mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Napendekeza wakuu wote wa mashirika ya umma wafanyiwe usaili kwa ushindani. Napendekeza nafasi zianze kutangazwa punde nafasi ikiwa wazi ili wenye sifa wajitokeze na wafanyiwe usaili na iwe hivyo hivyo kwa bodi. Wenye sifa ndio wafanyiwe upekuzi kufanyiwa uteuzi na kupewa mkataba wenye malengo yanayopimika.
Mashirika na taasisi zingine, bodi na Menejimenti zimezidisha urafiki sana na wanaendesha ofisi kirafiki, hakuna uwajibikaji wa kutosha, hii inakiuka misingi ya mashirika kuwa na bodi za wakurugenzi. Hii inasababisha watu wakikabidhiwa shirika la umma wanageuza ni mali yao au duka.
--
Mheshimiwa Spika, napendekeza mashirika yote ya umma yenye kufanya kazi kwa misingi ya kibiashara yafanye kazi kwa ufanisi na faida. Yale yasiyofanya kazi kibiashara tutayapima kwa namna wanavyowezesha uchumi kuchangamka na jinsi wanavyoimarisha huduma wanazozitoa kwa jamii. Mashirika mengi ni mzigo kwa Serikali kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini ili yajiendeshe.
Kwa nchi zilizoendelea, mapato makubwa ya Serikali yanatoka kwenye mashirika yake ili kuwapunguzia mzigo maskini wa kulipa kodi ili ziendeshe mashirika hayo lakini pia kupunguzia Serikali kutegemea kukusanya fedha kutoka kwa watu maskini.
Napendekeza wakuu wote wa mashirika ya umma wafanyiwe usaili kwa ushindani. Napendekeza nafasi zianze kutangazwa punde nafasi ikiwa wazi ili wenye sifa wajitokeze na wafanyiwe usaili na iwe hivyo hivyo kwa bodi. Wenye sifa ndio wafanyiwe upekuzi kufanyiwa uteuzi na kupewa mkataba wenye malengo yanayopimika.
Mashirika na taasisi zingine, bodi na Menejimenti zimezidisha urafiki sana na wanaendesha ofisi kirafiki, hakuna uwajibikaji wa kutosha, hii inakiuka misingi ya mashirika kuwa na bodi za wakurugenzi. Hii inasababisha watu wakikabidhiwa shirika la umma wanageuza ni mali yao au duka.
Mashirika na taasisi zingine, bodi na Menejimenti zimezidisha urafiki sana na wanaendesha ofisi kirafiki, hakuna uwajibikaji wa kutosha, hii inakiuka misingi ya mashirika kuwa na bodi za wakurugenzi. Hii inasababisha watu wakikabidhiwa shirika la umma wanageuza ni mali yao au duka.
--
Mheshimiwa Spika, napendekeza mashirika yote ya umma yenye kufanya kazi kwa misingi ya kibiashara yafanye kazi kwa ufanisi na faida. Yale yasiyofanya kazi kibiashara tutayapima kwa namna wanavyowezesha uchumi kuchangamka na jinsi wanavyoimarisha huduma wanazozitoa kwa jamii. Mashirika mengi ni mzigo kwa Serikali kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini ili yajiendeshe.
Kwa nchi zilizoendelea, mapato makubwa ya Serikali yanatoka kwenye mashirika yake ili kuwapunguzia mzigo maskini wa kulipa kodi ili ziendeshe mashirika hayo lakini pia kupunguzia Serikali kutegemea kukusanya fedha kutoka kwa watu maskini.
Napendekeza wakuu wote wa mashirika ya umma wafanyiwe usaili kwa ushindani. Napendekeza nafasi zianze kutangazwa punde nafasi ikiwa wazi ili wenye sifa wajitokeze na wafanyiwe usaili na iwe hivyo hivyo kwa bodi. Wenye sifa ndio wafanyiwe upekuzi kufanyiwa uteuzi na kupewa mkataba wenye malengo yanayopimika.
Mashirika na taasisi zingine, bodi na Menejimenti zimezidisha urafiki sana na wanaendesha ofisi kirafiki, hakuna uwajibikaji wa kutosha, hii inakiuka misingi ya mashirika kuwa na bodi za wakurugenzi. Hii inasababisha watu wakikabidhiwa shirika la umma wanageuza ni mali yao au duka.