Waziri na Wizara ya Mambo ya Nje wanashindwa majukumu yao: tit fot tat na Kenya

Umechangia kwa ustadi wa hali ya juu sana.
Ila huyo uliye muelimisha nadhani ametoka kapa maana tayari ana majibu yake kichwani tayari.
Sijaelewa kupaniki kwako kuna maana gani. Kama tulivyo huru na wao wako huru. Sisi tulisema kwetu hakuna corona na wao wameendelea kuonesha kwao ipo na maamuzi yao na yetu yameheshimiwa.

Tusichojua sisi ni kuwa corona katika anga za kimataifa ni tofauati kabisa. Njia za kupambana nayo ni tofauti na za nyumbani. Wakati hatuko katika list ya Kenya, tuko kwenye list ya UAE ikitutaka kufanye sawa sawa na inavotaka Kenya kwa mataifa 11 ya kwanza!! Tunatakiwa kupimwa ndani ya masaa 96 na tukifika Dubai pia tunapimwa kuthibitisha. Hii ndio itakuwa hali ya huko duniani. Wanatuchukulia kama tumezembea katika vita na corona!!

Tusibaki kulaumu!! Tuchukue hatua za kujiandaa kupima wasafiri wa kuja ndani na kwenda nje!! Ili tusiambukize au kuambukizwa!! Swala hili sio Kenya tu, ndio safari za kimataifa zitakavikuwa. Unafahamu chochote kuhusu cheti cha chanjo ya homa ya manjano???
 
Mna wivu wa kijinga mataga, aliye kuzidi kakuzidi tu hata ukifanya fitina hazitasaidia kitu.
Naona una huruma sana na wakenya, hamia kwao.

Haiwezekeni mtu kakuchokoza yeye halafu wewe uliyechokozwa uwe wa kwanza kuomba msamaha. Ni ujinga

Kama unaumia na huo uamzi nenda kwa wakenya wao si ndo unaona wastaarabu sana.
 
Sijaelewa kupaniki kwako kuna maana gani. Kama tulivyo huru na wao wako huru. Sisi tulisema kwetu hakuna corona na wao wameendelea kuonesha kwao ipo na maamuzi yao na yetu yameheshimiwa.

Tusichojua sisi ni kuwa corona katika anga za kimataifa ni tofauati kabisa. Njia za kupambana nayo ni tofauti na za nyumbani. Wakati hatuko katika list ya Kenya, tuko kwenye list ya UAE ikitutaka kufanye sawa sawa na inavotaka Kenya kwa mataifa 11 ya kwanza!! Tunatakiwa kupimwa ndani ya masaa 96 na tukifika Dubai pia tunapimwa kuthibitisha. Hii ndio itakuwa hali ya huko duniani. Wanatuchukulia kama tumezembea katika vita na corona!!

Tusibaki kulaumu!! Tuchukue hatua za kujiandaa kupima wasafiri wa kuja ndani na kwenda nje!! Ili tusiambukize au kuambukizwa!! Swala hili sio Kenya tu, ndio safari za kimataifa zitakavikuwa. Unafahamu chochote kuhusu cheti cha chanjo ya homa ya manjano???

mmeshasalimu amri huko na mshindi ni Tanzaniaaaaaaaaaaaaa
 
Kenya ipo juu sana na itazidi kututimulia mavumbi sana.
Mkuu inaelekea huelewi taztizo, na nia ya mandeleo ya kiuchumi si kutimualiana mavumbi bali kuongea ushikiano wa kibiashara kati ya nchi za Afrika Mashariki.
 
Tatizo letu tunalazimisha kuabudiwa na kila mtu, kumheshimu jirani yako ndiyo njia rahisi sana ya kulinda mahusiano.
Mkuu inaelekea huelewi taztizo, na nia ya mandeleo ya kiuchumi si kutimualiana mavumbi bali kuongea ushikiano wa kibiashara kati ya nchi za Afrika Mashariki.
 
Kuna wakati diplomacy never work, hivi mtu anazuia ndege na raia wa nchi yako kuingia katika nchi yake wewe unasubiri deplomacy? wao kabla hawaja zuia hawa kufikiri kama deplomacy ina hitajika? Kenya ni masikini the kama nchi zote za EAC hakuna haja ya kumbembeleza.
 
