Inategemea kama wavamiwaji wataamua kwenda ifungua maana wao ndio ushahidi.Najaribu kujiuliza maswali mengi hasa pale nipo msikiliza @nape akihojiwa na Salama Jabri katika vipindi vyake,sasa naona ile Report ya Uvamizi wa CMG kama utatolewa! na hapo Ndipo namuona Makonda kupelekwa mahakamani, Kwa kuwa ni tukio lililotengenezwa na mtu kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar na alionekena katika video! Hata Nape alipozuiwa kutoa press na kutolewa bastola ni sinema ya kutengenezwa. Nini maoni yako juu ya hili??
Je na clouds wakikanusha kujitoa kuwa hawahusiki na hiyo kesi huyo nape ushahidi atautoa wapiNape atakua mjinga asipolitumia hilo rungu,
Nape na Clouds ni sawa na kota na pichu hivyo hawezi kukataa.Je na clouds wakikanusha kujitoa kuwa hawahusiki na hiyo kesi huyo nape ushahidi atautoa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Itolewe mara ngapi? Kwani unadhani ni kwanini Nape alitumbuliwa?!Najaribu kujiuliza maswali mengi hasa pale nipo msikiliza @nape akihojiwa na Salama Jabri katika vipindi vyake,sasa naona ile Report ya Uvamizi wa CMG kama utatolewa!
Dotto James alituhumiwa, Makonda alituhumiwa pia. Hatuendi kwa mwendo kasi bali taratibu kama mzee Kobe. Wataelekezwa kibra mmoja baada ya mwingine bila kusababisha ishara ya aina yeyote ile na watawajibishwa.Najaribu kujiuliza maswali mengi hasa pale nipo msikiliza @nape akihojiwa na Salama Jabri katika vipindi vyake,sasa naona ile Report ya Uvamizi wa CMG kama utatolewa! na hapo Ndipo namuona Makonda kupelekwa mahakamani, Kwa kuwa ni tukio lililotengenezwa na mtu kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar na alionekena katika video! Hata Nape alipozuiwa kutoa press na kutolewa bastola ni sinema ya kutengenezwa. Nini maoni yako juu ya hili??
Mmmmmmh! Dina!!, acheni hizo jamani, tuwe na moyo wa kusamehe.
(Ila Nape walimnyanyasa kinoma, Bashite na Baba yake, wakalituma likachero likaenda na bastora)
Nape ukilifanya hili utafaa kuwa waziri maradufu. Makonda kabwana mdogo kalijiona ndiko kenye nchi ama kaka mkubwa wa nchi yetu yaani akiamua kuchukua gari lako kisa unauza dawa unamhonga.Nakukumbusha Mh. WAZIRI mteule wa wizara ya habari. Mara baada ya kiapo chako naomba urudi viunga vya St. Peter ukasome ripoti ya tume ya Uvamizi wa KITUO Cha Clouds.
Kisha tuendelee na mapendekezo ya tume huu ndio muda wa kuikomboa tasnia.
Na yule alikutolea bastola tumuite aseme nani alimtuma, Kama vipi Ubaya Ubaya tu .
Mbona wapuuzi waliomfanyia ujinga ule hamkusema waache nongwaAcheni nongwa.
Atakapo jidanganya kuanzia hapo ajiandae kupigwa chini maana atakuwa hafai ktk uongoziNakukumbusha Mh. Waziri mteule wa wizara ya habari. Mara baada ya kiapo chako naomba urudi viunga vya St. Peter ukasome ripoti ya tume ya Uvamizi wa KITUO Cha Clouds.
Kisha tuendelee na mapendekezo ya tume huu ndio muda wa kuikomboa tasnia.
Na yule alikutolea bastola tumuite aseme nani alimtuma, Kama vipi Ubaya Ubaya tu .