbushe kwa mujibu wa kumbukumbu yangu, nilikuwa darasa la 4 hivyo baadhi ya facts zinaweza zisiwe right!.
Kwa kawaida askari wale mlio washuhudia wamemzingira Mwangosi, wao walikuwa wanatimiza wajibu wao kwa mujibu wa amri amri halali ya mkubwa wao!. Baada ya kutokea kilucho tokea, huyo mkubwa wao aliyetoa amri, anasubiriwa nini ili hali by now alitakiwa awekwe chini ya ulinzi then and there!, na wakuu wao Nchimbi na Mwema walipaswa by now wawe wameshawasilisha barua zao za kujiuzulu!.
Askari polisi hawezi kushitakiwa kwa kutekeleza amri halali ya mkuu wake, anayetakiwa kushitakiwa kwanza ni aliyetoa amri!.
Kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, iliyotokea mwaka 1976 na kesi kuendeshwa mwaka 1979 baada ya kutokea vifo vya watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe, Bw. Masanja Mazengenuka na Isaack Mwana Mkoboko, Waziri wa mambo ya Ndani wakati huo Ali Hasan Mwinyi alijiuzulu, mkuu wa Polisi, Pundugu alistaafishwa kwa manufaa ya umma. Mkuu wa Usalama wa Taifa, Mzena alistaafishwa kwa manufaa ya umma. Walioshitakiwa ni RPC wa Mwanza, Cassian Mkwawa, RS wa Mwanza, Andrew M na DSO, Jemes Ihuya!.
Wakati huo, Peter Kisumo ndiye alikuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, naye pia aliwajibika!.
Wakuu hao watatu wa polisi walikuwa wakiishi nyumba tatu zilizofuatana zikiwa Isamilo ya chini ikianza ya Ihuya, ikafuatia ya Andew M na ya mwisho ni ya Mkwawa!. Just imagine hali ilikuwaje mtaani wakati vigogo watatu wanene wa mutaa wote wanashitakiwa kwa kosa la mauaji!.
Kama ni kweli polisi mfyatuaji risasi atapandishwa kizimbani, then RPC wake nae ndie amtangulie, huku waziri Nchimbi na IGP Mwema, wao bado wanasubiri nini kuwajibika?.
Hata hivyo, damu ya mtu, haiwezi kupotea bure!, sio damu tuu ya Mwangosi, bali damu za wote zilizo mwagika bila hatia, kwa mujibu wa sheria kubwa kabisa iitwayo The Law of Karma, damu zote hizo lazima zitafidiwa kwa damu au kwa adhabu kubwa zaidi ya damu!. Tatizo la fidia, inaweza kuwa kubwa kuliko tukio lenyewe au hata kuwakumba na wasio husika ili kuisafisha roho ya marehemu!.
Hivyo hata wahusika wasipowajibishwa, then at the end of the day, ni muwajibishaji wa mwisho ndio atakaye lipia the final price!.
Pasco!.
Up Date.
Pay back time imeshaanza.
@dudusWanabodi,
Wale wenye kumbukumbu ya Kesi ya Mauaji Mwanza, kilichomtokea Daudi Mwangosi mikononi mwa polisi sote tumekiona, sasa nauliza hivi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Nchimbi na IGP, Saidi Mwema, mnasubiri nini kujiuzulu ili kusetiri aibu ya serikali?!.
Kwa mnaokumbuka hiyo kesi, naomba niwakumbushe kwa mujibu wa kumbukumbu yangu, nilikuwa darasa la 4 hivyo baadhi ya facts zinaweza zisiwe right!.
Kwa kawaida askari wale mlio washuhudia wamemzingira Mwangosi, wao walikuwa wanatimiza wajibu wao kwa mujibu wa amri amri halali ya mkubwa wao!. Baada ya kutokea kilucho tokea, huyo mkubwa wao aliyetoa amri, anasubiriwa nini ili hali by now alitakiwa awekwe chini ya ulinzi then and there!, na wakuu wao Nchimbi na Mwema walipaswa by now wawe wameshawasilisha barua zao za kujiuzulu!.
Askari polisi hawezi kushitakiwa kwa kutekeleza amri halali ya mkuu wake, anayetakiwa kushitakiwa kwanza ni aliyetoa amri!.
Kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, iliyotokea mwaka 1976 na kesi kuendeshwa mwaka 1979 baada ya kutokea vifo vya watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe, Bw. Masanja Mazengenuka na Isaack Mwana Mkoboko, Waziri wa mambo ya Ndani wakati huo Ali Hasan Mwinyi alijiuzulu, mkuu wa Polisi, Pundugu alistaafishwa kwa manufaa ya umma. Mkuu wa Usalama wa Taifa, Mzena alistaafishwa kwa manufaa ya umma. Walioshitakiwa ni RPC wa Mwanza, Cassian Mkwawa, RS wa Mwanza, Andrew M na DSO, Jemes Ihuya!.
Wakati huo, Peter Kisumo ndiye alikuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, naye pia aliwajibika!.
Wakuu hao watatu wa polisi walikuwa wakiishi nyumba tatu zilizofuatana zikiwa Isamilo ya chini ikianza ya Ihuya, ikafuatia ya Andew M na ya mwisho ni ya Mkwawa!. Just imagine hali ilikuwaje mtaani wakati vigogo watatu wanene wa mutaa wote wanashitakiwa kwa kosa la mauaji!.
Kama ni kweli polisi mfyatuaji risasi atapandishwa kizimbani, then RPC wake nae ndie amtangulie, huku waziri Nchimbi na IGP Mwema, wao bado wanasubiri nini kuwajibika?.
Hata hivyo, damu ya mtu, haiwezi kupotea bure!, sio damu tuu ya Mwangosi, bali damu za wote zilizo mwagika bila hatia, kwa mujibu wa sheria kubwa kabisa iitwayo The Law of Karma, damu zote hizo lazima zitafidiwa kwa damu au kwa adhabu kubwa zaidi ya damu!. Tatizo la fidia, inaweza kuwa kubwa kuliko tukio lenyewe au hata kuwakumba na wasio husika ili kuisafisha roho ya marehemu!.
Hivyo hata wahusika wasipowajibishwa, then at the end of the day, ni muwajibishaji wa mwisho ndio atakaye lipia the final price!.
Pasco!.
Up Date.
Pay back time imeshaanza.