Hata mimi nimesikia kuna sehemu ni kijiwe cha mpira huwa tunaangalia watu zaidi ya 100 hv,wakati huo wa taarifa ya habari kuna mchezo kati ya Arsenal vs Norwich so upande mmoja watu waliomba tuangalie taarifa ya habari ndo tukakutana na hiyo kauli ya Nchimbi kweli watu wamekasilika sana na hapa chini ni maswali ambayo wameuliza
1. Je hii mihadhala mbone wameizuia kwa mwezi mmoja wakati wenye mihadhala hawahusiki bali ni wahusika ni wahuni
2. Ilikuwaje mf.uchomaji wa makanisa mbagala watu wakatokea msikitini na kwenda kuchoma kanisa
3. Kwa nini hawa wahuni hawajawahi kuchoma hata msikiti mmoja hapa TZ
4. Kwa nini shekh Ponda amekamatwa au na yy ni mhuni
5. Je Nchimbi alimsikia Kova wakati anasifia ukristu kuwa ni wavumilivu sana mbona hakuwataja waislam
6. Inakuwaje Zenji watoe waraka wa kutaka kukata vichwa kwa viongozi wa dini flani.
Ndugu yangu Nchimbi hizi dhambi zinazo sababishwa na unafiki wako lini utazitubu ndugu yangu hata kama ni kubembeleza cheo siyo hivyo au unaogopa utakuwa chizi usiogope kwani dogo wa mbagala yupo kitaa anadunda tu, badilika ndg!
Katika taarifa saa mbili usiku TBC, waziri Nchimbi anasema si haki kusema makanisa yaliporwa na waislamu, ila ni wahuni tu.
Je kama hivyo ndivyo ilivyo je kuna haja gani ya kuzuia mihadhara ya kidini kwa mwezi mmoja, je si kuwanyima haki wanadini iwapo wanaoleta vurugu si vikundi vya dini?
Je huu si ukanganyaji wa ukweli toka ngazi za juu.?
Katika taarifa saa mbili usiku TBC, waziri Nchimbi anasema si haki kusema makanisa yaliporwa na waislamu, ila ni wahuni tu.
Je kama hivyo ndivyo ilivyo je kuna haja gani ya kuzuia mihadhara ya kidini kwa mwezi mmoja, je si kuwanyima haki wanadini iwapo wanaoleta vurugu si vikundi vya dini?
Je huu si ukanganyaji wa ukweli toka ngazi za juu.?
Mimi naona kunatatizo katika mfumo mzima wa utawala wa nchi hii. Viongozi hawana tena umoja na wala Raisi wa nchi hana udhibiti kwa baraza lake la mawaziri. Angalia kila waziri anaongelea kila jambo na kutoa kauli zisizo makini na zinazo kinzana. Angalia kwa mtazamo wa haraka tu, huyu Nchimbi alitakiwa kuwa amewajibika toke matukio ya Morogoro na Iringa lakini WAPI!...
Sina uhakika kama kamati ya ulinzi na usalama haijui jinsi dola ilivyo liandaa bomu hili la udini kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010, hoja ambayo haikupata mashiko lakini bado mkuu wa nchi aliuelezea uma kuwa tatizo kubwa la TZ ni udini na wala si udhaifu wa raisi na serikali yake.
Hakika tunatakiwa kubadili uongozi wa taifa hili ili nasisi tufaidi rasilimali ambazo Mungu ametujali wa Tanzania.
Yaani CHADEMA wakisikia neno KANISA akili zinawaruka kabisa, hv muna interest gani kwenye kanisa?
Waziri Nchimbi kasema ukweli hao wanafanya vurugu ni wahuni hata kama ni waumini wa madhehebu ya kiislamu. Unaposema kajikanganya unamaanisha nini?
Udhaifu wa Rais na serikali yake ndio umepika hili tatiso la udini.
Mbona halikuwepo wakati wa BWM?
Sijawahi kukaaa nimwamini nchimbi, na sitokaa nimwamini Kiongozi yeyote aliyepitia UVCCM ambayo kwangu naiita tanuru la kutengeneza vijana wanafiki, waongo na wanaojipendekeza tanzania.huyu NChimbi anaweweseka nasikia kuna watu wanamdanganya kuwa naye anaweza kuwa rais hivyo ka defect kutoka kwa mvi.
Yale ya muembe chai 1998 na mauaji ya zanzibar 2001 ilikuwa wakati wa nani vile?
:thinking::thinking::thinking:
Unauliza majibu? ile ni combination ya BWM na Jemedari Mahita!
Tatizo sio wizara kama mh.Rais JK kilaza tutegemee nini kutoka kwa nchimbi MUNGU IBARIKI TANZANIA.Hii wizara Nchimbi haiwezi.
Katika taarifa saa mbili usiku TBC, waziri Nchimbi anasema si haki kusema makanisa yaliporwa na waislamu, ila ni wahuni tu.
Je kama hivyo ndivyo ilivyo je kuna haja gani ya kuzuia mihadhara ya kidini kwa mwezi mmoja, je si kuwanyima haki wanadini iwapo wanaoleta vurugu si vikundi vya dini?
Je huu si ukanganyaji wa ukweli toka ngazi za juu.?