hebu ngoja nikuulize swali jepesi.kwakuwa kikwete ni muislam,na vurugu zinazofanywa na kina ponda(wewe unadai ni za waislam)je!unadhani rais anamuunga mkono ponda kwa kuwa ni muislam mwenzake na yuko kwenye harakati za kutekeleza uislam wake?
bila shaka unatambua kama Ponda na wenzake ni watetezi wazuri wa muumini mwenzao Kikwete,na wakati wanapokuwa wanafanya hivyo wanaitwa wanaharakati wa kislamu na watetezi wa mali za waislamu! sasa mimi nashangaa ghafla tu baada ya kuchoma nyumba za kuabudia za makafir eti wanaitwa wahuni!!