Kwani anafanya kazi gani tangu amekuwa Waziri wa mambo ya Ndani? Au amefanya kipi tangu apewe nyadhifa hizo kwenye wizara alizopita??Nchimbi anatusikitikia tutapata wapi waziri kama yeye akijiuzulu!
This is political figure my friend Mawaziri tulionao hadi sasa labda ni wawili wakizidi ni watano; Prof. wa Nishati na madini ndiye Waziri wa kwanza akifuatiwa kidogo na Mwakyembe. Niambie wewe unaowajua wana uwajibikaji
Watu wamewekwa wale ndugu hawajui dhana ya uwajibikaji, we hukumwona kagasheki anaambiwa ukweli na Mhe. Msigwa akakasirika utafikiri kuwajibika ni Dhambi. Tuung'oe huu utawala even before time, tunasubiri nini!!! Mbona waislamu wameweza kuwatoa wenzao jana jamani?? PEOPLES' POWER IS REQUIRED HERE.