Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Poleni wote mliopatwa na msiba baada ya ajali iliyosababisha vifo vya wanahabari kadhaa huko Mwanza.
Pili nichukue fursa Hii kumwombea msamaha Mhe. Nape Kwa kuteleza wakati anatoa salamu za rambirambi. Nasema nimwombee msamaha kwa sababu alichokisema hakitekelezeki Kwa njia yoyote Ile. Naomba kueleza kwanini hakitekelezeki
1. Amevitaka VYOMBO vya habari kuwalipa stahiki zao marehemu ndani ya siku Saba; naomba kumuuliza Mhe. Waziri amewahi kupata msiba wa mtendaji aliyepo chini yake? Kama amewahi kupata msiba Tena wa ghafla kama huu atakubaliana na Mimi Kwamba watumishi wenzao na marehemu wanakuwa busy kuhakikisha Kwamba wanafanikiwa kumhifadhi mpendwa wao.
Hapa hakuna mtu mwenye uchungu uwaza madeni na mambo mengine bali WATU uwaza walivyompoteza mwenzao na namna gani ahifadhiwe. Shughuli uchukua wiki Hadi wiki mbili ofisi kutulia, Je waache msiba wafuatilie madeni anayodai na ambayo awajawahi kufikiria kuwadhulumu? Kwanini amekosa Imani na wamiliki wa VYOMBO vya habari mapema hivi? Atawezaje kushirikiana na WATU asiowaamini?
2. Marehemu azungumzi na wala halipwi Chocho wanalipwa wanafamilia. Mhe. Waziri unataka kutuaminisha kwamba familia za wana habari tayari zimeteua WATU wakulipwa haki za wapendwa wao?Kwamba ndani ya siku Saba familia zitakuwa zimekamilisha taratibu zote zakuteua utaratibu wa malipo na kuwasilisha kwa mwajiri? Nadhani Mhe. Waziri alipaswa kutoa neno la pole na kutoa rambirambi kuliko kuwaza Madara yake kwamba Yana nguvu kiasi gani.
3. Ameeleza Msibani kwamba leseni za wamiliki wa vyombo vya habari zipo mikononi mwake means anaweza kufunga na kufungua anavyojisikia. It's fine lakini atueleza kifungu gani kinampa mamlaka yakukiwajibisha chombo Cha habari kisipolipa haki za marehemu ndani ya siku Saba? Je alijipanga kuyasema haya au roho mchafu katingisha stability yake?
4. Ameongea kuhusu ajali akionesha kwamba kuna aina ya hujuma japo ajasema Moja Kwa Moja but it's like anaamini ajali za wanahabari si zakawaida. Ametaka jeshi la Polisi kuwasilisha ripoti kwake, Je tatizo lililotajwa na Polisi kwamba gari zilikuwa speed hakubaliani nalo? Arejee speed ya msafara wake aone kama je kwa miundombinu yetu speed zinakidhi au kunahitajika marekebisho kulinda afya za wanamsafara wa viongozi?
Kwa kifupi Nape ameteleza japo ajaanguka, nimwombee msamaha kwa utelezi uliomzinga ila pia nimwombe atulie na kumwomba Mwenyenzi Mungu amsaidie Nini aseme na aseme wapi na wakati gani. Poleni wamiliki wa vyombo vya habari kwa kuonekena wadhulumati
Pili nichukue fursa Hii kumwombea msamaha Mhe. Nape Kwa kuteleza wakati anatoa salamu za rambirambi. Nasema nimwombee msamaha kwa sababu alichokisema hakitekelezeki Kwa njia yoyote Ile. Naomba kueleza kwanini hakitekelezeki
1. Amevitaka VYOMBO vya habari kuwalipa stahiki zao marehemu ndani ya siku Saba; naomba kumuuliza Mhe. Waziri amewahi kupata msiba wa mtendaji aliyepo chini yake? Kama amewahi kupata msiba Tena wa ghafla kama huu atakubaliana na Mimi Kwamba watumishi wenzao na marehemu wanakuwa busy kuhakikisha Kwamba wanafanikiwa kumhifadhi mpendwa wao.
Hapa hakuna mtu mwenye uchungu uwaza madeni na mambo mengine bali WATU uwaza walivyompoteza mwenzao na namna gani ahifadhiwe. Shughuli uchukua wiki Hadi wiki mbili ofisi kutulia, Je waache msiba wafuatilie madeni anayodai na ambayo awajawahi kufikiria kuwadhulumu? Kwanini amekosa Imani na wamiliki wa VYOMBO vya habari mapema hivi? Atawezaje kushirikiana na WATU asiowaamini?
2. Marehemu azungumzi na wala halipwi Chocho wanalipwa wanafamilia. Mhe. Waziri unataka kutuaminisha kwamba familia za wana habari tayari zimeteua WATU wakulipwa haki za wapendwa wao?Kwamba ndani ya siku Saba familia zitakuwa zimekamilisha taratibu zote zakuteua utaratibu wa malipo na kuwasilisha kwa mwajiri? Nadhani Mhe. Waziri alipaswa kutoa neno la pole na kutoa rambirambi kuliko kuwaza Madara yake kwamba Yana nguvu kiasi gani.
3. Ameeleza Msibani kwamba leseni za wamiliki wa vyombo vya habari zipo mikononi mwake means anaweza kufunga na kufungua anavyojisikia. It's fine lakini atueleza kifungu gani kinampa mamlaka yakukiwajibisha chombo Cha habari kisipolipa haki za marehemu ndani ya siku Saba? Je alijipanga kuyasema haya au roho mchafu katingisha stability yake?
4. Ameongea kuhusu ajali akionesha kwamba kuna aina ya hujuma japo ajasema Moja Kwa Moja but it's like anaamini ajali za wanahabari si zakawaida. Ametaka jeshi la Polisi kuwasilisha ripoti kwake, Je tatizo lililotajwa na Polisi kwamba gari zilikuwa speed hakubaliani nalo? Arejee speed ya msafara wake aone kama je kwa miundombinu yetu speed zinakidhi au kunahitajika marekebisho kulinda afya za wanamsafara wa viongozi?
Kwa kifupi Nape ameteleza japo ajaanguka, nimwombee msamaha kwa utelezi uliomzinga ila pia nimwombe atulie na kumwomba Mwenyenzi Mungu amsaidie Nini aseme na aseme wapi na wakati gani. Poleni wamiliki wa vyombo vya habari kwa kuonekena wadhulumati