Waziri na Wizara ya Mambo ya Nje wanashindwa majukumu yao: tit fot tat na Kenya

Hongereni sana kwa kuendelea na wimbo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama
Mkuu Kenya tupende tusipende hatuwezi kuikwepa kibiashara. Kenya ndio nchi ya pili kwa ukubwa wa biashara na Tanzania.

Hivyo tuyalee mahusiano hayo.
 
Hongereni sana kwa kuendelea na wimbo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama
Against all odds tutayamaliza matatizo na Kenya kistaarabu.
Tusiwe kama fisi anayesubiri kudandaoka kwa mkono wa binadamu akifikiria ni nyama itakayo dondoka wakati wowote.
 
Kiufupi mgogoro wa kiuchumi kati ya Kenya na Tanzania ni wa muda mrefu sana japo wamekuwa wakijitahidi kuufukia ila unaibuka tena, kibaya zaidi Wakenya wanahofu sana juu ya Tanzania kuwavuta nyuma ki uchumi na Tanzania kuwa mbele ya Kenya na hapa ndipo ukweli umelala. Yote tisa la kumi wahakikishe hii migogoro inafutika, kwani sote kuna kiasi tunategemeana.
Itachukua muda mrefu sana Tanzania kuikuta Kenya kiuchumi. Kitendo cha kuwa mabepari tangu mwanzo kimewafaidisha zaidi kuliko sisi wakomunisti.
 
Against all odds tutayamaliza matatizo na Kenya kistaarabu.
Tusiwe kama fisi anayesubiri kudandaoka kwa mkono wa binadamu akifikiria ni nyama itakayo dondoka wakati wowote.
Tulishauri sana juu ya hiyo issue inavyochukuliwa lkn mkatuona kuwa ni kuwaoneeni wivu kisa ni wapinzani.

Hilo suala msipo lichukulia kwa akili kubwa au kwa mihemuko mtajikuta mnaliingiza taifa kwenye mgogoro mkubwa.
 
Tanzania exports, imports and trade balance By Country. In 2018, Tanzania major trading partner countries for exports were Rwanda, Kenya, Congo, Dem. Rep., Zambia and Uganda and for imports they were China, India, United Arab Emirates, Saudi Arabia and South Africa.
Main Partner Countries
Main Customers
(% of Exports)
2018
Rwanda18.7%
Kenya9.2%
Zambia7.3%
Uganda5.3%
United States4.1%
See More Countries55.4%
https://www.nordeatrade.com/en/explore-new-market/tanzania/trade-profile
'Jidu', nashukuru sana kwa ushahidi huu uliouweka hapa, pamoja na kwamba sikuwahi kuuona mahali popote.

Mkuu, Nakataa. Nitajaribu kutafura ushahidi mbadala ya huu wenye uwezekano angalau kidogo.

Tatizo la nchi yetu, kati ya mengi, ni hili la kutokuwa na takwimu maalum (au hata kama zipo, zinafichwa, hazitolewi) kana kwamba ni siri.

Mfano ni huu uliotumia hapa. Si ingekuwa bora kama hizi takwimu zimetoka Benki Kuu yetu au ile idara yetu yenye siri kubwa na upotoshaji kwa kila kitu. Kurugenzi ya Takwimu!

Ninachokiona kwenye tarakimu ulizoweka hapa, hasa kuhusu, Rwanda, biashara yetu na wao ni 'Re-export' tu ya vitu kama mafuta, na hali ni hivyo hivyo na Zambia na hata Uganda.
 
Nafikiri wewe ndo MPUMBAVU wa mwisho
Eeenh, ninaposoma vitu kama hivi, naisikitikia sana nchi yangu hii Tanzania. Ujinga wa aina hii unasikitisha sana.
Screenshot_20200801-124925.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Mtema mate
Ndio maana Mkapa aliwaita Marofa na wapumbavu, ukitaka Kabudi aende akawapigie magoti, kwanza wewe bado kinda ungelikuwa umejenga angarau banda ukapakana na jirani mkorofi usingekuwa unayasema haya, diplomacyia inafanyika Kwa mtu anayejielewa sio Kwa vichaa. Wewe imenizuia kuja kwako nawewe usije kwangu basi.
 
Unapopanda MAWE usitegemee kuvuna MAHINDI.
Huu ndio ushahidi ulionao mkuu 'mjinga wewe'?

Mbona unazidi kujidhalilisha, pamoja na kwamba jina lako linaeleza uhalisia wako?

Pole sana. Hata sijui umesoma hadi darasa la ngapi, lakini najua hata la saba mwenye kujitambua hawezi kuwa mjinga kiasi hiki.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Itachukua muda mrefu sana Tanzania kuikuta Kenya kiuchumi. Kitendo cha kuwa mabepari tangu mwanzo kimewafaidisha zaidi kuliko sisi wakomunisti.
Hatujawahi kuwa communists bali socialists.
Soma uelewe kuna tofauti kubwa kati ya mifumo hiyo miwili.
Kimaendeleo Tanzania inaenda kwa spidi kubwa, na background ya socialism imesaidia sana kupunguza tofauti ya kipato kati ya walio nacho na masikini hohehahe.
 
Kenya ipo juu sana na itazidi kututimulia mavumbi sana.
Itachukua muda mrefu sana Tanzania kuikuta Kenya kiuchumi. Kitendo cha kuwa mabepari tangu mwanzo kimewafaidisha zaidi kuliko sisi wakomunisti.
 
Hata ukikataa lkn ukweli unakusuta tu kuwa wenzetu kenya wanatuzidi kwa kila sekta.
Naona una huruma sana na wakenya, hamia kwao.

Haiwezekeni mtu kakuchokoza yeye halafu wewe uliyechokozwa uwe wa kwanza kuomba msamaha. Ni ujinga

Kama unaumia na huo uamzi nenda kwa wakenya wao si ndo unaona wastaarabu sana.
 
Back
Top Bottom