Hapo ndipo panapowawia vigumu CCM.
Kufanya maamuzi magumu ni jambo ambalo linawashinda sana.
Kama hao madiwani wamesaliti chama then kwa nini wasiwatimue?
hawana ubavu,kama una nia ya kurudi ccm tafuta sababu rahisi!Wakiwatimua narudi CCM.
Kama kweli Nchimbi ni dokta hakaika kwa hili swala ameaibisaha wanataaluma wote wa TZ!! Ni vyema hata ile nafasi aliyoteuliwa nayo na huyu mwenye Nchi aachie ngazi ili kuitoaibisha wantaaluma wa TZ Kama vile Dk Slaa, Prof Baregu nA Prof Safari!!
Kama kweli Nchimbi ni dokta hakaika kwa hili swala ameaibisaha wanataaluma wote wa TZ!! Ni vyema hata ile nafasi aliyoteuliwa nayo na huyu mwenye Nchi aachie ngazi ili kuitoaibisha wantaaluma wa TZ Kama vile Dk Slaa, Prof Baregu nA Prof Safari!!
Mzee slaa... kwa elimu yake ya viji certificate katika kusomea upadre ... ndio mnamuona dr. wa ukweli...?