Nisaidie kumtafuta huyo sisimizi. Ukimpa niambie,
Wewe ni mjinga. Baki hivyo hivyo.
Screenshot_20200801-145157.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Yanayoendelea katika mahusiano kati ya Kenya na Tanzania kwa sasa hivi hanasikitisha. Kenya ni jirani yetu na jirani ni ndugu.

Hivyo basi, matukio matatu ya haraka haraka yaliyotokea yanatushangaza. Kwanza ndege ya ujumbe wa Kenya ili rudi au kurudishwa Nairobi hivi majuzi.

Ndege hii ilikuwa na ujumbe wa viongozi waliokuwa wanakuja kuaga na kuhani msiba wa Mzee Mkapa.

Pili, Kenya iliondoa ukaribisho kwa Watanzania, kati ya nchi nyingi, kwenda Kenya ati kutokana na janga la Korona.

Tatu, leo Tanzania kwa kulipiza kisasi imeondoa ruksa ya ndege za Kenya, KQ kutua Tanzania toka tarehe 1 Agosti, yaani kesho.

Sasa hapa napata wasi wasi juu ya ukaribu na mfululizo wa matukio haya.

Je, hakuna hotline kati ya wizara za nje kati ya Kenya na Tanzania?

Kweli watu wanafanya kazi zao kwa weledi hadi mambo yatokee hadharani na kuzivunjia heshima nchi zote mbili?

Mimi nayachukulia masuala haya kama failure in Diplomacy, na watu inabidi wawajibishwe.
Hivi mtu aliyeishi jalalani kwa zaidi ya nusu ya uhai wake unategemea akufanyie nini kipya?
 
Tungekuwa na watendaji wenye jicho la kibiashara, huu ulikuwa wakati wa kutengeneza hela sana.

Kenya hawana nafaka ya kutosha kwa ajili ya ugali, gidheri (makande) na pumba chakula cha ng'ombe. Hawana raw materials za kutosha kutoka kwenye pamba, ufuta au alizeti kwa ajili ya mashudu.

Huu ulikuwa wakati wa kuuza final products za mahindi (unga wa sembe au dona) na kuuza chakula cha wanyama kilichosindikwa kwa ajili ya kuku wao, ng'ombe au nguruwe.
Vitunguu na tangawizi, ilitakiwa tusindike na kuuza kama onion powder, ginger powder. Tunaongeza thamani kwa kutengeneza ajira na kupata fedha nyingi zaidi.

Yani ngoma zinachakatwa huku (tunazalisha ajira) then tunauza final products. Mbona wao wanauza siagi ya Blue band na prestige, bila hata kuitangaza. Wanauza maziwa ya brookside na New KCC. Hivi vimejaa supermarkets zao.

Very unfortunate, wizara za kilimo na wizara wa viwanda, wizara ya fedha hazina watu wenye DNA ya kujua namna gani ya kutengeneza synergy ili "tuwapige hela" kiroho safi kwa biashara zaidi. Chakula toka Tanzania ni kila kitu kwa Kenya ikujumuisha mchele wenye harufu nzuri.
Sahihi
 
Yap,umesema kweli tunategemeana tena sana tu.sema hawa jamaa wanajiona wao ni europe africa bahati mbaya.

EAC wao ndo wanajiona wakubwa(super power)alafu nchi zingine ni wadogo.

Sasa wanalianzishaga alafu TZ inamaliza. Wakileta ugoko tunaweka nondo.
Mjinga tu ndo hukimbilia kurusha ngumi linapotokea tatizo
 
Kati ya ma genius katika diplomacy in Dr Henry Kissinger, waziri wa mambo ya Nje wa Marekani kipindi cha Nixon.
Ile shuttle diplomacy yake ili saidia kutengua proxy war kule Vietnam , kati ya China/Urusi on one side na Marekani on the other side.
Pande zote mbili za mgogoro walikufa vijana wengi sana.
Kuongea maneno mezani hakujawahi kumuua mtu.

Zama za kissinger na leo ni tofauti sana, ndo maana unaona kina pompeo wanachukua approach tofauti.

Utakuwa mjinga uliyepitiliza kumpa baraka jirani yako akujeruhi kiuchumi. Btw, let's wait and see who blinks first.
 
Back
Top Bottom