johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Waziri wa Teknolojia na Habari Nape Nnauye amempongeza Waziri wa zamani wa mawasiliano na teknolojia, mzee Mark Mwandosya kwa kazi nzuri ya kuandika kitabu chenye faida kwa taifa.
Mh Nape ametoa pongezi hizo za shukrani kupitia page yake ya twitter!
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mh Nape ametoa pongezi hizo za shukrani kupitia page yake ya twitter!
Mungu wa mbinguni awabariki sana!