Waziri Nape, mmeamua walimu na wanafunzi wafanye kazi ya anuani za makazi bure baada ya halmashauri kutafuna pesa za kuwalipa waliofanya kazi?

polokwane

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
3,362
5,808
Hebu soma maagizo hayo hapo chini

Hello Gavanas naomba kupata taarifa kwa kila kijiji ambao tayari wameshafikishiwa Rangi za kuandika No za nyumba ktk mitaa yenu.

Kazi hii ya kuandika no inatakiwa kufanyika kwa siku 2 tu yani Leo Ijumaa hadi Jumapili saa sita usiku ndio mwisho.

Ushauri wangu shirikianene na

1. Viongozi na wanachama wa CCM ktk kuandika no
2. Walimu wote na wanafunzi haswa wa selondari
3. Jeshi letu la Akiba ni muhimu sana kufanya kazi hii
4. Scout wote washirikI.
5. Wananchi wote

N.B kazi hii ni ya Usiku na mchana ili kufikia lengo.

KAZI HII NIYA KUJITOLEA MAGAVANA

*********************************

Tunafuatilia ni halmashauri gani iliyo toa maelekezo hayo hapo juu tutaiweka hapa soon.

Updates:
Baada ya kufuatilia kwa makini tumepewa taarifa kwamba ujumbe huo ni kutoka halmashauri ya wilaya kilosa ambapo wanafunzi na walimu wamefanya kazi hadi usiku wa jana kwa kujitolea na maeneo mengine kazi inaendelea wakitumika wanafunzi na walimu kuandika namba za makazi huku baadhi ya watu walio pewa kazi ya ya kuandika anuani za makazi hawajalipwa pesa zao.
 
Koo hata sensa watu tunakopwa? Maana miaka hiyo nikiwa nasoma nilisha fanya hii kazi ya kuhesabu watu.
 
Nini maana ya ulaji kulingana na urefu wa kamba?
Hata kama ni ulaji hii inavuka mipaka watu hawajalipwa halafu waziri anazurura na helkopta na kujinasibu kwamba zoezi limefanikiwa 104%
 
Ni ujinga kudhani eti bado kuna watu ccm wenye nia ya kuivusha nchi!

Miaka yote hii ilobaki ya utawala huu mzuri wa Rais Samia hakutakuwa na chochote cha maana zaidi ya kumtukana asiyekuwepo,

Maprof na wasomi kuchwa kutwa, wanamsimanga Marehemu, MTU ambayo hayuko nasi mwaka na sasa!
 
KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE ( KILA MTU AIBE KULINGANA NA NGUVU NA UJANJA WAKE).

kazi iendelee!
 
Jitahidi kuandika vizuri ueleweke , baadhi ya makosa;

*Heading haikupupaswa kuwa na dots mbili
*Selondari =Sekondari
 
Hebu soma maagizo hayo hapo chini

Hello Gavanas naomba kupata taarifa kwa kila kijiji ambao tayari wameshafikishiwa Rangi za kuandika No za nyumba ktk mitaa yenu.
Kazi hii ya kuandika no inatakiwa kufanyika kwa siku 2 tu yani Leo Ijumaa hadi Jumapili saa sita usiku ndio mwisho.
Ushauri wangu shirikianene na
1. Viongozi na wanachama wa ccm ktk kuandika no.
2. Walimu wote na wanafunzi haswa wa selondari.
3. Jeshi letu la Akiba ni muhimu sana kufanya kazi hii.
4. Scout wote washirikI.
5. Wananchi wote
N.B kazi hii ni ya Usiku na mchana ili kufikia lengo.
KAZI HII NIYA KUJITOLEA MAGAVANA
*********************************

Tunafuatilia ni halmashauri gani iliyo toa maelekezo hayo hapo juu tutaiweka hapa soon.
Yaani umepata nakala ya kilichoandikwa na ukakipost humu lakini hujui kimetoka halmashauri gani? Wewe ni mpumbavu wa hali ya juu. Na mods sijui wameenda kuangalia Mashindano ya Miss Tanzania?
 
Jitahidi kuandika vizuri ueleweke , baadhi ya makosa;

*Heading haikupupaswa kuwa na dots mbili
*Selondari =Sekondari
Hiyo ni nukuu ya mtoa maagizo hayo sio mimi,
nimeileta kama ilivyo tufikia na hivyo ndivyo mtoa maagizo alivyo andika
 
Yaani umepata nakala ya kilichoandikwa na ukakipost humu lakini hujui kimetoka halmashauri gani? Wewe ni mpumbavu wa hali ya juu. Na mods sijui wameenda kuangalia Mashindano ya Miss Tanzania?
Ungeanza kwanza kumuita mpumbavu mama yako kabla yangu kitu kama huelewi jua hakikuhusu hivyo kaa pembeni tu waache wenyewe
 
Hebu soma maagizo hayo hapo chini

Hello Gavanas naomba kupata taarifa kwa kila kijiji ambao tayari wameshafikishiwa Rangi za kuandika No za nyumba ktk mitaa yenu.
Kazi hii ya kuandika no inatakiwa kufanyika kwa siku 2 tu yani Leo Ijumaa hadi Jumapili saa sita usiku ndio mwisho.
Ushauri wangu shirikianene na
1. Viongozi na wanachama wa ccm ktk kuandika no.
2. Walimu wote na wanafunzi haswa wa selondari.
3. Jeshi letu la Akiba ni muhimu sana kufanya kazi hii.
4. Scout wote washirikI.
5. Wananchi wote
N.B kazi hii ni ya Usiku na mchana ili kufikia lengo.
KAZI HII NIYA KUJITOLEA MAGAVANA
*********************************

Tunafuatilia ni halmashauri gani iliyo toa maelekezo hayo hapo juu tutaiweka hapa soon.

Updates.....
Baada ya kufuatilia kwa makini tumepewa taarifa kwamba ujumbe huo ni kutoka halmashauri ya wilaya kilosa ambapo wanafunzi na walimu wamefanya kazi hadi usiku wa jana kwa kujitolea na maeneo mengine kazi inaendelea wakitumika wanafunzi na walimu kuandika namba za makazi huku baadhi ya watu walio pewa kazi ya ya kuandika anuani za makazi hawajalipwa pesa zao.
Ukimuuliza Nape atashangaa sana.

Wabogo umiza vichwa sana
 
Wamenenepesha Ng'ombe Siku Ya Mnada Sasa Anaharisha
Yule Baba Angekuwepo DC, DED, DEO Wangefutwa Kazi

Yaani Pesa Wamekula Kazi Wanapewa Wanafunzi
 
Back
Top Bottom